Ujumbe huu wa Meya Jacob na Lema mzuri sana. Tatizo Mindset

chipa GM

JF-Expert Member
Jan 21, 2012
1,767
2,857
Kitu ambacho waafrica hasa watanzania wengi hatuna ufahamu wa kupambanua mambo. Na research ambayo siyo rasmi niliyoifanya mwaka juzi..nimegundua wasomi wengi kuanzia level ya degree ndiyo ufahamu wao mdogo sana katika kupambanua mambo.

Lema na Jakobo huu ujumbe mzuri sana mlio utoa..Watanzania tunapenda pet issues sana..thinking capacity yetu ndogo sana. tunaendeshwa na matukio..wale jamaa wameshatujua uwezo wetu wa kupambanua mambo ni mdogo sana kwahiyo tunapikiwa matukio tu..ili tujadili hayo mpaka mwaka unaisha. Juz tulipewa Dr. Mrusi tapeli..tumejadili sana mpka na ma great thinkers..nafahamu umuhimu wa showbizz..but hii ya kitanzania hii sio..

leo tunadhani kwamba jukumu la kukemea mabaya hasa kushuka kwa uchumi ni lakina Lisu na Lema tu..kuna siku na wao watachoka. Mitandao ya kijamii ina nguvu sana jamani watawala wanasoma huku, tuitumie kwa manufaa yetu kwa kujadili masuala makubwa ya kitaifa: hizi ishu ndogo ndogo zisitutoe kwenye reli.

Ipende Tanzania maana ndiyo mama yetu..kuipenda serikali utashi wako..but Tanzania ipende sana.





ushauri hapo muhimu ni tujadili mawazo ya msingi..tusiyumbishwe na vitukio uchwala.
 
Kitu ambacho waafrica hasa watanzania wengi hatuna ufahamu wa kupambanua mambo. Na research ambayo siyo rasmi niliyoifanya mwaka juzi..nimegundua wasomi wengi kuanzia level ya degree ndiyo ufahamu wao mdogo sana katika kupambanua mambo.

Lema na Jakobo huu ujumbe mzuri sana mlio utoa..Watanzania tunapenda pet issues sana..thinking capacity yetu ndogo sana. tunaendeshwa na matukio..wale jamaa wameshatujua uwezo wetu wa kupambanua mambo ni mdogo sana kwahiyo tunapikiwa matukio tu..ili tujadili hayo mpaka mwaka unaisha. Juz tulipewa Dr. Mrusi tapeli..tumejadili sana mpka na ma great thinkers..nafahamu umuhimu wa showbizz..but hii ya kitanzania hii sio..

leo tunadhani kwamba jukumu la kukemea mabaya hasa kushuka kwa uchumi ni lakina Lisu na Lema tu..kuna siku na wao watachoka. Mitandao ya kijamii ina nguvu sana jamani watawala wanasoma huku, tuitumie kwa manufaa yetu kwa kujadili masuala makubwa ya kitaifa: hizi ishu ndogo ndogo zisitutoe kwenye reli.

Ipende Tanzania maana ndiyo mama yetu..kuipenda serikali utashi wako..but Tanzania ipende sana.





ushauri hapo muhimu ni tujadili mawazo ya msingi..tusiyumbishwe na vitukio uchwala.

Kweli kabisa. Brother Jo sorry.
 
Halafu aliyeleta hii habari hapa alijinadi kama verified user na akatanabaisha kwamba habari zinazoletwa na user wa kariba yake huwa zinathibishwa na moderators ama kwa kumpigia simu na bla bla nyingine. Nadhani kama polisi wanashughulikia wazushi wa mtandao wa mtandaoni wangeanza na huyu maana yeye jina lake halisi liko kwenye user name yake. Ndg yangu uliyepost ile habari jana umepoteza credibility yako pamoja na kujisifu kwamba wewe hupost vitu kila siku na kwamba kila ukipost unapost vitu vya kweli tu. Wewe umedhihirisha wewe ni kihiyo/ bashite na unatumika vibaya kwa njaa ya tumbo na fikra
 
Kwani kupigana kwa Lema na Jacob kunatuhusu nini? He ni uzi wa kututoa mstarini kweli? Tusicheze ngoma ya ccm hapa. Najua wametutoa mstarini haswa kwa kutumia nguvu ya dolla lakn tusiyumbishwe tafadhali.
 
Kama unajua saikolojia inaonesha hao wawili wamepigana na aliyebondwa nina uhakika ni Lema kabisa
Ndio tunataka wapigane maana huku hakuna kukubali kirahisi NDIYOOOOO kama wale mizimu wa kijani

Baada ya kupigana ndio wote husimamia hoja moja......unaona palivyo pazuri hapo!!!

Ushauri:Mbowe pigana na Lowasa,Sumaye pigana na Mnyika n.k baada ya mapigano mnakua kitu kimoja
 
Usiwaamini wanasiasa. Hao wamepigana ila wameshinikizwa waje wajisafishe. Nguvu wanayotumia kupinga hili jambo lzm unuse harufu flani hivi ya ukwel kuhusu hilo tukio.Ni kitu chenye madhara makubwa sana kwenye chama so lazima mbinu mbali2 zitumike kuficha hilo jambo.
 
Back
Top Bottom