GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Baada ya Bunge la JMT kutoa tafsiri ya maana ya Kambi ya upinzani bungeni ambapo lengo lake kuu lilikuwa ni kujali maslahi ya kitaifa zaidi na si ubinafsi wa watu wachache wenye uchu na uroho wa madaraka. Kamati mbali mbali za bunge jana zilifanya chaguzi zao za viongozi wa kamati hizo, ambapo CDM walipata kamati moja , UDP kamati moja na TLP kamati moja. Hili kwa kweli laonyesha ni mwanzo mzuri kwa wapinzani kuimarisha kambi yao, na si chama kimoja kuhodhi/kupora madaraka ya kambi nzima.
Kwa maana hiyo basi, CDM sasa wanauwezo wa kuchagua kutoka kambi yao tu mawaziri vivuli au kuchagua kutoka vyama vingine pia, kwa mie naona mawaziri vivuli ni kama wabunge wa viti maalum tu. Yale macho (kuongoza oversight committees zote 3) ambayo CDM walitegemea kuyapata hawana tena, hivyo basi watakuwa watazamaji zaidi kuliko watekelezaji zaidi.
Kwa maana hiyo basi, CDM sasa wanauwezo wa kuchagua kutoka kambi yao tu mawaziri vivuli au kuchagua kutoka vyama vingine pia, kwa mie naona mawaziri vivuli ni kama wabunge wa viti maalum tu. Yale macho (kuongoza oversight committees zote 3) ambayo CDM walitegemea kuyapata hawana tena, hivyo basi watakuwa watazamaji zaidi kuliko watekelezaji zaidi.