Ujio wa Bill Gates Tanzania, Nakumbuka mwaka 2008 Rais wa Marekani George Bush alipotembelea Tanzania

Pia akili km za ccm kutumia rasilimali za nchi kuua fikra na mijadala. Kuua upinzani na vitu vingine vya kuongeza ushindani na bidii, nimsumu kubwa kuliko. Mwisho kujidanganya na kujikisha ujinga kwa kupika taarifa km za TBC na kuwa na rundo la akina lipumba na zitto. Wanatumia na huku wakiongeza mzigo kwa taiafa kwa kuongeza kazi za bure na uharibifu.
Pambana na hali yako... Lipumba na Zitto wanawauma sana vipi fisadi lenu mlilolipokea haliwaumi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pambana na hali yako... Lipumba na Zitto wanawauma sana vipi fisadi lenu mlilolipokea haliwaumi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpo too repetitive km kasuku au tape? Au ndie ile asiki ya kukariri. Damn si mnajifanya wachumi wa first class. Mtaishia kutajataja misamiati tuu misha, kisha wanaume wanawapa kazi chafu. Hakuna break, once Judah eskariot u will die eskariot. Kunguru mkubwa, uta scavenge forever, ndio ulikula haramu ktk karamu mbaya. Haramu ya wanaharamu ilikupataje? Kihere here kilikuponza sasa you are the lonely stray dog. Everybody will kick ya rotten ass.
 
Mpo too repetitive km kasuku au tape? Au ndie ile asiki ya kukariri. Damn si mnajifanya wachumi wa first class. Mtaishia kutajataja misamiati tuu misha, kisha wanaume wanawapa kazi chafu. Hakuna break, once Judah eskariot u will die eskariot. Kunguru mkubwa, uta scavenge forever, ndio ulikula haramu ktk karamu mbaya. Haramu ya wanaharamu ilikupataje? Kihere here kilikuponza sasa you are the lonely stray dog. Everybody will kick ya rotten ass.
We mtoto una matusi sana, lkn haisaidii maana sisi akili kubwa tunaburuza baba zako akina Mbowe n.k.... wewe huniwezi na hunifikii kwa lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mtoto una matusi sana, lkn haisaidii maana sisi akili kubwa tunaburuza baba zako akina Mbowe n.k.... wewe huniwezi na hunifikii kwa lolote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamburuza? Hata mlinzi nae hujidai bila yeye mwenye kasiri haingii ndani. Sio wewe wa kwanza ktk wapumbavu. Kuna niliowahi kutana nao wakijidai wanaendesha gari zuri kuliko boss wao anayemiliki chopa na ndege. Something is seriously wrong in your head. Possibly the village and the lullabies in your fiddled mind are too bigger than the modernity in u. Hata wewe si ulitoa ride jamaa akuone. Vipi ilikufanya mkubwa kuliko yeye? Teh .
 
Mkuu unenifanya nipate nafasi ya kutafakari kwa kina, nimejiuliza sana kwa nini Magufuli safari yake ya nje ya nchi ilikuwa rwanda na kwa nini ana behave kama kagame, ilihali Kagame analindwa pamoja na udikteta wake wote bado ni rafiki wa marekani.
Ujio wa Bush ulikuwa kificho fulani haukuwa wazi kama ziara zingine( publicity).
Pia hayo uliyotaja kama.matokea ya ujio wa Bush ndivyo yalivyo. Nilijiuliza imekuwaje Bilgates kuja tanzania kipindi ambacho Kampuni ambayo ana hisa nayo ina mgogoro na serikali na bado ametoa kinachoitwa ni msaada. Hii yaweza kuwa Softening technique ili tuwe wapole.
Na kwa bahati mbaya sana serikali yetu na usalama.wetu wana detect mambo ya ajabu ajabu sidhami kama wanang'amua mbinu hizi chafu za marekani dhinmdi ya nchi yetu.
UJIO WA BILL GATE TANZANIA.
Nakumbuka Mwaka 2008 Rais wa Marekani GEORGE
BUSH alipotembelea Tanzania na kumwaga Pesa kiasi
cha Billion Tsh.700. Siku hiyo nilifuatilia mjadala mkali
TBC uliowahusisha Mtangazaji Tido Mhando, Prof.
Azaveli Rwaitama, Dr. Sengondo Mvungi na Prof. Mwesiga Balegu. Niliwasikiliza wasomi wachambuzi
vizuri hoja zao zilikuwa hivi;
1. Dr. Mvungi "As a nation We need to think Globally
but act Locally" "Ujio wa George Bush tusiuchekelee
kwakuwa wazungu huwa wanatega mitego ya miaka
50 hadi 100 mbele wakati sisi waafrika uwezo wetu wa kufikiri ni MACHWEO na MAWIO."
2. Tido Mhando. "Kwahiyo mnataka viongozi
wachukue hatua gani ili tusije tumbukia Shimoni?"
3. Prof. Mwesiga "Sera ya nje ya Marekani
wanasema,We neither have permanent friend nor
permanent enemy but permanent interest, tafsiri yake "Hatuna rafiki wakudumu wala adui wakudumu
bali Maslahi ya kudumu". Kwahiyo tuwe waangalifu
sana hii pesa ya Bush inawezekana ni chambo na sisi
ni samaki.
4. Prof. Rwaitama. "Ngoja niwaambie viongozi wetu
tena wanielewe wasipaniki kama kawaida yao. Mambo yaliyomleta George Bush sio kutuleta pesa bali
ni mambo manne makubwa"
i) Bush ni mwanahisa wa BARRICK GOLD MINE hivyo
amekuja kuangalia maendeleo ya migodi na
kutupumbaza ili watunyonye vizuri.
ii) Baada ya "September 11 terrorist incident in USA" Marekani alisambaza walaka Dunia nzima nchi zote
zitunge sheria ya ugaidi, Kenya ambao pia ni marafiki
wa Marekani waligoma na kusema wao wana
matatizo yao hilo ni la Marekani lakini Bunge la
Tanzania lilitunga sheria harakaharaka hivyo kitendo
hiki kiliwafurahisha Marekani kwahiyo ziara ya George Bush Tanzania ni kujenga urafiki wa muda na
sisi ili baadae wavunje rasmi urafiki na kenya na
kuhamisha Kambi yao ya kijeshi iliyopo Kenya "USA
MILITARY BASE" na kuiweka Tanzania.
iii) Baada ya China kupenyeza bidhaa zake nyingi kwa
nchi Masikini na Tajiri sasa USA inajaribu "ku- descourage" speed ya China kufanya biashara na nchi
hizi masikini ili awekeze viwanda vyake kwa nchi
kama Tanzania kumkabili mchina.
iv) Marekani wameshtuka kuona uchumi wa mataifa
makubwa ya Ulaya unaimarika kwa kufanya biashara
na yaliyokuwa makoloni yao"PROTECTORATES" sasa USA kwakuwa hakuwa na Makoloni "PROTECTORATES"
ziara ya George Bush ataelekea Rwanda ktk
kukamilisha mpango wa kuvuruga mahusiano kati ya
Ufaransa na yaliyokuwa Makoloni yake (Rwanda)
kwakuwa Ufaransa wamejisahau kusimamia
makoloni yake hivyo Kum Ufaransa ni kufungua milango mipya ya kibiashara.
MATUNDA YA ZIARA YA BUSH 2008.
A. Tanzania imetoa mji wa kigamboni kwaajili ya
ujenzi wa mji wa kisasa "USA INVESTMENT"
B. Kuanzishwa kwa Kiwanda cha Net/vyandarua
Arusha cha Wamarekani ambacho sasa kimedhibiti uingizaji wa vyandarua toka China.
C. Mpango wa Rais Kikwete kupitia mikataba ya
madini na kurekebisha baada ya kuunda kamati ya
ku-review mikataba iliyomhusisha Mbunge
Machachali wakati huo "Zitto Kabwe" ulikufa kifo cha
mende na kuruhusu upo Raji mkubwa wa rasilimali za nchi.
D. Ufaransa na Makoloni yake hawapatani tena tayari
makampuni ya Marekani yameweka kambi katika
"PROTECTORATES" za Ufaransa. Mfano Rwanda.
E. Baada ya China kupora tenda kwa Wamarekani ya
Mradi wa Gesi asilia Mtwara Juzi Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi kuzindua mradi mkubwa wa
Marekani ambapo ameridhia Bomba la Mafuta ghafi
kupitishwa tanzania kwa hesabu (Arithmetics) lengo
ni kumjibu China na kumpoteza East Africa.
RAI YANGU.
1. Ujio wa Bill Gate isiwe cheleko kwa Tanzania hasa Baada ya mgogoro kati ya Tanzania na Makampuni ya
madini ya USA "The Giants"
2. Bill Gate ni Taasisi sio "An individual" na kama
mlisikiliza maneno yake alisema "Taasisi ya Bill Gate
imetenga Tsh. 777 Billion"
3. Kwa wanaofuatilia siasa za Marekani Mtakumbuka mara baada ya Donald Trump kuapishwa Rais wa USA
kikao chake kikubwa cha kwanza alikaa na matajiri
wakubwa wa Marekani "The Bill Gates" tunadhani
walipe ana mkakati gani? Tunahitaji uangalifu.
4. Ni wakati wa Rais Magufuli kusikiliza ushauri wetu
wasomi na wataalamu kuliko kukanyaga moto wakati mwili una ganzi kutahamaki ganzi itakapoisha
tunaimba wimbo mmoja.
P
 
Nchi hii bwana. Kila kinachofanyika maneno hayakosi. Kushoto, kulia ni maneno tu. Hela ya kufanya yanayofanywa na hao hatuna lakini wakisaidia maneno tu. Kuna nchi ngapi zenye shida ambazo angeweza kwenda kusaidia badala yake akaja huku kusaidia. Nyie maneno. Kama huna pokea kimya. Ukisusa wenzio watakula.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnatoa matatizo hamtoi suluhisho.


Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakuambia ukitoa suluhisho ni msaada kwa ccm? Watajidai wanaweza kufanya na watafanya vibaya. Sera za ngapi za chadema wamedandia wakaishia kuharibu zaidi.
 
Bill gate hafanyi chochote cha kuwakilisha sera za serikali ya Marekani na mali yake ameipata kihalali kupitia biashara yake ya Microsoft. Kuna mabilionea kama Warren Buffet wa Marekani wanaotoa pesa kupitia Bill and Mellinda foundation ili kusaidia miradi za kibinadamu kwenye nchi maskini.
Bill gate ni mtu asiyependa kujihusisha na mambo ya kisiasa
 
Nchi za Africa kama ni misaada tumepewa sana lakini viongozi wetu wameshindwa kabisa kutumia kwa sababu zilezile za kupewa misaada hiyo na ndiyo chanzo cha miradi mingi inayooanzishwa kutokamilika na hatimaye kufa kabisa.

Africa tuna poor financial and others resources management na imekuwa donda ndugu au Sugu.
Misaada hiyo haiwafikii walengwa....viongozi hugawana wenyewe kwa wenyewe...kama ni Billion 100 basi 50 yamegwa kwa ajili ya matumbo yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom