Ujue upande wa pili wa Adolph Hitler: Historia inayominywa

Kwa iyo na vita vya berlin napo vifaru vilikuwa vime freeze?.maana walichezea kichapo mpaka berlin

Sent using Jamii Forums mobile app


Jeshi lote zuri ndo lile lililokuwa Urusi likafyekelewa huko huko Urusi

Berlin ilishambuliwa na nchi zote kama watu wengi wawe wanakula ugali kwenye sahani moja, point yangu ni kuwa USSR kwenye ile vita pamoja na Ufaransa ndio nchi zilizokuwa ovyo sana katika kundi la Triple Entente. Kwa Fall of Berlin mrusi credits zake ndogo sana
 
Hitler anayo historia nzuri kwa wajerumani tu developmentwise na pia kama wana akili huyo huyo Hitler amewagharimu babu zao sana mno

Alianzisha vita versus USA wakati bunduki ya mjerumani ni sawa na Gobore mbele bunduki za kisasa za Mmarekani, sasa akili ya wapi hiyo.

Vita imeisha imeiacha Ujerumani bora ya Syria ya leo hii tu kwa maisha magumu, watu wengi wamekufa, njaa imetamalaki kama Ethiopia vile na mabaya mengi
 
Mosi, Jiografia ya nchi nayo inachangia sana kukusaidia ushinda vita. Hujajiuliza kwanini Ujerumani kwenye The Battle of England aliamua kutumia jeshi la anga na siyo majini ?? Uingereza isingekuwa kisiwa nakuambia basi historia ingekuwa nyingine kabisa.

Jiografia ya Urusi iliwabeba na imewabeba tokea enzi za Napoleon Bornaparte alipovamia Urusi mwaka 1812. Nguvu kubwa ya Ujerumani ilikuwa ni jeshi la anga akichanganya na nguvu ya vikosi vya ardhini huu mkakati wao uliitwa "The blitzkrieg" ambapo anakija kwa spidi huku akichanganya nguvu ya jeshi la ardhi huku akiwa muda huo huo anatumia jeshi la anga kuvunja mstari wako wa vita na kwenda nyuma yako huku akikubana katikati.

Pili, Ili kufanikisha huu mkakati wa The Blitzkrieg "The element of surprise is of paramount importance. Hitler alipovamia Umoja wa Kisovieti alienda na Wanajeshi kama milioni 3 na laki 7. Magari ya vita laki 6, vifaru 36489, ndege zaidi ya 2700 na silaha nzito 7000. Mwanzoni Ujerumani aliwatandika sana Warusi, kumbe walishamsoma mapema kwamba Ujerumani anataka kushinda vita kwa haraka kwasababu hana rasilimali za kutosha kupigana vita (mafuta, chuma na mpira alikuwa anaagiza nje). Alitegemea kabisa kwamba akiwapiga warusi basi atateka visima vya mafuta, migodi ya chuma na mashamba ya chakula Ukraine.

Bahati mbaya Warusi walikimbia maksudi wakisubiria baridi ili waanze shughuli. The Moscow-Counter Defense iliwaumiza sana wajerumani na Warusi walikuja na silaha mpya za kivita ambazo Ujerumani hakutegemea kama angekuwa nazo. Hitler aliwalaumu sana mashushu wake kwa kushindwa kugundua hili mapema.

Tatu, Warusi walikuwa ni wengi mno kwa idadi na Stalin alikuwa anatumia "Conscription" kujaza jeshi lake. Kiufupo kwenye ile vita walikufa zaidi ya Warusi kama milioni 26: Ilifika kipindi Ujerumani alichoka mwenyewe, maana anaua sana lakini wanakuja sana. Manpower ya Urusi ilikuwa ni kubwa sana, hasa kwenye nchi ya kijamaa ni jambo rahisi sana kufanya rapid mobilization of troop.

Nne, vifaru vya Ujerumani vilikuwa vya kisasa lakini havikuwa na nguvu kama vile vya Urusi: Wanasema Armor Plating ya Panzers ilikuwa siyo ngumu kama ile Armour Plating ya Russian T-35. Baada ya vifaru vyake kuganda na kushindwa kupita kwenye barafu Ujerumani alipata tabu sana kukamata hata Moscow mwaka 1941. Mwaka mmoja baadae kule Leningrad akaabika vilevile tena na kukubali kushindwa.

