George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,018
- 4,909
Kwako Pep Guardiola ..!
Mimi nikiwa kama shabiki wa Man City ninayewakilisha mashabiki wa Man City nchini Tanganyika ninaomba ufanya mambo yafuatayo katika mechi dhidi ya Liverpool itakayopigwa katika uwanja wa Anfield:
Kwanza kabisa itakuwa vyema kama Sterling ataanzia benchi...
No Otamendi please...
Usiwachezeshe pamoja Gundogan na David Silva, muweke benchi David Silva, hawa jamaa wako slow mno, hawataweza kupambana na Fabinho/Chamberlain/Keita katikati ya uwanja...
Mchezeshe Mahrez kama winga wa upande wa kulia...
Nafasi ya winga wa kushoto ambayo huwa anacheza Sterling mchezeshe Gabriel Jesus, Aguero acheze nafasi yake...
Mchezeshe Bernardo Silva nafasi ya David Silva, Bernardo Silva ni mpambanaji haswa...
Mruhusu De Bruyne kuzunguka pande zote za uwanja...
Beki za kati wachezeshe Fernandinho na Stones, sidhani kama una option nyingine hapa...
Angelino acheze beki ya kushoto, Mendy yupo Slow sana..!
Beki ya kulia acheze tu Walker...
Hapo unaweza utapata ushindi ndani ya Anfield asubuhi na mapema, usipopanga kikosi kama nilivyokuelekeza timu yetu itafungwa..!
Mimi nikiwa kama shabiki wa Man City ninayewakilisha mashabiki wa Man City nchini Tanganyika ninaomba ufanya mambo yafuatayo katika mechi dhidi ya Liverpool itakayopigwa katika uwanja wa Anfield:
Kwanza kabisa itakuwa vyema kama Sterling ataanzia benchi...
No Otamendi please...
Usiwachezeshe pamoja Gundogan na David Silva, muweke benchi David Silva, hawa jamaa wako slow mno, hawataweza kupambana na Fabinho/Chamberlain/Keita katikati ya uwanja...
Mchezeshe Mahrez kama winga wa upande wa kulia...
Nafasi ya winga wa kushoto ambayo huwa anacheza Sterling mchezeshe Gabriel Jesus, Aguero acheze nafasi yake...
Mchezeshe Bernardo Silva nafasi ya David Silva, Bernardo Silva ni mpambanaji haswa...
Mruhusu De Bruyne kuzunguka pande zote za uwanja...
Beki za kati wachezeshe Fernandinho na Stones, sidhani kama una option nyingine hapa...
Angelino acheze beki ya kushoto, Mendy yupo Slow sana..!
Beki ya kulia acheze tu Walker...
Hapo unaweza utapata ushindi ndani ya Anfield asubuhi na mapema, usipopanga kikosi kama nilivyokuelekeza timu yetu itafungwa..!