Ujumbe alioutuma Mh. Selasini muda mfupi kabla hajapata ajali Bomang'ombe

Adolph

JF-Expert Member
Sep 26, 2010
895
346
NASIKIA KUNA BAADHI YA VIJANA WANAZUSHA KUWA SINA USHIRIKIANO NA WANANCHI WANGU NA NIKICHEZA 2015 JIMBO LITARUDI CCM!

Kwa ufupi sana naomba niandike hapa baadhi ya michango yangu kama Mbunge kwa Wananchi wangu.
1. Ndueni Sec. 2Million (Ununuzi wa computer na Printer)
2. Mbomai Sec. 2Million (Ununuzi wa Computer na Printer)
3. Tarakea Sec. 2Million (Ukarabati wa mabweni ya Wasichana)
4. Msangai S/Msingi 1Million (Ukarabati wa vyoo)
5. Kikundi cha Wajasiriamali 2.Million
6. Kijiji cha Mashima 1.5 Million (Ujenzi wa ofisi ya Kijiji)
7. Ngaleku Sec. 2Million (Uingizaji umeme)
8. Kirongo Samanga 2Million (Ujenzi wa Kituo cha Polisi)
9. Kijiji cha Samanga 1.Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kijiji)
10. Kirachi Sec. 2Million (Ujenzi wa Jiko)
11. Kitirima Kingachi 1Million (Ujenzi wa Kituo cha Polisi)
12. Katangara Mrere 500,000/= (Kikundi cha Kinamama-MAZINGIRA)
13. Ofisi ya Kijiji Mrere 2Million (Kuezeka Ofisi)
14. Kiraeni Sec. 2Million (Ujenzi wa mabweni)
15. Bustani Sec. 2Million (Kuunganisha Maji)
16. Ugwasi Sec. 2Million (Kuunganisha Maji)
17. S/Msingi Kwangao 2Million (Ukarabati)
18. Kwaya ya KKT Mkuu 600,000
19. Huruma Convent 2Million (Ukarabati wa mabwawa ya kufugia Samaki)
20. Tumaini Center 2Million (Msaada kwa Watoto Yatima)
21. Kikundi cha Vijana na Maendeleo 1Million (Mradi wa Kufuga Kuku)
22. Kilamacho Sec. 1Million (Kuingiza Umeme)
23. Maharo S/Msingi 1Million (Umeme)
24. Makiidi Sec. 2 Million (Ujenzi wa Madarasa)
25. Parokia ya Mkuu 1Million (Mchango wa Ujenzi nyumba za mapadre)
26. Shimbili Saccos 1Million (Ujenzi wa ofisi)
27. Kwaikuru S/msingi 1Million (Ukarabati wa mitaro ya maji ya mvua)
28. Kikundi cha Wajasiriamali cha MWANGARI 2Million (Ukarabati wa mashine ya kusaga)
29. Booni Sec. (Ukarabati wa Madarasa)
30. Mamsera Sec. 1Million (Ujenzi wa madarasa)
31. mamsera Sec. 300,000 (Ujenzi wa jiko)
32. Tanya Sec. 1Million (Ujenzi wa Madarasa)
33. Parokia ya Mahida 1Million (Ujenzi wa nyumba ya mapadri)
34. Ngoyoni 2Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kata)
35. Holili S/msingi 2Million (Ukarabati)
36. Holili 2Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kata)
37. Olele 2Million(Ujenziwa ofisi ya kata).

Hayo ni baadhi tu ya mambo madogo madogo ambayo nimeweza kuisaidia Jamii ya WanaRombo... Mikakati yangu na Mipango ya Maendeleo nitaitoa Siku chache zijazo....

Joseph Selasini
Mb.Rombo (CHADEMA

SALA ZENU NI MUHIMU ILI AWEZE KUPONA NA KUENDELEZA GURUDUMU NA UKOMBOZI KWA WATU WA ROMBO NA WATANZANIA KWA UJUMLA.

Ujumbe huo aliuweka kwenye facebook wall yake
 
mungu amlinde apone haraka na waliotangulia mbele ya haki mungu awape njia ya amani huko mbinguni.
 
Jamaa ni Jembe la ukweli, imani yangu ni kubwa kwa Mungu kuwa Selasini atapona na kuendeleza harakati za kuingamiza ccm na hila zake zote!!!!
 
ee mungu unaetutangulia siku zote na kutuwezesha,tunakuombe utoe uponyaji mbunge wetu mpendwa apone haraka na kurudi kazini
 
Selasini ni mwongo kupindukia apone asipone kama chadema hawatamsimamisha m2 mwingine rombo itaenda kwa upinzani kuliko selasini laana za warombo hazitamwacha kwakuwahadaa wanarombo aliyoyaandika hapo juu ni mwongo mimi niko rombo. Ndo maana hata vijana wanajitokeza kutaka kuchukua jimbo maana mbunge tuliye nae si mchapa kazi.
 
Kujitolea over 55m kwa maendeleo ya jimbo lako si jambo dogo! Get well soon Kamanda Selasini, na Pole kwa Msiba uliompata, Mungu ampe moyo wa Subira na ampatie faraja ya moyoni. Amen.
 
Huyo Mbunge aoneshe hizo fedha anazitowa wapi na analipa kodi kiasi gani.
 
