Ujumbe kutoka Lamu!

bukheyr alhamdulillah!!si tumekesha wote jana wee??mi sikulala mwenzio na asubuhi nimeamkia hapa ila sikuoni,,kazini sikwenda nimechelewa kuamka kwa ajili yako hapa bado nina kelele za amy yangu anifukuza ukumbini..na lap top aliitia chini ya meza anambia nimechanganyikiwa.halafu nenda kanijibu eti kiduku ni nini?? kwenye picha ya obama...jphoto..
ile mi shosti miwili duh!........ Kaifa alek! Mamie
 
bukheyr alhamdulillah!!si tumekesha wote jana wee??mi sikulala mwenzio na asubuhi nimeamkia hapa ila sikuoni,,kazini sikwenda nimechelewa kuamka kwa ajili yako hapa bado nina kelele za amy yangu anifukuza ukumbini..na lap top aliitia chini ya meza anambia nimechanganyikiwa.halafu nenda kanijibu eti kiduku ni nini?? Kwenye picha ya obama...jphoto..

dah weye naye taratibu na hiyo lap top....jf unaweza jikuta unakesha mbili bila tarajia kiduku ntakujibu soon
 
kwani kuna nini huko c magofu na ulojo kama zenj tu

Pole yako, ebu jaribu kufika!
Zanzibar: "ni njema atakae aje"!
Tanga: "Waenda leo warudi leo"!
Mombasa: "Wajua kuingiya kutoka hutaki"!

Sasa jiulize-kunani?
 
Back
Top Bottom