Ujuha Wa Familia ya Rais Kibaki!

MzalendoHalisi

JF-Expert Member
Jun 24, 2007
4,514
1,360
Kibaki leo ameita waandishi wa Habari Nairobi akiwa na Lucy!

"Ni wewe tu mama Sina Mwingine zaidi Yako!"

Na kwa hiyo!!!

"Nakupenda wewe tu Lucy!""

Na Lucy akasemaje???

"Waandishi mkome kufuata fuata familia ya Kibaki!..Je mmesikia?? "

Source: BBC Radio
 
Kibaki leo ameita waandishi wa Habari Nairobi akiwa na Lucy!

"Ni wewe tu mama Sina Mwingine zaidi Yako!"

Na kwa hiyo!!!

"Nakupenda wewe tu Lucy!""

Na Lucy akasemaje???

"Waandishi mkome kufuata fuata familia ya Kibaki!..Je mmesikia?? "

Source: BBC Radio

Lengo ni kuzima tetesi au kuzima ukweli? Kauli kama hizo zikiwa hazina background story huenda zinafunika mambo. Tatizo lilikuwa nini? Au huyo mama mbabe alimlazimisha aite press conference kusema hivyo, la sivyo mkong'oto?
 
Lengo ni kuzima tetesi au kuzima ukweli? Kauli kama hizo zikiwa hazina background story huenda zinafunika mambo. Tatizo lilikuwa nini? Au huyo mama mbabe alimlazimisha aite press conference kusema hivyo, la sivyo mkong'oto?

Mkuu,

Hiki ni kinyanganyiro cha kiti eneo bunge la Othaya, ambacho kimeshikiliwa na rais. Kibaki as we all know is not qualified to run in the elections za 2012, Here we have Lucy who is fronting for his son Jimmy to take over the mantle from the father, while the Kibaki's other "wife" is seen as more popular in Othaya grassroot. Its not an issue of family integrity here, we all know who is his "other" wife.. this is an issue of political succession at Othaya Period.

Regards............................
 
Mkuu,

Hiki ni kinyanganyiro cha kiti eneo bunge la Othaya, ambacho kimeshikiliwa na rais. Kibaki as we all know is not qualified to run in the elections za 2012, Here we have Lucy who is fronting for his son Jimmy to take over the mantle from the father, while the Kibaki's other "wife" is seen as more popular in Othaya grassroot. Its not an issue of family integrity here, we all know who is his "other" wife.. this is an issue of political succession at Othaya Period.

Regards............................

We Mkenya,
It seems u got data. Hebu leta hapa ni kweli ana nyumba ndogo au?? Thats why nimeshangaa kwa nini kulikuwa na haja kuwa na press conf on that.
 
Hebu leta hapa ni kweli ana nyumba ndogo au?? Thats why nimeshangaa kwa nini kulikuwa na haja kuwa na press conf on that.


I62061-2004Jan29L

This story was carried in the Sunday Standard of December 14, 2003:

She may not sit next to the President at public functions, and is not in the limelight much but within the Kibaki family and among friends and relations, Mary Wambui is no secret.

She is highly regarded as the President’s second wife, and is accorded all the privileges due to a presidential spouse. She has been photographed with First Lady Lucy Kibaki and daughter Judy in London, and with Kibaki’s sons Jimmy and David, as well as with the President’s father, Kibaki Githinji who died in 1983.

On every national holiday, the President’s second wife who prefers to be called Mrs Wambui Kibaki arrives dutifully on time in the company of her bodyguards and quietly takes her seat on the dais, a few rows behind the President and First Lady. She is well known to the Presidential security and State House protocol staff.

On Friday, during the 40th anniversary independence celebrations, it was no different. She arrived without pomp or ceremony, in the company of her three bodyguards, and went straight to her unmarked seat on the dais.

Ever since President Kibaki won last year’s election, Wambui’s Nyeri house on Ring Road, near Green Hills Hotel, has been guarded by administration police officers. She also has been assigned two bodyguards to escort her wherever she goes in her Peugeot 504 car.

The Sunday Standard has been compiling a profile of the President’s retiring and publicity-shy second wife, and can now reveal that in Nyeri and Othaya towns, she is a well known and respected figure. Nobody there holds it as a secret that she is the president’s second wife.

In constructing her profile, the Sunday Standard interviewed her, together with members of the President's family several months back.

Wambui took charge of Kibaki's election campaign in Othaya Constituency, and Nyeri District, last year as he campaigned for the presidency countrywide.

