Single ladies wamejaa sana humu JF mkuu. Komaa tu utapatamo mama watoto hapa hapa.Ntapatia mke huku kwa hii thread aisee !
Niliiona Tandale kwa mama yangu mkubwaHuku manzese sijaona kabisa
Ndugu pia hurogana mkuu...ila probability ni ndogo....kibongobongo majirani ndo wanaongoza kurogana
Maisha ya ujamaa haya mkuu...Huku Zanzibar mnamo mika ya 88 ilikua tukiteka maji ndoo tunaazima kwa jirani unapewa ndoo tupu ila ukirudisha iwe na maji vyenginevyo kesho unaambiwa ndoo zote zinamaji .
Maisha ya ujamaa yalikuwa yana raha sana enzi zile...Sio uswahilini tu, nakumbuka hata miaka ya nyuma kijijini kwetu jirani akivuna kunde, mahindi au maharage na kukuletea huwezi rudisha chombo kikiwa tupu
Ila hao hao majirani ndio wanakuwa wa kwanza kufika pindi ukutwapo na tukio la dharura kama vile msiba.ila probability ni ndogo....kibongobongo majirani ndo wanaongoza kurogana,majirani wana wivu,ukinunua fridge wanakuletea pila yenye sumu
Maisha kama haya yalisaidia sana katika kujenga umoja na mshikamano katika jamii mzee baba...Hizo mambo zilikuwa huko nyuma tena vijijini bush huko