Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
Kata mara moja kuna familia moja huko moshi walikuwa wameipanda sana vifo vikafululiza wameikata. Ni familia ya wasomi tena wanaojitambua.Alafu hiii miti imezuka tuuu miaka ya 95 hapa huko nyuma haikuwepo, sijui mwisho wa dunia unakaribia