Ujumbe kwa Dkt. Slaa: Uungwana ni kitendo, jitokeze ukamtembelee Freeman Mbowe

Huyu Mzee hajajua kwamba siasa zimebadilisha upepo ghafla, waliokuwa wanaishi kama chawa watakuwa na wakati mgumu.
 
Tangu nilipojua kuwa dr Slaa alitelekeza upadri, kisha akatelekeza watoto kwa sababu ya penzi la mke wa mtu na akavunja ndoa....niliacha kumwamini kabisa. Anachposema hakiko moyoni mwake
🤣🤣🤣
 
Ni hivi karibuni ulisikika kwenye vyombo vya habari ukikasirishwa na watu wanaosema "Mbowe siyo Gaidi" ukakasirishwa na wafuasi waliokuwa wanahudhuria Mahakamani wakati kesi ya Mbowe na wenzake ikiendelea, mwisho ukasema swala la Mbowe ni Gaidi au siyo Gaidi iachiwe Mahakama.

Ni takribani siku 10 zimepita baada ya Mbowe kufutiwa kesi hiyo, lakini hatujakusikia ukitoa kauli yoyote baada ya DPP kuifuta kesi husika, ambapo ilidhihirika kwamba Mbowe siyo Gaidi.

Sasa ushauri wangu ni kwamba kama "Wahenga" walivyosema "Uungwana" ni kitendo, basi jitokeze ukamtembelee Mh Mbowe maana kumbuka umetoka naye mbali.

Kwanza: alikuteua kuwa Katibu mkuu wa Chama, hii inaonyesha alikupa heshima kubwa.

Pili: Akiwa Mwenyekiti wa Chama ukateuliwa kuwa Mgombea wa Urais mwaka 2010, hiyo ni heshima kubwa.

Tatu: Pamoja na yote hayo chini ya Mh Mbowe ukapata umaarufu mkubwa ndani na nje ya nchi, hiyo ni heshima kubwa.

Nne: Tafakari kwanza heshima hiyo uliyopewa na Mbowe na Chama kwa ujumla mpaka Jina lako likawa maarufu, ni sahihi wewe kushindwa kwenda kumpa pole juu ya yaliyompata dhidi ya uonevu wa dola kweli?

Kumbuka ukiwa kwenye harakati na Mh Mbowe, vyombo vya dola vikafanya uonevu mbona ulikuwa unalaani? Viongozi au wanachadema wakikamatwa na kupelekwa Mahakamani, na wafuasi wakahudhuria kwenye kesi mbona ulikuwa huwakatazi na kusema tuiachie Mahakama?

Hicho unachokifanya siyo sahihi, ni wakati sasa wa kukutana na Mh Mbowe umpe pole huo ndiyo ubinadamu, kumbuka tangu upate uteuzi wa ubarozi Mh Mbowe hakuwahi kukushambulia kwa maneno yoyote, na kiukweli umaarufu wako umeshuka sana kwa watu tuliokuona kuwa uko mstari wa mbele kuelekea kutupeleka kwenye ukombozi.

Hivyo wewe kukutana na Mbowe itakujengea heshima kubwa sana, jiulize kama Mh Rais alikutana na Mh Mbowe baada ya kutoka gerezani hajafika hata nyumbani, akateta naye, wewe una jambo gani la chuki dhidi ya Mbowe? Kama uliamini Mh Mbowe ni Gaidi, Mahakama imethibitisha siyo Gaidi.

Kaeni Pamoja mtengeneze mstakabali mwema wa Taifa letu. Huu ndiyo ushauri wangu kwako Mh Slaa kwa leo, nikimalizia kwa maneno yale yale
"UUNGWANA NA KITENDO"

Nawasilisha!
Hakuna ulazima wa kumlazimisha, atakwenda akitaka na hatakwenda asipotaka, full stop!
 
