Dannis
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 1,580
- 1,622
Hahhaa kweli kabsa hii ni fursa usipende kuwa na Huruma mbele wa pesa ..... Big upNdiyo biashara au unataka nianze kuomba omba
Hahhaa kweli kabsa hii ni fursa usipende kuwa na Huruma mbele wa pesa ..... Big upNdiyo biashara au unataka nianze kuomba omba
Kwa kutumia unga wa mizizi ya mlonge mwanaume utakuwa rijali na utaondokana na tatizo la kushindwa kumfikisha kimapenzi mwenzi wako. Kumbuka kuwasiliana nami ili upate kitu kizuri ,unga ulioandaliwa katika mazingira safi bila kukausha kwenye jua
Nahitaji mizizi nitumie namba yako pmInashauriwa matumizi sahihi ya mzizi wa mlonge yanaweza kutibu tatizo la nguvu za kiume.
Teh teh mkuu, jamaa kaona fursa kaitumia tatizo wewe ukusema unauza!!!Unawekaje tangazo kwenye tangazo langu
Nitaupataje?Our Moringa leaf powder is hygienically prepared and packed.
Karibu maana mimi nimejaribu kuku pm nimeshindwaUpo Naomba nije pm kukuelekeza vizuri
Hapo. Ina ondoa masumu, na vitu vilivyo ji attach kwenye tumbo... Keep it up, glass moja ya maj asubuh na jioni.Nimeanza jana kunywa majani ya mlonge km tiba ya vidonda vya tumbo
Ninaendesha kiasi sio sana
Ukiinywa inalevya flani hivi
Japo bado mapema lakini juzi nilikuwa hali mbaya mbaya lakini kwa jana na leo naiona nafuu tena pasipo kumeza dawa za hospitali
Miti ni dawa hatujui tu napoishi hiyo milonge ipo ya kutosha na wenyeji hawajui kabisaa sifa za mti huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiii kitu nilikuw na kitabu chake pdf, jinsi ya kuutumia kwa matatizo mbalimbali..... Ratios na uzito wa mtu.Nimeianza dozi mti una sifa nyingi huu lkn haujulikani kabisaaa mi mwenyewe sikuwa naujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji yasiwe moto sana, na yapitishe kidgo tu, kwa ajili ya kuusafishia, usije potoze micro nutrients nyingi humo.Kwa vile miti ipo nachuma majani kiasi tu vitawi kama vitatu au vinne nayadumbukiza katika maji ya moto km kuyaosha halafu nayaweka kwenye blender naongeza na maji safi ya kunywa kikombe kidogo cha robo kilo, nasaga nachuja ndipo nakunywa
Juice yake inateleza hivi kama mlenda
Akimaliza kunywa ale ama anywe maziwa asikae bila kula ni dawa ambayo inalevya na inaleta kichefuchefu baada ya kuinywa
Jana mchana niliziona rangi zote nilipoinywa sikula chakula kwa haraka weeeee inakuwa kama kunywa dozi ya malaria pasipo kula au kunywa vya kutosha
Na nachofanya nainywa mara mbili asubuhi na jioni
Wadau mnisaidie tusizidishe dozi tukakufa jameni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule Tanga nimekaa, unazungumzia vilr vizee vinavyoa mabinti wadoogo... Sababu wapo vzuri bado.Mlonge huu huu umejaa sana mashamba ya Tanga, wazee wanakula sana kwa ajili ya matibabu ya maladhi mengine kila siku lakini bado ni wachovu tu. Wake zao.kuchwa kutafuta kupigwa miti nje.
Hapo. Ina ondoa masumu, na vitu vilivyo ji attach kwenye tumbo... Keep it up, glass moja ya maj asubuh na jioni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiii kitu nilikuw na kitabu chake pdf, jinsi ya kuutumia kwa matatizo mbalimbali..... Ratios na uzito wa mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ya moto sana na siiloweki nadumbukiza tu kama kuosha na kutoa ndipo naisaga katika blenderMaji yasiwe moto sana, na yapitishe kidgo tu, kwa ajili ya kuusafishia, usije potoze micro nutrients nyingi humo.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna siku niliambiwa kuwa mlonge ni dawa ya Malaria sasa nikachemsha mizizi yake nikanywa baada ya kupona kama wiki hivi baadae nikapata mechi aiseee nilipiga show ya heavy weight mpaka mnyakyusa wa watu alipiga kilele kuwa Papuchi inawaka moto.
Baada ya mwezi nikaja kuambiwa ile kitu inatibu mpaka nguvu za kiume, toka nilikunywa napiga show za kibabe
Nyingi wote WA Moja Biashara at work
HAHAHAHAHHAAA