Selasini ni mwongo kupindukia apone asipone kama chadema hawatamsimamisha m2 mwingine rombo itaenda kwa upinzani kuliko selasini laana za warombo hazitamwacha kwakuwahadaa wanarombo aliyoyaandika hapo juu ni mwongo mimi niko rombo. Ndo maana hata vijana wanajitokeza kutaka kuchukua jimbo maana mbunge tuliye nae si mchapa kazi.

acha kubwabwaja lete ushaidi hapa
 
NASIKIA KUNA BAADHI YA VIJANA WANAZUSHA KUWA SINA USHIRIKIANO NA WANANCHI WANGU NA NIKICHEZA 2015 JIMBO LITARUDI CCM!

Kwa ufupi sana naomba niandike hapa baadhi ya michango yangu kama Mbunge kwa Wananchi wangu.
1. Ndueni Sec. 2Million (Ununuzi wa computer na Printer)
2. Mbomai Sec. 2Million (Ununuzi wa Computer na Printer)
3. Tarakea Sec. 2Million (Ukarabati wa mabweni ya Wasichana)
4. Msangai S/Msingi 1Million (Ukarabati wa vyoo)
5. Kikundi cha Wajasiriamali 2.Million
6. Kijiji cha Mashima 1.5 Million (Ujenzi wa ofisi ya Kijiji)
7. Ngaleku Sec. 2Million (Uingizaji umeme)
8. Kirongo Samanga 2Million (Ujenzi wa Kituo cha Polisi)
9. Kijiji cha Samanga 1.Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kijiji)
10. Kirachi Sec. 2Million (Ujenzi wa Jiko)
11. Kitirima Kingachi 1Million (Ujenzi wa Kituo cha Polisi)
12. Katangara Mrere 500,000/= (Kikundi cha Kinamama-MAZINGIRA)
13. Ofisi ya Kijiji Mrere 2Million (Kuezeka Ofisi)
14. Kiraeni Sec. 2Million (Ujenzi wa mabweni)
15. Bustani Sec. 2Million (Kuunganisha Maji)
16. Ugwasi Sec. 2Million (Kuunganisha Maji)
17. S/Msingi Kwangao 2Million (Ukarabati)
18. Kwaya ya KKT Mkuu 600,000
19. Huruma Convent 2Million (Ukarabati wa mabwawa ya kufugia Samaki)
20. Tumaini Center 2Million (Msaada kwa Watoto Yatima)
21. Kikundi cha Vijana na Maendeleo 1Million (Mradi wa Kufuga Kuku)
22. Kilamacho Sec. 1Million (Kuingiza Umeme)
23. Maharo S/Msingi 1Million (Umeme)
24. Makiidi Sec. 2 Million (Ujenzi wa Madarasa)
25. Parokia ya Mkuu 1Million (Mchango wa Ujenzi nyumba za mapadre)
26. Shimbili Saccos 1Million (Ujenzi wa ofisi)
27. Kwaikuru S/msingi 1Million (Ukarabati wa mitaro ya maji ya mvua)
28. Kikundi cha Wajasiriamali cha MWANGARI 2Million (Ukarabati wa mashine ya kusaga)
29. Booni Sec. (Ukarabati wa Madarasa)
30. Mamsera Sec. 1Million (Ujenzi wa madarasa)
31. mamsera Sec. 300,000 (Ujenzi wa jiko)
32. Tanya Sec. 1Million (Ujenzi wa Madarasa)
33. Parokia ya Mahida 1Million (Ujenzi wa nyumba ya mapadri)
34. Ngoyoni 2Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kata)
35. Holili S/msingi 2Million (Ukarabati)
36. Holili 2Million (Ujenzi wa Ofisi ya Kata)
37. Olele 2Million(Ujenziwa ofisi ya kata).

Hayo ni baadhi tu ya mambo madogo madogo ambayo nimeweza kuisaidia Jamii ya WanaRombo... Mikakati yangu na Mipango ya Maendeleo nitaitoa Siku chache zijazo....

Joseph Selasini
Mb.Rombo (CHADEMA

SALA ZENU NI MUHIMU ILI AWEZE KUPONA NA KUENDELEZA GURUDUMU NA UKOMBOZI KWA WATU WA ROMBO NA WATANZANIA KWA UJUMLA.

Ujumbe huo aliuweka kwenye facebook wall yake


Mbona hakuna msaada kwenye msikiti, nyumba ya Imam nk? huyu ni mdini kama Chadema wenzie tu Mwenyezimungu amhukumu anachostahiki
 
Mbona hakuna msaada kwenye msikiti, nyumba ya Imam nk? huyu ni mdini kama Chadema wenzie tu Mwenyezimungu amhukumu anachostahiki

Ndugu yangu mbona umekaa kidini sana..utakufa siku c zako kwa kushabikia udini...unajuaje kama hizo parokia ziliombaa msaada kutoka kwake? Au unajua idadi ya makanisa na misikiti iliyo rombo?fanya tathmini kabla hujashutumu..
 
Mbona hakuna msaada kwenye msikiti, nyumba ya Imam nk? huyu ni mdini kama Chadema wenzie tu Mwenyezimungu amhukumu anachostahiki

mkuu
Hata kama ni tofauti ya itikadi bado Tanzania hatujafika hapa ndugu kumlaani/kumwombea mabaya mtu mwenye matatizo si uungwana
 
CHADEMA inawakati mgumu sana kujivua na dhana ya udini...ukabila naweza nikawatetea ila udini bado wanasafari ndefu....Mimi nipo nanyi lakini jitahidini...iweje mbunge anadiriki kutoa orodha ndeefu yenye misaada mingi ktk taasisi za dini ya kikristo pekee...Kumbukeni munahitajika kuwa makini muache udini ili mukubalike kwa waislamu...hii itawasaidia ktk harakati za kuingia ikulu 2015..
 
Back
Top Bottom