Tatizo la slaa bado anadhani bado yupo kwenye siasa za Magufuli! Alipandikizwa kua ukiwa upinzani unapaswa kufungwa au kuuliwa. Inabidi abadilike ataachwa nyuma akiendelea kuwaza siasa za Magufuli.Hizi enzi za Samia
 
Ni hivi karibuni ulisikika kwenye vyombo vya habari ukikasirishwa na watu wanaosema "Mbowe siyo Gaidi" ukakasirishwa na wafuasi waliokuwa wanahudhuria Mahakamani wakati kesi ya Mbowe na wenzake ikiendelea, mwisho ukasema swala la Mbowe ni Gaidi au siyo Gaidi iachiwe Mahakama.

Ni takribani siku 10 zimepita baada ya Mbowe kufutiwa kesi hiyo, lakini hatujakusikia ukitoa kauli yoyote baada ya DPP kuifuta kesi husika, ambapo ilidhihirika kwamba Mbowe siyo Gaidi.

Sasa ushauri wangu ni kwamba kama "Wahenga" walivyosema "Uungwana" ni kitendo, basi jitokeze ukamtembelee Mh Mbowe maana kumbuka umetoka naye mbali.

Kwanza: alikuteua kuwa Katibu mkuu wa Chama, hii inaonyesha alikupa heshima kubwa.

Pili: Akiwa Mwenyekiti wa Chama ukateuliwa kuwa Mgombea wa Urais mwaka 2010, hiyo ni heshima kubwa.

Tatu: Pamoja na yote hayo chini ya Mh Mbowe ukapata umaarufu mkubwa ndani na nje ya nchi, hiyo ni heshima kubwa.

Nne: Tafakari kwanza heshima hiyo uliyopewa na Mbowe na Chama kwa ujumla mpaka Jina lako likawa maarufu, ni sahihi wewe kushindwa kwenda kumpa pole juu ya yaliyompata dhidi ya uonevu wa dola kweli?

Kumbuka ukiwa kwenye harakati na Mh Mbowe, vyombo vya dola vikafanya uonevu mbona ulikuwa unalaani? Viongozi au wanachadema wakikamatwa na kupelekwa Mahakamani, na wafuasi wakahudhuria kwenye kesi mbona ulikuwa huwakatazi na kusema tuiachie Mahakama?

Hicho unachokifanya siyo sahihi, ni wakati sasa wa kukutana na Mh Mbowe umpe pole huo ndiyo ubinadamu, kumbuka tangu upate uteuzi wa ubarozi Mh Mbowe hakuwahi kukushambulia kwa maneno yoyote, na kiukweli umaarufu wako umeshuka sana kwa watu tuliokuona kuwa uko mstari wa mbele kuelekea kutupeleka kwenye ukombozi.

Hivyo wewe kukutana na Mbowe itakujengea heshima kubwa sana, jiulize kama Mh Rais alikutana na Mh Mbowe baada ya kutoka gerezani hajafika hata nyumbani, akateta naye, wewe una jambo gani la chuki dhidi ya Mbowe? Kama uliamini Mh Mbowe ni Gaidi, Mahakama imethibitisha siyo Gaidi.

Kaeni Pamoja mtengeneze mstakabali mwema wa Taifa letu. Huu ndiyo ushauri wangu kwako Mh Slaa kwa leo, nikimalizia kwa maneno yale yale
"UUNGWANA NA KITENDO"

Nawasilisha!
Dr Mihogo anazidi kujianika kuwa alikuwa 'mzigo'

1647238607613.png
 
Nadhani anayetaka kuonana na Mbowe aende bila kushawishiwa, sioni haja yoyote ya kumbembeleza Slaa aende kumuona Mbowe wakati hataki na haoni sababu ya kufanya hivyo. Anaweza kushawishiwa akaenda kinafiki, lakini dhamira yake haitaki.
 
Nadhani anayetaka kuonana na Mbowe aende bila kushawishiwa, sioni haja yoyote ya kumbembeleza Slaa aende kumuona Mbowe wakati hataki na haoni sababu ya kufanya hivyo. Anaweza kushawishiwa akaenda kinafiki, lakini dhamira yake haitaki.