Not that President Kibaki needed to campaign in Othaya but she handled all official elections business as his chief campaign agent, she revealed in an exclusive interview.

On the day Candidate Kibaki cast his vote in Othaya, Wambui was by his side, assisting him to vote.

At one time during the campaigns, she escaped unhurt when the aircraft she was traveling in crash-landed at Nyaribu airstrip near Nanyuki town.

Although Wambui was not with Candidate Kibaki when his car crashed into a ditch while returning from a rally in Machakos last year, she drove straight to the hospital when she heard news of the crash, and was among the first family members to arrive.

Wambui granted the Sunday Standard the first interview at her house, a palatial maisonette which she said had been bought by her husband.

She lives in the house with her daughter, Winnie Wangui Mwai, a Masters degree student and the only child she has with the President.

Leafing through the family album, she regaled our writers with memories attached to the numerous pictures she had taken with the President’s family.
Why is so little known about her outside Nyeri?

Before Kibaki became President, says Wambui, even First Lady Lucy was not well known to Kenyans, as the President has never been one to involve his family in his political life.

She had assumed that on becoming President, she too, like Lucy, would be introduced openly, but it is an eventuality she is still waiting for. She thinks it might be that something to do with State protocol necessitated that there be seen to be only one First Lady.

Wambui says that at one time during the campaigns, before Kibaki’s accident, she asked him whether she should go public as his wife. The President, she claims, told her that she was not a secret, which she understood to mean that she would become part of his public life if he won the elections.

However, she says she is not bitter at not being introduced, and understands that maybe she should remain in the family and among Kibaki’s friends where she is known but not try to become part of his national image.

Wambui adds that she is consoled by the fact that even for President Jomo Kenyatta, Mama Ngina was the only First Lady even though his other two wives, Wahu and the late Edna, were officially recognised.

For a second interview we found her at Kibaki's expansive Naromoru ranch, which she manages on behalf of the family.

Despite her not being well known in public, she is part and parcel of the Kibaki family.

"I do not feel restricted, I have my time with him just as before he became President. I go to State House when I want and I can't complain. I am his wife and not being made public does not bother me," Wambui said in one of the interviews.

On the day President Kibaki officially opened the Ninth Parliament, Wambui was there but was kept company by the wife of State House Comptroller Matere Keriri, who is her long-time friend.

We had a short interview with her as we returned the pictures we had borrowed from her family album. She looked at ease as she mingled with dignitaries, several Cabinet ministers stopping to shake her hand as she joined the garden party at Parliament Buildings. But she did not go to sit under the official tent where the President sat with the First Lady to receive guests.

In the earlier interviews, Wambui said she had no problem at all with the First Lady. She has been increasingly operating from her Nyeri home while Lucy remains at the Muthaiga home.

Sources now indicate that Wambui has recently acquired a Nairobi home as she is in capital most of the time.

She said that in the earlier days, in the 1970s, she and Lucy often travelled together, even abroad, for shopping and other functions.

She says she is close to all the President's children, and makes it clear that she would not like to cause tension in the family or embarrass the President.

President Mwai Kibaki met Wambui in 1972 when she was a primary school teacher. Kibaki was at the time a Minister in the Kenyatta government. He was already married to Lucy, who had also been a primary school teacher in the early 1960s.

Wambui, who comes from Mahiga in President Kibaki's Othaya Constituency, says that she was introduced to her father-in-law, Githinji Kibaki, and to her brothers-in-law.
Some of Kibaki’s relatives have corroborated Wambui’s statements from the interviews, such as the fact that she came into Kibaki’s life in the early 1970s.
Early in the 1980s, Kibaki formalised the marriage in a customary arrangement by visiting her parents at Mahiga and paying dowry.

One of Kibaki’s first cousins, Michael Kibaki, who grew up with the President, remembers the occasion when Kibaki met the customary requirement to marry Wambui.
"She is officially his wife and the family knows that," said the President’s cousin.
In Othaya town, nearly everyone you would ask knows Wambui wa Kibaki as she is known in the President's village.

Soon after the General Election, she hosted a big party for all the Kibaki election agents while the President was still recuperating at State House.

Curiously, there are several media articles about her official functions in Nyeri, especially during the campaigns, but she is always only referred to by her maiden name, Mary Wambui.

She says that perhaps the media chose not to refer to her as Kibaki’s wife because it has never been stated officially.

"But take it from me, I am officially married to President Mwai Kibaki," said Wambui in another interview at Naromoru River Lodge.

Smart, tall, and articulate in English and Kiswahili, Wambui is of jovial mien even as she speaks of her life away from the limelight.

She talks extensively about Kibaki's private life and politics.

"I have known him for long, she says. Personally, he is a very humble man. The gentle manner you see him adopt while in public is the same manner he displays at home," she adds.

"He is a good husband and a good father to my daughter Winnie. He never quarrels even if you push him with words."

She says that when Kibaki left his former Bahati (now Makadara) constituency to vie in Othaya, she and Lucy worked with him in his first campaign there.

She says that she and Lucy took part in building Kibaki’s Othaya house in 1974 so that he could have a political base at home.

Later in the 1980s, Wambui became a Kanu official in Nyeri. She was often quoted in the media as a powerful Kanu official in the Nyeri office during the days when Kibaki was branch chairman.

She is a board member of several schools in Othaya and heads several women’s organisations there.

Wambui could not divulge details about how she meets with the President because of state security concerns.

Apart from the Naromoru ranch, she is the manager of several other farming enterprises owned by the Kibaki family.

Kenya Democracy Project: Mwai wa WAMBUI: Why Deny Mke na Binti?
 
Haha hahaa Ha!

sasa ni kwa nini Kibaki anamkataa Mke na Mtoto wakati wamependana mda wote huo tangu 1970's?

Je huu ni uungwana?

Or Lucy has upper hand now???
 
Haha hahaa Ha!

sasa ni kwa nini Kibaki anamkataa Mke na Mtoto wakati wamependana mda wote huo tangu 1970's?

Je huu ni uungwana?

Or Lucy has upper hand now???

Lucy ndiye anaye call the shots.
Kwa hivyo kamlazmisha jamaa aitishe Press Conference kusema eti
yeye ndiye mke wa pekee.Ukweli hata hivyo unajulikana na hizi
kelele zao zinazidi kukuonyesha jinsi utawala wa Kenya unavyoenedeshwa.
Kazi ipo!
 
huyu mzee is idiot, kama anaweza kuiba kura na kujitangaza mshindi huku akijua kuwa hakushinda itakuwaje kwa hili. huyu ni nabii wa uongo na uongo kwake ndo sala ya kila siku
 
Muite declines to apologise to First Family

Updated 6 hr(s) 48 min(s) ago

Former Kabete MP Paul Muite has instructed Mr Gitobu Imanyara to act as his lawyer in the event the first family sues him.And Muite dared the family and Environment Minister John Michuki to take him to court.

"I will not apologise for stating the truth. The President should instead issue a statement why the Government vandalised Standard and KTN equipment," Muite said.

Speaking at Parliament Buildings yesterday, the Imenti Central MP said he had sent a letter to President Kibaki, through a courier, who was turned back at the gates of State House.

"They delivered the letter to the President’s offices at Harambee House," Imanyara said.

A copy of the letter in possession of The Standard reads in part, "I respectfully write to you pursuant to instructions received from my above client (Muite) in connection with pronouncements made by your Excellency at a Press conference at State House."

The letter goes ahead to state that Muite’s subject of concern had nothing to do with the first family, but to address the issue of the Standard and KTN raid.

Public interest

Imanyara said the issue remains a matter of public interest.

Also of concern to Muite is the fact that the Commissioner of Police flanked President Kibaki.

Imanyara says at no particular time at the news conference did President Kibaki answer Muite’s point, namely, according to Imanyara, ‘The reason for the raid on KTN and the Standard’, which he says the President ought to have dealt with.

Last Tuesday, a furious President Kibaki in company of the First Lady called a Press conference to react to Muite’s remarks and threatened to sue him. Imanyara said Muite’s comments were lifted from a Parliamentary Report, laid on the table of the National Assembly on September 27, 2007, hence making it a public document.

The Standard | Online Edition :: Muite declines to apologise to First Family

My take : With Muite refusing to apologise, then the ball is squarely in the President's court and his crazy 1st wife.Tuone kama they will prosecute Muite.
 
Mimi naona Lucy yaani ni mwanamke aliyejaa wivu Mno!! Hampendi kabisa huyo mwanamke mwingine!

Sioni jingine zaidi hapo zaidi ya wivu wa mapenzi!
 
Hivi Kibaki alilazimishwa kumuoa Lucy?

No, I don't think so... lakini marriage is for better for worse...this has to be the for worse part. Manake Lucy as we have always known is not ok.
They should try and manage her situation very well being as it were that they are in the public eye.
 
Ahahaaaaa,wadau mnatisha,hivi mimi cna imani kuwa kenya hamna mambo ya maana ya kujadili.Wale watu wana njaa,leo alfajiri wamemuua mwanaharakati,kakataa mafuta ya iran, wafungwa waliosamehewa hawana chakula, n.k sasa kwa nini wajadili family isues kwenye press? hao ndo viongozi tulionao africa. They always think they are the best
 
Hebu tumuangalie JK nae yuko vcipi?. Angalau Kibaki inajulikana. Mwenzetu anakula vya kunyonga wala hana wasiwasi.
 
For the first time nimeona presidential protocol ikivunjwa mbele ya rais mwenyewe.
Inakuwaje Mh. Kibaki anaongea na press halafu mkewe anaingilia kati kana kwamba mamaa ndiyo "Rais Mkuu". Aibu kabisa inaonekana Mh Kibaki ameshindwa kumthibiti mkewe na huenda amelazimishwa kufika pale na kutoa hiyo statement.
Kana kwamba haitoshi, Lucy anatamba mbele ya Rais kuwa atafanya ubabe (atavunja sheria na haki za binadamu) kama alivyofanya kwa The Nation Staff. Ningefurahi kuona kuwa waandishi wa habari wa Kenya wai-address hii issue kwani tayari kuna vitisho vimetolewa mbele yao na ushahidi upo usio na shaka.
Nini hasa Mh Kibaki anachokiogopa kwa Lucy, anadundwa? au Mzee akishakuwa chakari kuna ambao Lucy anayajua?
Ab-Titchaz hebu tusaidie.
 
For the first time nimeona presidential protocol ikivunjwa mbele ya rais mwenyewe.
Inakuwaje Mh. Kibaki anaongea na press halafu mkewe anaingilia kati kana kwamba mamaa ndiyo "Rais Mkuu". Aibu kabisa inaonekana Mh Kibaki ameshindwa kumthibiti mkewe na huenda amelazimishwa kufika pale na kutoa hiyo statement.
Kana kwamba haitoshi, Lucy anatamba mbele ya Rais kuwa atafanya ubabe (atavunja sheria na haki za binadamu) kama alivyofanya kwa The Nation Staff. Ningefurahi kuona kuwa waandishi wa habari wa Kenya wai-address hii issue kwani tayari kuna vitisho vimetolewa mbele yao na ushahidi upo usio na shaka.
Nini hasa Mh Kibaki anachokiogopa kwa Lucy, anadundwa? au Mzee akishakuwa chakari kuna ambao Lucy anayajua?
Ab-Titchaz hebu tusaidie.

Pundamilia07,

Heshima natanguliza,

Wala hujakosea kwa mtazamo wako na wakenya wengi wanajua kua huyu mama anamtawala mume wake nyumbani(soma ikulu). Amesahau kua kuna kitu kinaitwa protocol ama kwa jeuri yake hajali.Kuna tetesi kwamba kashaleta vurugu mechi ikulu na kutishia watu maisha.Watu pia wanasema kua inawezekana ana akili punguwani na anameza madawa.Zote hizo ni hadithi
ambazo ukiziangalia kwa undani they might hold some water. Kibaki's health in itself is in question maana inasemekana kuna wakati alipigwa na stroke ambayo imefanya dependent kwa huyu mama in making decisions(read his succession).

At the end of the day people want this circus over with and enough is enough.
 
Last edited:
Pundamilia07,

Heshima natanguliza,

Wala hujakosea kwa mtazamo wako na wakenya wengi wanajua kua huyu mama anamtawala mume wake nyumbani(soma ikulu). Amesahau kua kuna kitu kinaitwa protocol ama kwa jeuri yake hajali.Kuna tetesi kwamba kashaleta
vurugu mechi ikulu na kutishia watu maisha.Watu pia wanasema kua inawezekana ana akili punguwani na anameza madawa.Zote hizo ni hadithi
ambazo ukiziangalia kwa undani they might hold some water. Kibaki's health in itself is in question maana inasemekana kuna wakati alipigwa na stroke ambayo imefanya dependent kwa huyu mama in making decisions(read his succession).

At the end of the day people want this circus over with and enough is enough.

