Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,182
- 4,443
Unaonaje na nyumba za wageni nchini mwetu wakianza kutoa mabango ya maoni na tahadhari kama haya kwa wateja wao?
Unaonaje na nyumba za wageni nchini mwetu wakianza kutoa mabango ya maoni na tahadhari kama haya kwa wateja wao?
mh na sisi ambao huwa tunatoka mbagala kwenda tandika tunapumzika kwa aziz ally pale guest house tungekuwa hatupati chumba...tehe tehe teh
Gesti nyingi ingebidi wafunge kwa kukosa wateja,wateja wao wengi ni hao wanaoibana mke wa mtu/mume wa mtu.
Unaonaje na nyumba za wageni nchini mwetu wakianza kutoa mabango ya maoni na tahadhari kama haya kwa wateja wao?