Tano, Urusi ni taifa lenye kila aina ya rasilimali hivyo waliweza kupigana vita bila kutegemea sana bidhaa za nje. Kuanzia chakula hadi maloghafi za kuendeshea viwanda vya silaha vya Siberia.

NB 1: Kiufupi Urusi alikuwa amejipanga sana kuliko Ujerumani, maana kama angekuwa hajajipanga sidhani kama angeweza kudumu miaka yote minne ya viya dhidi ya Ujerumani.

NB 2: Kichekesho kikubwa ni kwamba kabla ya huu uvamizi Ujerumani alikuwa anategemea sana mafuta ya Urusi na walimuuzia sana, sasa akaamua kuvamia ili ajimilikisha. Wanajeshi wake walisema hivi "Russia is an Iron giant with clay feet" huku Waingereza wakisema Urusi yote ingeanguka ndani ya wiki kama 15 hivi, walichokutana nacho ikawa gumzo mpaka leo hii.

Hivi unadhani kwanini baada ya Vita ya pili ya dunia Marekani aliamua kuungana na mataifa ya Ulaya ili kupambana na Umoja wa Kisovieti "It was an extremely powerful military behemoth" silaha zake chache tu ilizoziacha baada ya kuanguka ndizo zinampa Vladmir Putin kiburi hapa duniani.
Mkuu hongera sana. Naomba ufafanue kidogo, hizi silaha chache zilizoachwa ambazo zinampa kiburi Putin hadi sasa. Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hongera sana. Naomba ufafanue kidogo, hizi silaha chache zilizoachwa ambazo zinampa kiburi Putin hadi sasa. Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ghala la nyuklia la Urusi ambalo lina silaha za kisasa ambalo linafanya Marekani awaze mara mbilimbili kugombana na Urusi lilitengenezwa na Umoja wa Kisovieti.

Ndege za vita ambazo zinaweza kubeba silaha za nyuklia kama zile zilioenda Venezuela (Tu-160) zilianza kutumiwa na Wasovieti miaka ya 1980's.

Yale makombora ya kutungulia ndege ya S-300 yalitengenezwa na Umoja wa kisovieti miaka ya nyuma sana.

Hata ile bunduki ya Avtomot Kalashnikov (AK-47) ilitengenezwa na Wasovieti miaka ya 1940's.

Akula Class Submarines (Shark) ambazo zinaendeshwa na nishati ya nyuklia (nuclear powered) zilitengenezwa tokea miaka ya 1970's hadi 1980's.

Kiufupi Urusi alirithi ghala kubwa silaha lenye silaha za kisasa kutoka Umoja wa Kisovieti. Maana bajeti ya jeshi la Urusi kwa miaka hiyo ilikuwa ni kubwa sana kuliko hata bajeti ya Uchina ya leo. Tena bahati mbaya sana zile silaha hazikuwahi tumika. Hadi kufika mwaka 1985 Umoja wa Kisovieti ulikuwa na bajeti ya jeshi kiasi cha USD 250 Billions huku Wamarekani wakiwa kwenye USD 300 Billions.

Bila yale masilaha sidhani kama Urusi ingedumu hata miaka minne mbele ya NATO. Wangenyooshwa sanaa

NB: Mifumo yote ya kipelelezi na jeshi la Urusi ilitengenezwa na Wasovieti. Kuanzia GRU (GU) hadi KGB (FSB na SVR) yote yalitengenezwa na jasho la Wasovieti. Sehemu kubwa ya anachofanya Raisi Putin anachofanya ni modernisation tu and restructuring.
 
Jeshi lote zuri ndo lile lililokuwa Urusi likafyekelewa huko huko Urusi

Berlin ilishambuliwa na nchi zote kama watu wengi wawe wanakula ugali kwenye sahani moja, point yangu ni kuwa USSR kwenye ile vita pamoja na Ufaransa ndio nchi zilizokuwa ovyo sana katika kundi la Triple Entente. Kwa Fall of Berlin mrusi credits zake ndogo sana

Mkuu, Triple Entente siyo kipindi cha vita ya kwanza ya dunia na USSR ilikuwa haipo kabisa ??
 
