kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Tunapoelekea tutaanza kuzindua products badala ya kiwanda, mf Tanzania Breweries wanaingiza sokoni bia ya 'safari lite' tunaenda kuzindua, vodacom wanaanzisha bando mpya ya 'wastaafu bando' tunaenda kuzindua, hakuna namna maana lazima wananchi wasikilize habari za kuzindua mara kwa mara