Lakini ni moja ya maendeleo haujivunii tu ? Mbona nguruwe akizaa watoto wake akisikia njaa ili ashibe anawalaLissu ni Kiongozi, kwa maana ya Mbunge, Rais wa TLS, Mwanasheria wa Chadema na mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni. Iwapo watu tunaoambiwa "wasiojulikana", wamediriki kumpiga risasi za kivita mchana kweupe, basi kama hali hii haitadhibitiwa, hakuna kiongozi yeyote wa Chama na Serikali aliye salama, akiwemo yeye mwenyewe Rais wa nchi.
Tanzania ya leo sio Tanzania ya Jana.