Unajua Kule Urusi waliokuwa madarakani wakati huo ni Wakomunisti ambao top layer walikuwa Wayahudi , Naamini kwamba Kitendo cha Wakomunisti kuanzisha vita kuelekea uelekeo wa Ulaya Magharibi ilikuwa ni Mtego wa Global Zionists kuiwekea chambo Ujerumani kubadiri uelekeo wa Kampeni yake kutoka Magharibi (kuzichapa na Uingereza +USA) ili hiyo Kampeni ielekee Urusi, kisha iwape allied forces wajimobilize waweze kuanzisha kampeni kutoka magharibi bila resistance kubwa. Kumbuka kwa muda wote ule Zionists Elites walikuwa in control ya serikali ya Marekani na Urusi. Control yao kubwa ilikuwa ni Kumiliki banks (bankers), media na ruling class, kwa hiyo bila Jewish bankers ingekuwa vigumu kupigana vita!.
Hawa Zionists ndoto yao kubwa ni kuipata Palestine kwa gharama zozote.

Pia katika ile vita ya pili ya dunia, Mjerumani aliushangaza ulimwengu kwa kuja na silaha mpya ambazo zilikuwa hazijashuhudiwa kabla, alikuja na submarines ambazo zilifanya mimeli ya kivita ya uingereza kuwa kama bata aliyetuama muda wowote unajichinjia, Pia alikuja na airforce kali na anti-aircraft missiles za kutisha. London yenyewe kuna wakati ilichezea kichapo vibaya sana kutoka kwa ndege za Wanazi kwenye campaign inayojulikana kama London bombing
 
1. Hitler alipiga marufuku pombe
2. Hitler alitoa huduma bure za afya bure kwa akina mama wajawizito
3.Hitler alipiga marufuku riba (Usury)
4.Hitler zaidi ya mara mbili anaitaka Uingereza waingie katika mkataba wa amani lakini uingereza inakataa
5. Hitler alikuwa askari jasiri wa kijerumani katika vita ya kwanza ya dunia
6.Hitler alichukia kitendo cha Mazionists wa Ujerumani "kuwazunguuka" Wajerumani na kufunga mkataba wa siri na uingereza ili kuwatumia Mazionist walioko Marekani kuishawishi serikali hiyo iingie katika vita upande wa Uingereza kitendo kilichosababisha Ujerumani ipigwe wakati ilikuwa inakaribia kushinda vita ya kwanza ya Dunia

7. Hitler mwaka 1938 aliwekwa kwenye Gazei la TIMES kuwa Person Man of the Year

Sasa mkuu aliitaka UK aingie nayo mkataba wa amani baada ya kuichakaza London Kwa mabomu ndo maana Waingereza waligoma hadi nao wahakikishe wanampiga hadi aondoke madarakani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Missile, kila factor unainganisha na Jews/ global Zionist na kuwafanya kuwa wao ni wabaya zaidi ya Hitler na unyama wake

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Hio ndio sheria ya dunia.. mshindi wa vita ndio anaandika historia.

Hata kwenye vita yetu na idd amini side ya pili ya ukweli kuhusu vita inatisha na ukweli ni kwamba Tz tusingepata support kubwa kutoka kwa waganda,nchi za sadc, n.k tungechezea kichapo... lakini kwakua tulishinda sisi ndio tunaandika history. Kwahio tunaitwist tutakavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Idd amin pia alipata msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu aliitaka UK aingie nayo mkataba wa amani baada ya kuichakaza London Kwa mabomu ndo maana Waingereza waligoma hadi nao wahakikishe wanampiga hadi aondoke madarakani

