Adolph
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 895
- 346
NASIKIA KUNA BAADHI YA VIJANA WANAZUSHA KUWA SINA USHIRIKIANO NA WANANCHI WANGU NA NIKICHEZA 2015 JIMBO LITARUDI CCM!
Kwa ufupi sana naomba niandike hapa baadhi ya michango yangu kama Mbunge kwa Wananchi wangu.
1. Ndueni Sec. 2Million (Ununuzi wa computer na Printer)
2. Mbomai Sec. 2Million (Ununuzi wa Computer na Printer)
3. Tarakea Sec. 2Million (Ukarabati wa mabweni ya Wasichana)
4. Msangai S/Msingi 1Million (Ukarabati wa vyoo)
5. Kikundi cha Wajasiriamali 2.Million
6. Kijiji cha Mashima 1.5 Million (Ujenzi wa ofisi ya Kijiji)
7. Ngaleku Sec. 2Million (Uingizaji umeme)
8. Kirongo Samanga 2Million (Ujenzi wa Kituo cha Polisi)
9. Kijiji cha Samanga 1.Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kijiji)
10. Kirachi Sec. 2Million (Ujenzi wa Jiko)
11. Kitirima Kingachi 1Million (Ujenzi wa Kituo cha Polisi)
12. Katangara Mrere 500,000/= (Kikundi cha Kinamama-MAZINGIRA)
13. Ofisi ya Kijiji Mrere 2Million (Kuezeka Ofisi)
14. Kiraeni Sec. 2Million (Ujenzi wa mabweni)
15. Bustani Sec. 2Million (Kuunganisha Maji)
16. Ugwasi Sec. 2Million (Kuunganisha Maji)
17. S/Msingi Kwangao 2Million (Ukarabati)
18. Kwaya ya KKT Mkuu 600,000
19. Huruma Convent 2Million (Ukarabati wa mabwawa ya kufugia Samaki)
20. Tumaini Center 2Million (Msaada kwa Watoto Yatima)
21. Kikundi cha Vijana na Maendeleo 1Million (Mradi wa Kufuga Kuku)
22. Kilamacho Sec. 1Million (Kuingiza Umeme)
23. Maharo S/Msingi 1Million (Umeme)
24. Makiidi Sec. 2 Million (Ujenzi wa Madarasa)
25. Parokia ya Mkuu 1Million (Mchango wa Ujenzi nyumba za mapadre)
26. Shimbili Saccos 1Million (Ujenzi wa ofisi)
27. Kwaikuru S/msingi 1Million (Ukarabati wa mitaro ya maji ya mvua)
28. Kikundi cha Wajasiriamali cha MWANGARI 2Million (Ukarabati wa mashine ya kusaga)
29. Booni Sec. (Ukarabati wa Madarasa)
30. Mamsera Sec. 1Million (Ujenzi wa madarasa)
31. mamsera Sec. 300,000 (Ujenzi wa jiko)
32. Tanya Sec. 1Million (Ujenzi wa Madarasa)
33. Parokia ya Mahida 1Million (Ujenzi wa nyumba ya mapadri)
34. Ngoyoni 2Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kata)
35. Holili S/msingi 2Million (Ukarabati)
36. Holili 2Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kata)
37. Olele 2Million(Ujenziwa ofisi ya kata).
Hayo ni baadhi tu ya mambo madogo madogo ambayo nimeweza kuisaidia Jamii ya WanaRombo... Mikakati yangu na Mipango ya Maendeleo nitaitoa Siku chache zijazo....
Joseph Selasini
Mb.Rombo (CHADEMA
SALA ZENU NI MUHIMU ILI AWEZE KUPONA NA KUENDELEZA GURUDUMU NA UKOMBOZI KWA WATU WA ROMBO NA WATANZANIA KWA UJUMLA.
Ujumbe huo aliuweka kwenye facebook wall yake
Kwa ufupi sana naomba niandike hapa baadhi ya michango yangu kama Mbunge kwa Wananchi wangu.
1. Ndueni Sec. 2Million (Ununuzi wa computer na Printer)
2. Mbomai Sec. 2Million (Ununuzi wa Computer na Printer)
3. Tarakea Sec. 2Million (Ukarabati wa mabweni ya Wasichana)
4. Msangai S/Msingi 1Million (Ukarabati wa vyoo)
5. Kikundi cha Wajasiriamali 2.Million
6. Kijiji cha Mashima 1.5 Million (Ujenzi wa ofisi ya Kijiji)
7. Ngaleku Sec. 2Million (Uingizaji umeme)
8. Kirongo Samanga 2Million (Ujenzi wa Kituo cha Polisi)
9. Kijiji cha Samanga 1.Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kijiji)
10. Kirachi Sec. 2Million (Ujenzi wa Jiko)
11. Kitirima Kingachi 1Million (Ujenzi wa Kituo cha Polisi)
12. Katangara Mrere 500,000/= (Kikundi cha Kinamama-MAZINGIRA)
13. Ofisi ya Kijiji Mrere 2Million (Kuezeka Ofisi)
14. Kiraeni Sec. 2Million (Ujenzi wa mabweni)
15. Bustani Sec. 2Million (Kuunganisha Maji)
16. Ugwasi Sec. 2Million (Kuunganisha Maji)
17. S/Msingi Kwangao 2Million (Ukarabati)
18. Kwaya ya KKT Mkuu 600,000
19. Huruma Convent 2Million (Ukarabati wa mabwawa ya kufugia Samaki)
20. Tumaini Center 2Million (Msaada kwa Watoto Yatima)
21. Kikundi cha Vijana na Maendeleo 1Million (Mradi wa Kufuga Kuku)
22. Kilamacho Sec. 1Million (Kuingiza Umeme)
23. Maharo S/Msingi 1Million (Umeme)
24. Makiidi Sec. 2 Million (Ujenzi wa Madarasa)
25. Parokia ya Mkuu 1Million (Mchango wa Ujenzi nyumba za mapadre)
26. Shimbili Saccos 1Million (Ujenzi wa ofisi)
27. Kwaikuru S/msingi 1Million (Ukarabati wa mitaro ya maji ya mvua)
28. Kikundi cha Wajasiriamali cha MWANGARI 2Million (Ukarabati wa mashine ya kusaga)
29. Booni Sec. (Ukarabati wa Madarasa)
30. Mamsera Sec. 1Million (Ujenzi wa madarasa)
31. mamsera Sec. 300,000 (Ujenzi wa jiko)
32. Tanya Sec. 1Million (Ujenzi wa Madarasa)
33. Parokia ya Mahida 1Million (Ujenzi wa nyumba ya mapadri)
34. Ngoyoni 2Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kata)
35. Holili S/msingi 2Million (Ukarabati)
36. Holili 2Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kata)
37. Olele 2Million(Ujenziwa ofisi ya kata).
Hayo ni baadhi tu ya mambo madogo madogo ambayo nimeweza kuisaidia Jamii ya WanaRombo... Mikakati yangu na Mipango ya Maendeleo nitaitoa Siku chache zijazo....
Joseph Selasini
Mb.Rombo (CHADEMA
SALA ZENU NI MUHIMU ILI AWEZE KUPONA NA KUENDELEZA GURUDUMU NA UKOMBOZI KWA WATU WA ROMBO NA WATANZANIA KWA UJUMLA.
Ujumbe huo aliuweka kwenye facebook wall yake