Sijaelewa mkuu unaenda kushuhudia nini? Watu wakibadilika au siku za kuishi zikiongezeka?nitaenda kushuhudia mwenyewe
Watu wakibadilikaSijaelewa mkuu unaenda kushuhudia nini? Watu wakibadilika au siku za kuishi zikiongezeka?
babeeh ndo nn? Sijaelewa lolUko sawa?
Mbona kama umekurupushwa huku una kipande cha Umthondo kwenye ingquza,
Sijaridhika ndyo eeehHujaridhika tu?
khaaaaaah Dea bhanaa lolKuna mtu kakutia unyevu unyevu?
Utanstua cc tuende wote.nitaenda kushuhudia mwenyewe
Hahahaha babe tuyaache tu hayobabeeh ndo nn? Sijaelewa lol
Jomoneeeh bas ninong'oneze sikioni.Hahahaha babe tuyaache tu hayo
Kajaribu kuzunguka 😀😀😀Hekaya
Kajaribu kuzunguka tu kwani shida ipo wapi 😀😀Wahenga apo walitudanganya
nimecheka had kupaliwa mate lol, hii ndo Africa.Wakati wazungu wanatumia karibu Sh Mil 50 kubadili jinsia zao, huko bagamoyo gharama yake ni kuzungumka tu mbuyu.
Kweli imani ni kifungo kibaya zaidi ya gereza.
Nimejikuta siwezi kuhold it. Nimemchana huyo pungaGet busy na uachane na maisha yasiyokuhusu
Kile kisima kilichimbwa Kama choo Cha kukaa ndio maana hakiwezi kukauka kamwe. Ni Kama unavyoflash maji halafu yanaendelea kuwepoMimi na Crew yangu tulifika hilo eneo tukapata habari zake, tukauzunguka mti huo mara 7, ilikua for fun hakuna mtu aliweka imani ya kinachoelezwa,
Pia kuna kisima hapo hapo Kaole wanasema kipo tangu karne ya mbali huko hakikauki maji pia hakina chumvi licha ya kua karibu na bahari, watu wana nawa na wengine wanakunywa maji yake kwa ajili ya kupata baraka.