Si lazima utafune yale majani. Chuma yatupie kwenye mboga inapoungwa taste haibadiliki. Ila isichemke sana.
Hii ni thread educative, hongera sana.These are the kind of threads one would like to read,sio thread za kijinga jinga tu.Okay,ninayo Milongelonge shambani kwangu.Lakini taste ya mbegu zake au unga wake mm,inahitaji moyo.Sijawahi kula majani yake kama mboga,lakini nasikia nayo ni extremely nutritious.Kwa wale wanaoweza kula unga wake while mixed with warm water,nasikia ni dawa nzuri ya kisukari pia.