Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
ina maana tutaikosa hii chenga!!!!!
Kweli mkuu wangu tutakosa mengi.
ina maana tutaikosa hii chenga!!!!!
Hii wizara ya utalii apewe Dr. Magufuli......lakini hadi inakera hivi miwaziri mingine ikoje?? haina akili kweli?? eti mwangunga......so what???
Wehu mtupu, kwa tsh 3bil?
Dah! hata mimi ni mmoja kati ya watu wanaosikitika kumkosa Gaucho hapo South! Nway next time. Ndugu Ngambo Ngali nimekupa thanks kwa kunikumbusha mbali kwa kuweka hii pichaina maana tutaikosa hii chenga!!!!!