hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Haha tell himHakuna taifa teule wewe mbumbumbu..
Haha tell himHakuna taifa teule wewe mbumbumbu..
Hivi unajua kuwa utaalamu wa NUSU KAPUTI unaotumika leo ni matunda ya utafiti wa waNAZI
Unajua kuwa utaalamu wa MAROKETI wa leo ni Matunda ya Sayansi ya Wanazi.
Ukiwalaumu waNAZI kwenye research za madawa basi usisahau kuwalaumu Wamarekani kwenye TUSKGEE experiment ambapo watu weusi walikuwa wakipandikizwa Virusi vya Gonorrhea halafu kuona watacope vipi katika set waliyoipanga!
Experiment za Kisayansi huwa ziko dirty sometimes behind the scene!