Imekuwa ni kawaida ya waTanzania kukandia, kuponda na kupinga kila kitu. Nimejaribu kuchungulia media na comments za majirani zetu Kenya nimeona ni jinsi gani walivyoweka uzalendo mbele na kila mmoja anasifia na kujiona fahari kwa ujio wa ugeni huo mkubwa.
Cha kushangaza hapa kwetu walikuja viongozi wakubwa wa dunia hii kama rais Xi wa china na Obama wa marekani lakini kilichojiri ni wabongo kuponda mara anakuja kuiba rasilimali zetu na mambo mengine yasiyo ya kiustaarabu kama hayo.
Naamini kwa dhati kabisa: TUNA CHA KUJIFUNZA KUTOKA KWA MAJIRANI ZETU
Cha kushangaza hapa kwetu walikuja viongozi wakubwa wa dunia hii kama rais Xi wa china na Obama wa marekani lakini kilichojiri ni wabongo kuponda mara anakuja kuiba rasilimali zetu na mambo mengine yasiyo ya kiustaarabu kama hayo.
Naamini kwa dhati kabisa: TUNA CHA KUJIFUNZA KUTOKA KWA MAJIRANI ZETU