KaribuVizuri
Si unajua wabongo ubishi mwingihuyu jama hana lolote arejee post za mwanzo mbona nime c&p baadhi ya magonjwa yanatibika kwa mlonge, mpuuze
Inategemea na ugonjwa lakin hata kiwi kula mbegu zaidi ya 3 kwa sikuKuna mtu anauliza dose ya mbegu inachukua mwezi au week?
Njoo pm
Ndo maana nimewaambia Waje serious waje pmWeka picha za hizo bidhaa zako ili kuhamasisha zaidi,na taja mahali ilipo na uweke kigezo wa mkoani watatumiwa n.k
Watakuja,lakini wengine ni wavivuNdo maana nimewaambia Waje serious waje pm
Kutoa namba yangu public ni hatariWatakuja,lakini wengine ni wavivu
Niungishe basi japo unga wa Majani uwe unatumia kama chaiWeka picha za hizo bidhaa zako ili kuhamasisha zaidi,na taja mahali ilipo na uweke kigezo wa mkoani watatumiwa n.k
Bei tafadhali na ina madhara ganiNiungishe basi japo unga wa Majani uwe unatumia kama chai
Haina madhara ata kidogo,bei ni 10,000 kwa gram 250 utatumia mwezi mzimaBei tafadhali na ina madhara gani
Acha kutumia Majani ya chai ya kawaida sio mazuri,Bei tafadhali na ina madhara gani
ha ha ha ha yana shida ganiAcha kutumia Majani ya chai ya kawaida sio mazuri,
ha ha ha ha yana shida gani
Sawa afya ni muhimu zaidisio mazuri yana caffeine
Nami niliwahi kushauriwa nitumie mlonge kwa ajili ya ulcers naambiwa ni dawa yenye uhakika. Naomba nielekeze jinsi ulivyoaanda.Nimeanza jana kunywa majani ya mlonge km tiba ya vidonda vya tumbo
Ninaendesha kiasi sio sana
Ukiinywa inalevya flani hivi
Japo bado mapema lakini juzi nilikuwa hali mbaya mbaya lakini kwa jana na leo naiona nafuu tena pasipo kumeza dawa za hospitali
Miti ni dawa hatujui tu napoishi hiyo milonge ipo ya kutosha na wenyeji hawajui kabisaa sifa za mti huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo pitia post za nyuma uone kuna mdau nae anatumia kwa ajili ya vidonda vya tumbo na kaelezea anavyotumia na anapata nafuu na sisi tumeongezea maelekezo ,ukisha Elewa hayo maelekezo na hujui pa kupata mlonge ,njoo pm nikushauri zaidi na kukupa uwo Mlonge ni bei nafuu Tshs.10,000 gram 250 unga au Majani mabichi pia utapataNami niliwahi kushauriwa nitumie mlonge kwa ajili ya ulcers naambiwa ni dawa yenye uhakika. Naomba nielekeze jinsi ulivyoaanda.
Sent using Jamii Forums mobile app