Sent using Jamii Forums mobile app

Alitaka kuingia nao mkataba wa amani kabla ya kuipiga london, na tena baada ya kuwakung'uta wafaransa kuna kikosi kikubwa sana cha Uingereza kilikuwa stranded akawapa free passage warudi Uingereza bila kumdhuru mwanajeshi hata mmoja, Wanahistoria wanasema hiyo ilikuwa ni mistake kubwa sana maana Muingereza na wanajeshi wake waliporudi wakaona huu mziki mnene wakamuomba Brother America aingilie kati!. Kwa bahati mbaya Mjapani akapiga Pearl habour hapo mmarekani akaona sasa muda wa kuingiza timu umewadia. Wanahistoria wanakwambia Uingereza ilishabakiwa na Chakula cha wiki mbili tu kabla ya Mmarekani kuwafinance kwa kuwapa mkopo wa pesa zaidi ya dola bilion 40 ambazo kwa thamani ya leo ni zaidi ya dola bilion 400 ( Uingereza alimaliza kulipa huo mkopo mwaka 2006), Pia Mmarekani akaisupply uingereza zana nzito za kijeshi na pia yeye mwenyewe kuingia front
Laiti Hitler angejua, Kile kikosi cha Muingereza angekibutua na kuwapelekea kichapo kulekule uingereza kwa kupiga viwanda, reli na meli za muingereza!. Kama London ingeanguka, Ingekuwa vigumu Mmarekani kuingiza Jeshi kupigana peke yake. Kumbuka wakati huo Ufaransa tayari bendera ya Hitler ilikuwa ikipepea pale Paris!
 
Alitaka kuingia nao mkataba wa amani kabla ya kuipiga london, na tena baada ya kuwakung'uta wafaransa kuna kikosi kikubwa sana cha Uingereza kilikuwa stranded akawapa free passage warudi Uingereza bila kumdhuru mwanajeshi hata mmoja, Wanahistoria wanasema hiyo ilikuwa ni mistake kubwa sana maana Muingereza na wanajeshi wake waliporudi wakaona huu mziki mnene wakamuomba Baba yao aingilie kati!. Kwa bahati mbaya Mjapani akapiga Pearl habour hapo mmarekani akaona sasa muda wa kuingiza timu umewadia. Wanahistoria wanakwambia Uingereza ilishabakiwa na Chakula cha wiki mbili tu kabla ya Mmarekani kuwafinance kwa kuwapa mkopo wa pesa zaidi ya dola bilion 40 ambazo kwa thamani ya leo ni zaidi ya dola bilion 400 ( Uingereza alimaliza kulipa huo mkopo mwaka 2006), Pia Mmarekani akaisupply uingereza zana nzito za kijeshi na pia yeye mwenyewe kuingia front
Laiti Hitler angejua, Kile kikosi cha Muingereza angekibutua na kuwapelekea kichapo kulekule uingereza kwa kupiga viwanda, reli na meli za muingereza!. Kama London ingeanguka, Ingekuwa vigumu Mmarekani kuingiza Jeshi kupigana peke yake. Kumbuka wakati huo Ufaransa tayari bendera ya Hitler ilikuwa ikipepea pale Paris!

Mkuu..
Kuna jambo moja watu wanashau..sikuzote victors/washindi ndio huandika historia..ie haya yote mabaya ya Hitler ni fabrication na exageration...
Hitler alikua kiongozi bora duniani na sidhani kama kunamtu atakuja kumfunika..
Hitler ndie alie ifanya ujaruma kua taifa lenye nguvu europe hadi leo
 
Missile, kila factor unainganisha na Jews/ global Zionist na kuwafanya kuwa wao ni wabaya zaidi ya Hitler na unyama wake

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo

Global Zionists waliifanya Ujerumani kitu mbaya mkuu.

Hivi unajua kwamba mwaka 1933 Zionists waliingia mkataba unaoitwa Transfer agreement (just google it) na Hitler ili Hitler awaruhusu Wayahudi wahamie palestine bila kuwanyang'anya utajiri wao waliokuwa nao Ujerumani in exchange Zionists watatumia pesa zao wanazozideposit katika benki huko ujerumani kununu bidhaa za ujerumani kisha wataenda kuziuza huko Palestine na kwingineko ili kureclaim pesa zao. Hili dili lilikuwa win-win maana liliboost uchumi wa Ujerumani uliokuwa umeshake sana.

Kabla ya makubaliano hayo Zionists walikuwa wameshatangaza Boycott ya Bidhaa za Ujerumani kitendo kilichoupa tabu sana uchumi wa Ujerumani. (Unaweza kugoogle Zionists Germany boycott).

Leo Israel inapambana vikali sana kuhusu ile BOYCOTT-DIVESTIMENT-SANCTIONS(BDS) dhidi yao kwa sababu wanajua ukali wa hiyo kitu na wao ndo waasisi, Hiyo mbinu ilisaidia kupunguza nguvu ya Mjerumani na ndiyo kwa kiwango kikubwa ilisaidia kuanguka kwa Ukaburu South Africa
 
Kutoka libya tu...sisi tulisaidiwa na Mozambique ,south africa, uganda yenyewe, nchi nyingi za commonweath n.k

Sent using Jamii Forums mobile app

Mchina alitupa silaha za kutosha.

Kumbuka OAU walikuwa wakituona sisi ndo wachokozi lakini Security Council hawakuingilia kati ile vita kujaribu kuizuia kwa sababu kwanza Uingereza na Wazungu hawakumpnda Amin kwa sababu alikuwa akiwakejeli na Pia Mchina na Mrusi walikuwa rafiki zetu kwa hiyo resolution yoyote ya kutulaumu au kuzuia ile vita wangeiveto!!
 
Mkuu unaielezeaje fact kwamba Moscow ilikuwa imebaki kilometa chache tu kukamatwa na majeshi ya Hitler na pia unaielezeaje effect ya Ile winter iliyogandisha vifaa vya Wajerumani kiasi kwamba vikashindwa kumove kwenye barafu nzito?
Hilo liko sahihi..juzi nilikwa nikisoma article fulani hivi pro Russia. Wanasema kwamba wajerumani walikwa wameikaribia Moscow Hadi Stalin akakimbia St Petersburg na kuiacha Kremlin wazi..Ni baada ya winter ndipo wajerumani walipopigika vilivyo.
Kingi ne Ni kwamba wasovieti walikwa na silaha duni Sana compared to German..
Wao hawakwa na ndege Vita imara. Hawakuwahi na tanks imara Kama panzer. Wao silaha kubwa ilkwa uzalendo Ni Kama walipigana kufa na kupona thus why walipoteza watu milion 26-27 wakat wajerman walipoteza watu milion hv katik operation Barbarossa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sie tusiojua historia tunasoma tu ,Ila kila baada ya paragraph kazaa tunawakuta wayahudi.
Wayahudi Mara kuundiwa taifa Lao Palestine haya tunasoma soma tu mnayojajua historia ya hi Hi I vita.
 
Sie tusiojua historia tunasoma tu ,Ila kila baada ya paragraph kazaa tunawakuta wayahudi.
Wayahudi Mara kuundiwa taifa Lao Palestine haya tunasoma soma tu mnayojajua historia ya hi Hi I vita.

  • Hao ni Puppet masters au Chess players wa hii kitu inayoitwa Global order!
  • Wanamiliki World Financial systems
  • Wanamiliki Media kubwa kubwa kuanzia TV na Printed press
  • Wanamiliki politicians influential kama vile Congressmen, Senators etc
  • Wanamiliki entertainment industry kama vile Hollywood , Studio kubwa etc
Wakiamua kukutangaza kuwa wewe ni katili, muuaji, coordination yao inatisha
Wakiamua kukupiga vikwazo usiuze au kuuziwa bidhaa kadha wa kadha utaisoma namba
Wana uwezo wa kutengeza artificial economic recession

Nitakupa mfano
(1) Bolshevick revolution ya urusi iliyopelekea mauaji ya Wakiristo zaidi ya milion 20 huko Urusi, walikuwa wao
(2) Young Turks revolution iliyopindua utawala wa Sultan kwenye Ottoman empire mwaka 1908 walikuwa ni wao, hawa Young Turks historia inawatambua kama Crypto-Jews wa Uturuki, Hata muasisi wa Taifa la leo la Uturuki la kisasa aitwaye Mustafa Kemal Atartuk naye alikuwa ni miongoni mwa hao Young turks na alikuwa Freemason (hili liko documented ni historical fact), Hawa Young Turk ndiyo waliofanya Mauaji ya Kutisha ya Kimbari ya Wakiristo wa Armenia ( ZAIDI YA WAKIRISTO MILION 1.5 WALIUAWA KWENYE ALMENIA GENOCIDE)

Ndugu yangu hawa watu siyo wa mchezo mchezo, Ni Network may be behind the scene yupo Shetani mwenyewe, maana mipango yao ni ya muda mrefu
 
Back
Top Bottom