Ujue ugonjwa wa Kichocho (Bilharzia); Chanzo, dalili na tiba

Niliwahi kupata tatizo kama lako hilo mkuu na nikatumia dawa hizo hizo na sindano juu (gentamycine) lakini wapii. Nikaenda hospitali kubwa nikafanyiwa kipimo kikubwa zaidi cha mkojo kinaitwa urine culture ndio akaonekana bacteria anayesumbua na kutibiwa. Kwenye majibu ya kipimo pia niliorodheshewa list ya dawa ambazo haziwezi kummudu bacteria huyu (ambazo kimsingi zote nilikuwa nimeshatumia). So mkuu achana na hayo madawa kwanza yatakuua figo ni makali mno. La msingi ingia mfukoni tafuta hospitali makini yenye wataalamu makini ukafanye kipimo cha uhakika uone tatizo ni nini. Hizi hospitali zetu za nchi ya viwanda hazitibu mkuu ni vituo vya kukomaza maradhi na kusindikizana akhera tu. Kule wanafanya kazi kwa mazoea tu, mf. ukimtajia dalili hizo ye anaconclude tu ni STD anakutwanga dozi moja amazing. Unapokwenda kutibiwa kwingine usiache kumwambia Dr. historia ya matibabu yako na dawa ulizotumia. Binafsi Dr. alishangaa sana nilipomueleza historia ya matibabu yangu na akanipa kauli moja kuwa kwny tatizo langu ilitumika bunduki kuua mbu.
Asante mkubwa
 
Maambukizi ya mfumo wa viungo vya mkojo

Maambukizi ya mfumo wa viungo vya mkojo ni bakteria maambukizi katika sehemu yanjia ya mkojo. Yanapoathiri sehemu ya chini wa njia ya mkojo, maambukizi haya hujulikana kama sisititisi ndogo (maambukizi ya kibofu). Yanapoathiri sehemu ya juu ya njia ya mkojo, maambukizi haya hujulikana kama pilonifritisi (maambukizi ya figo). Dalili katika sehemu ya chini ya njia ya mkojo ni pamoja na uchungu wakati wa kukojoa na aidha kukojoa kila mara au kuhisi haja ya kukojoa (au zote). Dalili za maambukizi ya figo pia huhusisha homa na maumivu katika mwanya wa fupanyonga. Katika watu wazee na watoto wachanga, dalili haziwi wazi kila wakati. Kisababishi kikuu cha aina hizi mbili niEscherichia coli.Hata hivyo, katika matukio machache, bakteria zinginezo, virusiau kuvu zinaweza kuwa ndivyo visababishi.

Maambukizi ya mfumo wa viungo vya mkojo hutokea mara nyingi zaidi katika wanawake kuliko wanaume. Nusu ya idadi ya wanawake huambukizwa katika wakati fulani maishani mwao. Marudio hutokea mara nyingi. Vipengele visababishi vilivyo hatari ni pamoja na ngono na pia historia ya kifamilia. Maambukizi ya figo yanaweza kufuatia maambukizi ya kibofu. Maambukizi ya figo pia yanaweza kusababishwa na maambukizi ya damu. Utambuzi katika wanawake wachanga wenye afya unaweza kutazamwa kwa msingi wa dalili pekee. Utambuzi unaweza kuwa mgumu kwa watu walio na dalili zisizo wazi kwani bakteria zinaweza kuwepo hata kama mtu huyu hana maambukizi. Katika matukio yenye matatizo au ikiwa matibabu hayajafaulu, uchunguzi wa vimelea katika mkojo wakati mwingine husaidia. Mtu aliye na maambukizi ya kila mara anaweza kutumia kipimo kidogo cha antibiotikikama namna ya kuzuia.

Matukio madogo ya maambukizi katika mfumo wa viungo vya mkojo hutibiwa kwa urahisi kwa kutumia mfululizo wa antibiotiki. Hata hivyoupinzani dhidi ya antibiotiki zinazotumika kutibu hali hii, unaendelea kuongezeka. Watu walio na matukio yenye matatizo, wakati mwingine hushurutika kutumia antibiotiki kwa muda mrefu zaidi au watumie antibiotiki zinazodungwa ndani ya misuli. Ikiwa dalili hazipungui baada ya siku mbili au tatu, mtu atahitaji kufanyiwa uchunguzi zaidi. Katika wanawake, maambukizi ya mfumo wa viungo vya mkojo ndiyo maambukizi yanayotokea mara nyingi zaidi katika aina zote za maambukizi ya bakteria. Asilimia kumi ya wanawake hupata maambukizi ya mfumo wa viungo vya mkojo kila mwaka.



Dalili na ishara

Maambukizi ya sehemu ya chini ya mfumo wa viungo vya mkojo pia hujulikana kama maambukizi ya kibofu. Dalili zinzotokea mara nyingi zaidi ni hisia za kuchomeka wakati wa kukojoana kukojoa kila mara (au kuhisi kukojoa) bila mchozo wa uke na maumivu mengi.[1] Dalili hizi zinaweza kutofautiana kutoka dalili zisizo kali hadi dalili kali[2]. Katika wanawake wenye afya njema, dalili hizi hudumu kwa wastani wa siku sita . [3] Baadhi ya watu huwa na maumivu juu ya mfupa wa kinene au kwenye maumivu ya sehemu ya chini ya mgongo. Watu walio na maambukizi katika sehemu ya juu ya mfumo wa viungo vya mkojo au pilonifritisi (maambukizi ya figo), wanaweza kuwa na maumivu katika maumivu ya fupanyonga, homa au kichefuchefu na kutapika. Dalili hizi huambatana na kikundi cha dalili za maambukizi ya upande wa chini cha mfumo wa viungo vya mkojo.[2] Mkojo huwa na damu mara nadra sana[4] au kuwa na piuria (usaha katika mkojo)

Nenda kapime hospitali utumie dawa usipo pona nitafute nipate kukutibia.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Maalim Saad Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Asante mkubwa. Ngoja madawa yapungue mwilini ndo nitaenda nikafanye culture and sensitivity
 
Niliwahi kupata tatizo kama lako hilo mkuu na nikatumia dawa hizo hizo na sindano juu (gentamycine) lakini wapii. Nikaenda hospitali kubwa nikafanyiwa kipimo kikubwa zaidi cha mkojo kinaitwa urine culture ndio akaonekana bacteria anayesumbua na kutibiwa. Kwenye majibu ya kipimo pia niliorodheshewa list ya dawa ambazo haziwezi kummudu bacteria huyu (ambazo kimsingi zote nilikuwa nimeshatumia). So mkuu achana na hayo madawa kwanza yatakuua figo ni makali mno. La msingi ingia mfukoni tafuta hospitali makini yenye wataalamu makini ukafanye kipimo cha uhakika uone tatizo ni nini. Hizi hospitali zetu za nchi ya viwanda hazitibu mkuu ni vituo vya kukomaza maradhi na kusindikizana akhera tu. Kule wanafanya kazi kwa mazoea tu, mf. ukimtajia dalili hizo ye anaconclude tu ni STD anakutwanga dozi moja amazing. Unapokwenda kutibiwa kwingine usiache kumwambia Dr. historia ya matibabu yako na dawa ulizotumia. Binafsi Dr. alishangaa sana nilipomueleza historia ya matibabu yangu na akanipa kauli moja kuwa kwny tatizo langu ilitumika bunduki kuua mbu.
Asante Ndugu yangu
Lkn VP ulipona kabisa baada ya kupewa ile dawa??????
 
Habari ndugu zangu....
Mimi ni mkazi wa kanda ya Ziwa, nimepoteza ndugu wengi waliofariki kwa ugonjwa wa kichocho. Hivyo naomba msaada wenu ili niweze toa elimu kwa jamii inayonizunguka ili wawe salama.
Napenda kujua yafuatayo
.Mtu anapopata vijidudu vya kichocho inachukua mda gani mpaka kuanza kuugua?
.Je ni njia zipi zinazopelekea mtu kupata ugonjwa huu?
. Kichocho kina athiri vitu gani mwilini?
. Kuna uhusiano gani kati ya kichocho na tatizo la bandama?
. Kwa nini wagonjwa wengi wa ugonjwa huu, hutapika damu hasa katika nyakati ambazo ugonjwa huu unakuwa kama umekomaa, na wengi hufa kwa sababu ya kutapika damu?
. Je ugonjwa huu unatibika katika hatua ipi?
. Kwa nini dawa yake (vidonge) wengi huvuiogopa?
.Ewe mtaalamu ama mwenye uelewa na ugonjwa huu wazeza ongezea taarifa yoyote kuhusu ugonjwa huu.
 
Water borne desease ni mtu mwenye tu kujitakia. Hivi mtu kama unashindwa kujali afya yako unategemea nini? Hivi kuchemsha maji ni kazi? Hapo hamna namna mkuu kuepukana na hili tumia maji yaliyo chemshwa vizuri. Kunywa, pigia mswaki, kama ni mpenzi wa kachumbari oshea viungo na maji yaliyo chemshwa. Tuache uzembe maisha ni mara moja tu.
 
Back
Top Bottom