GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
miaka ile ya 90 iliibuka issue moja ya jini liliokuwa likijulikana kwa jina maarufu POPO BAWA. wengi walikuwa wadogo au bado hawajaja huku Town (Dar) nakumbuka mimi nlikuwa nasoma miaka ile nikiwa na ufahamu wangu timamu na uelewa wa mambo mbali mbali.
ukanda huu (upwa wa afrika mashariki hususani tanzania na zanzibar) lilizuka dubwana lililokuwa likifahamika kwa jina la POPOBAWA.Hili bazazi,baradhuli , na laana kum kabisa lilikuwa limeamua kufanya uhayawani ule usiomithirika kwa jamii ya kiume pasina haya. wazee miaka hiyo ilifikia hatua asubuhi walikuwa wanakwepana maana ilikuwa ni aibu isiyo na kifani machoni na masikioni mwao.
Popobawa alisababisha wanaume wengi washindwe kulala na wake zao kwa amani na hata pale walipolala nao hali zao zilikuwa ni za mashaka na kupata usingizi wa mang'amu ng'amu.imagine unashtuka usiku mkali unajigusa au mkeo anakugusa sehemu zako za haja kubwa anakuta kuna urojo rojo kama wa yai bichi. ndo nyingi zilivunjika au kuingia kwenye migogoro. maana ilikuwa popobawa anapoitembelea nyumba husika yeye atamwingilia mwanaume (kitu ambacho si halali hata kidogo) na akifanya tendo hilo atampasulia yai ( kumwachia manii ) hivyo ilikuwa wanaume wanaamka wakiwa wameloana sehemu zao za nyuma kama vile mtu aliyepasuliwa yai.
sharti lilikuwa moja tu. ukitembelewa na lijamaa hilo popobawa lazima ukatangaze ikiwa hutaki akurudie tena usiku uliofuata. hivyo mwanaume kama ni baba mwenye familia inabidi jioni uwaitishe wana familia kikao cha dharura baada ya kula na useme wazi kuwa "jamani mwenzenu usiku wa kuamkia leo nimetembelewa na popobawa"baada ya hapo mhusika ataamka kwa unyonge na kuelekea chumbani. kulikuwa hakuna maswali. watoto mkisikia hivyo mnajua "mzee tayari kavunjiwa yai" kama alikuwa ni mkorofi sana kimoyo moyo mnashangilia kuwa naye amekomolewa. kuanzia hapo unakuta mzee mhusika anakuwa na nidhamu sana kwa familia yake. ikiwa mtu alikaidi kutangaza basi usiku uliofuatia alitembelewa tena. na akikaidi anatembelewa tena, akikaidi anatembelewa tena na tena na tena. mpaka autangazie umma.
mbaya zaidi kama hujaoa hapo inabidi ukawaambie washkaji kijiweni. waliokuwa wameoa angalau ilikuwa inasaidia siri za familia kubaki ndani. imagine unaenda kijiweni kuwaambia washkaji " wadau mi usiku wa kuamkia leo nimevunjiwa yai na popobawa" kuanzia hapo wana kucheck kwa jicho gani? miaka ile ilibidi mamentali wawe wanalala na kipande cha mfupa wa nkitimoto ili kumzuia popobawa asije.inasemakana hakuwa na urafiki na jambo hilo. sasa kwa sisi wabishi wa hiyo kitu nadhani miaka hii tungekuwa na option moja tu .. kuutangazia umma.
kama una mzazi wako aliyekuwa dar miaka hiyo muulize habari hiyo umsikie majibu yake. wadau tumetoka mbali sana . tukumbuke kuswali kabla ya kulala. ili kuepusha mapopobawa wasifanye uharibifu kwenye ndoa zetu.
ukanda huu (upwa wa afrika mashariki hususani tanzania na zanzibar) lilizuka dubwana lililokuwa likifahamika kwa jina la POPOBAWA.Hili bazazi,baradhuli , na laana kum kabisa lilikuwa limeamua kufanya uhayawani ule usiomithirika kwa jamii ya kiume pasina haya. wazee miaka hiyo ilifikia hatua asubuhi walikuwa wanakwepana maana ilikuwa ni aibu isiyo na kifani machoni na masikioni mwao.
Popobawa alisababisha wanaume wengi washindwe kulala na wake zao kwa amani na hata pale walipolala nao hali zao zilikuwa ni za mashaka na kupata usingizi wa mang'amu ng'amu.imagine unashtuka usiku mkali unajigusa au mkeo anakugusa sehemu zako za haja kubwa anakuta kuna urojo rojo kama wa yai bichi. ndo nyingi zilivunjika au kuingia kwenye migogoro. maana ilikuwa popobawa anapoitembelea nyumba husika yeye atamwingilia mwanaume (kitu ambacho si halali hata kidogo) na akifanya tendo hilo atampasulia yai ( kumwachia manii ) hivyo ilikuwa wanaume wanaamka wakiwa wameloana sehemu zao za nyuma kama vile mtu aliyepasuliwa yai.
sharti lilikuwa moja tu. ukitembelewa na lijamaa hilo popobawa lazima ukatangaze ikiwa hutaki akurudie tena usiku uliofuata. hivyo mwanaume kama ni baba mwenye familia inabidi jioni uwaitishe wana familia kikao cha dharura baada ya kula na useme wazi kuwa "jamani mwenzenu usiku wa kuamkia leo nimetembelewa na popobawa"baada ya hapo mhusika ataamka kwa unyonge na kuelekea chumbani. kulikuwa hakuna maswali. watoto mkisikia hivyo mnajua "mzee tayari kavunjiwa yai" kama alikuwa ni mkorofi sana kimoyo moyo mnashangilia kuwa naye amekomolewa. kuanzia hapo unakuta mzee mhusika anakuwa na nidhamu sana kwa familia yake. ikiwa mtu alikaidi kutangaza basi usiku uliofuatia alitembelewa tena. na akikaidi anatembelewa tena, akikaidi anatembelewa tena na tena na tena. mpaka autangazie umma.
mbaya zaidi kama hujaoa hapo inabidi ukawaambie washkaji kijiweni. waliokuwa wameoa angalau ilikuwa inasaidia siri za familia kubaki ndani. imagine unaenda kijiweni kuwaambia washkaji " wadau mi usiku wa kuamkia leo nimevunjiwa yai na popobawa" kuanzia hapo wana kucheck kwa jicho gani? miaka ile ilibidi mamentali wawe wanalala na kipande cha mfupa wa nkitimoto ili kumzuia popobawa asije.inasemakana hakuwa na urafiki na jambo hilo. sasa kwa sisi wabishi wa hiyo kitu nadhani miaka hii tungekuwa na option moja tu .. kuutangazia umma.
kama una mzazi wako aliyekuwa dar miaka hiyo muulize habari hiyo umsikie majibu yake. wadau tumetoka mbali sana . tukumbuke kuswali kabla ya kulala. ili kuepusha mapopobawa wasifanye uharibifu kwenye ndoa zetu.