Tayari kidume Slaa alishasema kuwa yeye na Mbowe mara kadhaa walishapeana namba zao za simu ingawa hakuna aliyempiga mwenzie
 
Ze wife hataki kumwona mtu yoyote wa CDM mbele yake, sijui CDM kwa ujumla wao walimfanyaga nini huyu mazee hadi awachukie hivi.
 
Ni hivi karibuni ulisikika kwenye vyombo vya habari ukikasirishwa na watu wanaosema "Mbowe siyo Gaidi" ukakasirishwa na wafuasi waliokuwa wanahudhuria Mahakamani wakati kesi ya Mbowe na wenzake ikiendelea, mwisho ukasema swala la Mbowe ni Gaidi au siyo Gaidi iachiwe Mahakama.

Ni takribani siku 10 zimepita baada ya Mbowe kufutiwa kesi hiyo, lakini hatujakusikia ukitoa kauli yoyote baada ya DPP kuifuta kesi husika, ambapo ilidhihirika kwamba Mbowe siyo Gaidi.

Sasa ushauri wangu ni kwamba kama "Wahenga" walivyosema "Uungwana" ni kitendo, basi jitokeze ukamtembelee Mh Mbowe maana kumbuka umetoka naye mbali.

Kwanza: alikuteua kuwa Katibu mkuu wa Chama, hii inaonyesha alikupa heshima kubwa.

Pili: Akiwa Mwenyekiti wa Chama ukateuliwa kuwa Mgombea wa Urais mwaka 2010, hiyo ni heshima kubwa.

Tatu: Pamoja na yote hayo chini ya Mh Mbowe ukapata umaarufu mkubwa ndani na nje ya nchi, hiyo ni heshima kubwa.

Nne: Tafakari kwanza heshima hiyo uliyopewa na Mbowe na Chama kwa ujumla mpaka Jina lako likawa maarufu, ni sahihi wewe kushindwa kwenda kumpa pole juu ya yaliyompata dhidi ya uonevu wa dola kweli?

Kumbuka ukiwa kwenye harakati na Mh Mbowe, vyombo vya dola vikafanya uonevu mbona ulikuwa unalaani? Viongozi au wanachadema wakikamatwa na kupelekwa Mahakamani, na wafuasi wakahudhuria kwenye kesi mbona ulikuwa huwakatazi na kusema tuiachie Mahakama?

Hicho unachokifanya siyo sahihi, ni wakati sasa wa kukutana na Mh Mbowe umpe pole huo ndiyo ubinadamu, kumbuka tangu upate uteuzi wa ubarozi Mh Mbowe hakuwahi kukushambulia kwa maneno yoyote, na kiukweli umaarufu wako umeshuka sana kwa watu tuliokuona kuwa uko mstari wa mbele kuelekea kutupeleka kwenye ukombozi.

Hivyo wewe kukutana na Mbowe itakujengea heshima kubwa sana, jiulize kama Mh Rais alikutana na Mh Mbowe baada ya kutoka gerezani hajafika hata nyumbani, akateta naye, wewe una jambo gani la chuki dhidi ya Mbowe? Kama uliamini Mh Mbowe ni Gaidi, Mahakama imethibitisha siyo Gaidi.

Kaeni Pamoja mtengeneze mstakabali mwema wa Taifa letu. Huu ndiyo ushauri wangu kwako Mh Slaa kwa leo, nikimalizia kwa maneno yale yale
"UUNGWANA NA KITENDO"

Nawasilisha!
Chadema mnachekesha sana maana mnavyomtukuza Mbowe ni kama vile wafuasi wa Mfalme Zumaridi wa Mwanza na kumuamini yeye ni Mungu chini ya Jua.

Kama uliona kuna jambo la kumshauri Dk Slaa kwa nini unaleta humu?

Slaa hana ofisi kwa Moderators wa JF.

Pia DPP alimuachia Mbowe kwa maelekezo ya Mh Rais.
Baada ya maombi kutoka kwa watu na taasisi za kidini.pia akiwemo makamu mwenyekiti wenu Chadema.

Ila mbowe kama mbowe tayari alikuwa amekutwa na kesi ya kujibu.
 
Back
Top Bottom