Ujumbe kwa Membe: Kuwa mpinzani Tanzania ni jambo gumu na la wito kweli kweli

Membe watu walimpa sifa kubwa naye akajitapa sana na maneno yake mbali mbali kimbunga kumba kumba etc kumbe MTUPU TU!
Alijikweza mno.

Kumbe anapendeza kwa suti na favour za CCM
 
Wandugu habari kwenu.
Huyu mwamba alituaminisha kwamba anaweza kupambana na lile dubwasha.
Akaenda kwa Zitto, Zitto akampa nafasi kubwa tu. Mshauri wa chama. Membe akateuliwa kuwa mgombea wa urais. Akaishia kujikunyata na kujiita mzee wa dk 89. Wewe membe leo kaikana ACT hadharani .
Ujumbe kwa Membe, kuwa mpinzani Tanzania ni jambo gumu na la wito kweli kweli.
Wape salaam.
Ikikupendeza futa case ya Musiba.

Sitoshangaa kuona Upinzani unarejea senema hii ya Lowassa na Membe ifikapo mwaka 2025!
 
Nilisema sana humu mwaka jana kwamba Membe hawezi kuwa raisi wa Tanzania kutokana na mfumo.

Na ikaenda ikawa.

Mazee wamekubaliana na Membe kwamba atulie, na ile fedha yake irudishwe kwa masharti (kupewa kidogokidogo) hivyo Gavana Luoga anapigiwa simu tu aidhinishe.

Mengine yatabakia kuwa ni historia tu.

Ila the real winners hapa ni Maalim Seif na Zitto Kabwe maana ACT wanakula ruzuku hivyo hawana shida.

2025-2030 ni Mwinyi kuwa raisi wa JMT kupelekwa kule Unguja ni kumuandaa akipitishwa basi JPM atatulia Chato akirekebisha channels..

Hivyo tusubirie wa Unguja kwa 2025-2030

Hizi ni habari mbaya kwa Tundu Lissu.

Au vipi ndugu zanguni?
 
Nilisema sana humu mwaka jana kwamba Membe hawezi kuwa raisi wa Tanzania kutokana na mfumo.

Na ikaenda ikawa.

Mazee wamekubaliana na Membe kwamba atulie, na ile fedha yake irudishwe kwa masharti (kupewa kidogokidogo) hivyo Gavana Luoga anapigiwa simu tu aidhinishe.

Mengine yatabakia kuwa ni historia tu.

Ila the real winners hapa ni Maalim Seif na Zitto Kabwe maana ACT wanakula ruzuku hivyo hawana shida.

2025-2030 ni Mwinyi kuwa raisi wa JMT kupelekwa kule Unguja ni kumuandaa akipitishwa basi JPM atatulia Chato akirekebisha channels..

Hivyo tusubirie wa Unguja kwa 2025-2030

Hizi ni habari mbaya kwa Tundu Lissu.

Au vipi ndugu zanguni?
Spot on!
 
Wandugu habari kwenu.
Huyu mwamba alituaminisha kwamba anaweza kupambana na lile dubwasha.
Akaenda kwa Zitto, Zitto akampa nafasi kubwa tu. Mshauri wa chama. Membe akateuliwa kuwa mgombea wa urais. Akaishia kujikunyata na kujiita mzee wa dk 89. Wewe membe leo kaikana ACT hadharani .
Ujumbe kwa Membe, kuwa mpinzani Tanzania ni jambo gumu na la wito kweli kweli.
Wape salaam.
Ikikupendeza futa case ya Musiba.
Wajinga ndio waliwao. Werevu hawakumpa uzito. Umeshasema Jasusi mbobevu,sasa unashangaa nini kilichotokea. Wapinzani wawe na akili sasa. Sio kila MTU anaweza tu kuwa mpinzani.
 
Bila kupata dawa ya kupunguza nguvu sana ikiwezekana kuipasua CCM, naona upinzani bado tutasumbuka na mageuzi yatachelewa sana.

Na hata katiba mpya, Bunge kama lilivyokuwa constitutes leo, tutapata katiba na hata Tume ya Uchaguzi watakayo ipitisha kwa kuegemea kwao.
 
Nilisema sana humu mwaka jana kwamba Membe hawezi kuwa raisi wa Tanzania kutokana na mfumo.

Na ikaenda ikawa.

Mazee wamekubaliana na Membe kwamba atulie, na ile fedha yake irudishwe kwa masharti (kupewa kidogokidogo) hivyo Gavana Luoga anapigiwa simu tu aidhinishe.

Mengine yatabakia kuwa ni historia tu.

Ila the real winners hapa ni Maalim Seif na Zitto Kabwe maana ACT wanakula ruzuku hivyo hawana shida.

2025-2030 ni Mwinyi kuwa raisi wa JMT kupelekwa kule Unguja ni kumuandaa akipitishwa basi JPM atatulia Chato akirekebisha channels..

Hivyo tusubirie wa Unguja kwa 2025-2030

Hizi ni habari mbaya kwa Tundu Lissu.

Au vipi ndugu zanguni?
Mwinyi hawezi kuwa Rais Tz Bara.
 
Kuna uzi wa jamaa mmoja hapa JF ambao unasema eti " JPM anamuogopa Sana Kamilius", mwingine eti " Marekani, Umoja wa Mataifa, NATO na Jumuiya ya Ulaya wanamuunga mkono 100% Member" jf wakiamua kukupamba hakuna utukufu ambao hutofikia!
 
Wandugu habari kwenu.

Huyu mwamba alituaminisha kwamba anaweza kupambana.

Akaenda kwa Zitto, Zitto akampa nafasi kubwa tu. Mshauri wa chama. Membe akateuliwa kuwa mgombea wa urais. Akaishia kujikunyata na kujiita mzee wa dk 89. Wewe Membe leo kaikana ACT hadharani.

Ujumbe kwa Membe, kuwa mpinzani Tanzania ni jambo gumu na la wito kweli kweli.

Wape salaam.
Ikikupendeza futa case ya Musiba.
Kwa Hiyo Membe alikimbilia upinzani akijua anakwenda kula bata??? Hahahahaa.....
 
Hili la Membe limeendelea kuwafunua wapinzani wa CCM kwamba hawana Sera mbadala, badala yake wanaamini ushindi wao utokane na migogoro ndani ya CCM.

Sasa kijani kwa kujua hili wanakuja na maigizo ya migogoro ya ndani, kisha Upinzani unaingia msobemzobe unazama Mazima. The cycle starts over.
 
Back
Top Bottom