CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Wakuu kwa Wiki Mbili sasa nashuhudia magari kwa magari ya kisomba mitambo ya kiwanda kipya kinacho tarajiwakujengwa Mjini singida na Mount Meru Millers Co Ltd,
Mitambo hiyo imekuwa ikisombwa kutokea Bandari ya Mombasa kwa kupitia Namanga hadi Singida, na kwa mujibu wa Waziri nilimsikia kiwanda hiki kitakuwa ni kikubwa kabisa East and centre Africa katika viwanda vya kukamua mafuta ya alzeti,
Hii ni habari njema kwa Wakulima wa Alzeti katka Mikoa ya Dodoma, Singida, Manyara, make huku ndo alzeti inapo limwa kwa wingi sana,
Na inaweza kuwa si habari njema kwa wamiliki w viwanda vidogo kwa miji ya Singida, Babati, Hanang na hata Dodoma, hii ni kwa sababu kiwanda kipya kitakuwa na uwezo mkubwa sana na kuweza kukamua mafuta mengi kwa wakati mmoja, na kitahitaji Alzeti ya kutosha,
Kwa Viwanda vidogo vidogo ambavyo ni vingi sana mjini Sinida na Babati vitakuwa na wakati mgumu kushindana na huyu jamaa,na ikumbukwe kabla ya hapo MOUNT MERU MILLERS CO LTD ndo alikuwa na mitambo ya kuweza kukamua mashudu ya alzeti na kupata mafuta tena, hii ni kwa sababu viwanda karibia vyote kwa miji ya Babati na Singida hukamua mafuta kwa 80% yaani mashine hazina nguvu ya kukamua kwa 100%
Ni wakati sasa kwa wamiliki wa Viwanda vidogo katika miji hiyo wachague moja, Kuungana pamoja na kuwza kushindana na Mount Meru Millers au wafunge viwanda, na kwa Watanzaia tulivyo watu wako radhi kufunga biashara kuliko kuungana pamoja, na hakuna njia nyingine zaidi ya kuungana pamoja, make kwa mtu mmoja mmoja kupata mtaji wa kushusha kiwnda kama cha Mount Meru si ishu ya kitoto,
Huyu Mount Meru Miller amekuwa ndo mtu pekee anaye uza nje ya nchi CRUDE SUNFLOWER OIL, na huwa anapeleka nchi za Kiarabu,
NA HII NI IWE KWA WAFANYA BIASHARA WENGINE KWA KWELI BILA KUUNGANA NI VIGUMU SANA KUWEZA KUSHINDANA NA WATU WENYE MITAJI MIKUBWA KABISA
Mitambo hiyo imekuwa ikisombwa kutokea Bandari ya Mombasa kwa kupitia Namanga hadi Singida, na kwa mujibu wa Waziri nilimsikia kiwanda hiki kitakuwa ni kikubwa kabisa East and centre Africa katika viwanda vya kukamua mafuta ya alzeti,
Hii ni habari njema kwa Wakulima wa Alzeti katka Mikoa ya Dodoma, Singida, Manyara, make huku ndo alzeti inapo limwa kwa wingi sana,
Na inaweza kuwa si habari njema kwa wamiliki w viwanda vidogo kwa miji ya Singida, Babati, Hanang na hata Dodoma, hii ni kwa sababu kiwanda kipya kitakuwa na uwezo mkubwa sana na kuweza kukamua mafuta mengi kwa wakati mmoja, na kitahitaji Alzeti ya kutosha,
Kwa Viwanda vidogo vidogo ambavyo ni vingi sana mjini Sinida na Babati vitakuwa na wakati mgumu kushindana na huyu jamaa,na ikumbukwe kabla ya hapo MOUNT MERU MILLERS CO LTD ndo alikuwa na mitambo ya kuweza kukamua mashudu ya alzeti na kupata mafuta tena, hii ni kwa sababu viwanda karibia vyote kwa miji ya Babati na Singida hukamua mafuta kwa 80% yaani mashine hazina nguvu ya kukamua kwa 100%
Ni wakati sasa kwa wamiliki wa Viwanda vidogo katika miji hiyo wachague moja, Kuungana pamoja na kuwza kushindana na Mount Meru Millers au wafunge viwanda, na kwa Watanzaia tulivyo watu wako radhi kufunga biashara kuliko kuungana pamoja, na hakuna njia nyingine zaidi ya kuungana pamoja, make kwa mtu mmoja mmoja kupata mtaji wa kushusha kiwnda kama cha Mount Meru si ishu ya kitoto,
Huyu Mount Meru Miller amekuwa ndo mtu pekee anaye uza nje ya nchi CRUDE SUNFLOWER OIL, na huwa anapeleka nchi za Kiarabu,
NA HII NI IWE KWA WAFANYA BIASHARA WENGINE KWA KWELI BILA KUUNGANA NI VIGUMU SANA KUWEZA KUSHINDANA NA WATU WENYE MITAJI MIKUBWA KABISA