Ahsante sana Mkuu kwa maelezo yako ambayo kumbe alishabihiyana na ya kwangu. Kusema kweli nilichokiona hakipendezi kabisa machoni mwetu, si wakenya pekee bali hata watu wengine. State House ni kioo cha sehemu ya kuendesha nchi kwa kuzingatia utawala bora, lakini anapotokea mtu akaonesha dharau kwa wakenya ati tu kwa sababu mumewe ni rais basi amewakosea wananchi wa Kenya wote. Haiwezekani mke wa Rais atoe maneno ya kejeli bila aibu. Huyu mama pia aliidhihaki Kenya na wananchi wake pale aliposema kuwa Rais hatakwenda mahakamani lakini mimi na familia yangu tutakwenda, alipaswa kumtenganisha Rais na Mume wake, kulikoni Lucy???? na Rais anaona kabisa anadhihakiwa madaraka aliyopewa na wananchi mbele ya wakenya, nadhani ime-cost Kibaki sana? Kwani nini huyu Mzee asingeamua kukabidhi issue hio kwa lawyer wake ili atoe tamko kwa niaba yake? Anaendeshaje nchi huu Mzee?
Wakenya inabidi watafakari, si kumwondoa madarakani lakini kuona kuwa mambo hayaharibiki zaidi.
 
Ile seketa ya Rais Kibaki kumkana mke wa nyumba ndogo inazidi kunyumbuka kwani watoto wanne wa Kibaki wametishia kuelekea mahakamani kumfungulia Bw Paul Muite mashtaka kuhusu matamshi yake hivi karibuni.

Kama nilivyosema awali, hii familia inaleta sarakasi wakati nchi ina mambo
kibao ya kutatua.Kwani hawadiriki na pupa yao ya kutaka kula vya kuiba?
Baba yao aliiba kura na ni heri waridhike na hilo na kula 'matunda ya uhuni'.
Najiuliza kwani wakenya wanataka huu upuzi utawale habari za kila siku?..
maana ukweli ni kwamba wakianza hivi jua wanataka kutumia nguvu za serikali
kumfilisi jamaa ama by extension kutishia uwazi wa vyombo vya habari katika
kutekeleza wajibu wao.

Tumechoka na ukatuni wa hii jamii.

1237208333.jpg

Kibaki children threaten to sue Muite

BY BERNARD MOMANYI

Update 7 hours and 32 minutes ago

NAIROBI, Kenya, Mar 16 - President Mwai Kibaki's four children have threatened to sue former Kabete legislator Paul Muite unless he apologises and withdraws alleged defamatory remarks that he made against the first family.

Through Mohammed Muigai advocates, the President's children Judith, James, David and Anthony said the former MP had defamed them by linking them to the Standard raid and the Armenian Artur brothers.

Mr Muite has however maintained that he would not withdraw his remarks and is daring the Head of State's children to sue.

In a letter dated March 12, 2009, the children's lawyers state that they were specifically instructed by the four to address Mr Muite over defamatory statements touching on their clients.

"The words meant and indeed were understood to mean that our clients were involved in the raid of the Standard Group and that they are connected to the Armenian Artur brothers and that our clients partake in criminal activities," the letter states.


It adds; "Our instructions are therefore to demand from you (Muite), as we hereby do, an immediate retraction of the entire content of the statements made together with an unequivocal apology for uttering false and defamatory remarks."

The letter further states that Mr Muite risks facing legal action unless he retracts and apologises.

"Unless we hear from you on the above mater within seven days of the date hereof, we have irrevocable instructions to file suit against you at your peril as to costs and attendant consequences," the three-page letter states.

On Tuesday, Mr Muite's lawyers - Gitobu Imanyara and company advocates - wrote to the lawyers of President Mwai Kibaki's children and dared them to file the suit.

In their letter dated March 16, 2009, the lawyers question why the President's children were threatening to sue on ‘issues relating to their parents'.

"Each of your clients is over 18 years of age and therefore in Law - Sui Juris. Statements made on their father and/or mother cannot ipso facto relate to them."

Mr Muite's lawyers said that their client stood by his remarks and denied that he had made any reference to President Kibaki's children.

The lawyers said their client had only mentioned a ‘government operation' at the standard group offices.

The former Kabete MP had been invited to the commemoration of the Standard raid on March 2, where he said the former Internal Security Minister John Michuki (now Environment Minister) had denied that there was a raid.

"Don't call it a raid, it was not a raid, it was a government operation. They were about to write about a sacred institution, the Presidency. They were about to write about the President and his wives," Mr Muite said, quoting the former Minister.

On Tuesday, Mr Muite's lawyers denied that their client had referred to President Kibaki's children and dared them to sue him.

"Our client is not aware that any of your clients is part of the government. How in law and in fact are your clients seeking to connect or involve themselves with the government operation," Sande Ligunya of Gitobu Imanyara and company advocates posed.

"Indeed, our client welcomes and looks forward to the intended suit being filed. It will be vigorously and robustly defended at your clients' risk as to costs and all other consequences ensuing therefrom," she said.

.: Capital News :.
 
Last edited:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom