Ujue Mti chonganishi

Jamaa ni wa kutoka Uganda? Maana kuna wakati miti ya aina hii ilipandwa na kukawa na vifo vingi vya wamiliki wa nyumba husika. Mwisho wa siku waka conclude kuwa miti ina mkosi, lkn wakati huo miti hii migeni katika nchi ya Uganda ilipandwa na vijana wenye kipato ambao wengi waliathirika na ujio wa AIDS na wakati huo matibabu yalikuwa hafifu hivyo wengi waliishia kufa na hitimisho likawa kuwa ni sababu ya MTI wakati siyo kabisa.
Kama ulikuwepo mkuu Nyati!
 
Ni wakati wa kupanda miti yenye kuleta tija. Nyumba sio vizuri ikajazwa miti ya kivuli na mapambo tupu huku wenyewe mna uwanja wa kutosha mnaishia kununua matunda magengeni na juice za mabox. Mimi kwangu mti pekee wa kivuli ni muarobaini tu. Sikutaka uvivu kwenye matunda nimepanda mengi sana ya aina karibia zote.
 
Ni wakati wa kupanda miti yenye kuleta tija. Nyumba sio vizuri ikajazwa miti ya kivuli na mapambo tupu huku wenyewe mna uwanja wa kutosha mnaishia kununua matunda magengeni na juice za mabox. Mimi kwangu mti pekee wa kivuli ni muarobaini tu. Sikutaka uvivu kwenye matunda nimepanda mengi sana ya aina karibia zote.
Hongera sana mkuu
 
Nitakupa ila mimi mingi sana ninaibeba Morogoro. Ilikuwa kila nikienda nabeba miche yangu. Migomba nitakugawia pia kama una eneo la kufaa migomba.
Migomba ninayo aina zote naishi migombani mkuu, napenda matunda hapa mitunda niliyonayo haizidi kumi coz Nina miti ya maparachichi, miembe, machungwa zambarau mananasi mafenesi mapera makomamanga,
Machenza sitafeli sinayo na matunda mengineyo mkuu
 
Migomba ninayo aina zote naishi migombani mkuu, napenda matunda hapa mitunda niliyonayo haizidi kumi coz Nina miti ya maparachichi, miembe, machungwa zambarau mananasi mafenesi mapera makomamanga,
Machenza sitafeli sinayo na matunda mengineyo mkuu

Stafeli ninao na nimeanza kula , mlimao ,mndimu pia. Nilipata miche SUA.
 
Huu mti nmeuontesha lakini zaidi ya watu wawili wananiambia huumti ukiotesha una mikosi, yani hapo nyumbani itakua ni mikosi na ugomvi tuu.

Anaeujue hii habari ya huu mti anieleweshe
8d469de7920da2704167c7cf11592b12.jpg

6bbdd27a9f6382364604e90aa21302d9.jpg
 
Huu mti, Mshana Jr alishauelezea sana humu jukwaani. Tafuta thread "mti chonganishi"
 
Huo mti tunaita "Uzazi wa Mpango" sitaki kuamini kama mti wenye mizizi ya kuleta nyufa ni mwaru40.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom