SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,885
Wote mnajua kuwa baada ya kumchagua mama kuwa mwenyekiti wa chama hapo kesho anakwenda kufanya uteuzi mkubwa wa kihistoria. Anakwenda kuteua wakuu wa wilaya, maDED, wakuu wa mikoa n.k
Karibia wateule wote wa hizo nafasi huwa wanatoka CCM hasa NEC. Jukumu lako wewe mjumbe unayetaka uteuzi ni kujipitisha pitisha angalau mama akuone kuwa na wewe upo.
Pia ukipata nafasi ya kusalimiana naye hakikisha unakuwa mnyenyekevu huku ukimuangalia usoni kwa macho ya huruma.
Pia kama atafanya kosa la kuwakaribisha futari hiyo ndio itakuwa nafasi sahihi ya kusalimiana naye.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
View attachment 1767401
Karibia wateule wote wa hizo nafasi huwa wanatoka CCM hasa NEC. Jukumu lako wewe mjumbe unayetaka uteuzi ni kujipitisha pitisha angalau mama akuone kuwa na wewe upo.
Pia ukipata nafasi ya kusalimiana naye hakikisha unakuwa mnyenyekevu huku ukimuangalia usoni kwa macho ya huruma.
Pia kama atafanya kosa la kuwakaribisha futari hiyo ndio itakuwa nafasi sahihi ya kusalimiana naye.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
View attachment 1767401