Ujio wa Bill Gates Tanzania, Nakumbuka mwaka 2008 Rais wa Marekani George Bush alipotembelea Tanzania

Waziri wa Kaskazini

JF-Expert Member
Dec 12, 2015
6,980
14,741
UJIO WA BILL GATE TANZANIA.
Nakumbuka Mwaka 2008 Rais wa Marekani GEORGE
BUSH alipotembelea Tanzania na kumwaga Pesa kiasi
cha Billion Tsh.700. Siku hiyo nilifuatilia mjadala mkali
TBC uliowahusisha Mtangazaji Tido Mhando, Prof.
Azaveli Rwaitama, Dr. Sengondo Mvungi na Prof. Mwesiga Balegu. Niliwasikiliza wasomi wachambuzi
vizuri hoja zao zilikuwa hivi;
1. Dr. Mvungi "As a nation We need to think Globally
but act Locally" "Ujio wa George Bush tusiuchekelee
kwakuwa wazungu huwa wanatega mitego ya miaka
50 hadi 100 mbele wakati sisi waafrika uwezo wetu wa kufikiri ni MACHWEO na MAWIO."
2. Tido Mhando. "Kwahiyo mnataka viongozi
wachukue hatua gani ili tusije tumbukia Shimoni?"
3. Prof. Mwesiga "Sera ya nje ya Marekani
wanasema,We neither have permanent friend nor
permanent enemy but permanent interest, tafsiri yake "Hatuna rafiki wakudumu wala adui wakudumu
bali Maslahi ya kudumu". Kwahiyo tuwe waangalifu
sana hii pesa ya Bush inawezekana ni chambo na sisi
ni samaki.
4. Prof. Rwaitama. "Ngoja niwaambie viongozi wetu
tena wanielewe wasipaniki kama kawaida yao. Mambo yaliyomleta George Bush sio kutuleta pesa bali
ni mambo manne makubwa"
i) Bush ni mwanahisa wa BARRICK GOLD MINE hivyo
amekuja kuangalia maendeleo ya migodi na
kutupumbaza ili watunyonye vizuri.
ii) Baada ya "September 11 terrorist incident in USA" Marekani alisambaza walaka Dunia nzima nchi zote
zitunge sheria ya ugaidi, Kenya ambao pia ni marafiki
wa Marekani waligoma na kusema wao wana
matatizo yao hilo ni la Marekani lakini Bunge la
Tanzania lilitunga sheria harakaharaka hivyo kitendo
hiki kiliwafurahisha Marekani kwahiyo ziara ya George Bush Tanzania ni kujenga urafiki wa muda na
sisi ili baadae wavunje rasmi urafiki na kenya na
kuhamisha Kambi yao ya kijeshi iliyopo Kenya "USA
MILITARY BASE" na kuiweka Tanzania.
iii) Baada ya China kupenyeza bidhaa zake nyingi kwa
nchi Masikini na Tajiri sasa USA inajaribu "ku- descourage" speed ya China kufanya biashara na nchi
hizi masikini ili awekeze viwanda vyake kwa nchi
kama Tanzania kumkabili mchina.
iv) Marekani wameshtuka kuona uchumi wa mataifa
makubwa ya Ulaya unaimarika kwa kufanya biashara
na yaliyokuwa makoloni yao"PROTECTORATES" sasa USA kwakuwa hakuwa na Makoloni "PROTECTORATES"
ziara ya George Bush ataelekea Rwanda ktk
kukamilisha mpango wa kuvuruga mahusiano kati ya
Ufaransa na yaliyokuwa Makoloni yake (Rwanda)
kwakuwa Ufaransa wamejisahau kusimamia
makoloni yake hivyo Kum Ufaransa ni kufungua milango mipya ya kibiashara.
MATUNDA YA ZIARA YA BUSH 2008.
A. Tanzania imetoa mji wa kigamboni kwaajili ya
ujenzi wa mji wa kisasa "USA INVESTMENT"
B. Kuanzishwa kwa Kiwanda cha Net/vyandarua
Arusha cha Wamarekani ambacho sasa kimedhibiti uingizaji wa vyandarua toka China.
C. Mpango wa Rais Kikwete kupitia mikataba ya
madini na kurekebisha baada ya kuunda kamati ya
ku-review mikataba iliyomhusisha Mbunge
Machachali wakati huo "Zitto Kabwe" ulikufa kifo cha
mende na kuruhusu upo Raji mkubwa wa rasilimali za nchi.
D. Ufaransa na Makoloni yake hawapatani tena tayari
makampuni ya Marekani yameweka kambi katika
"PROTECTORATES" za Ufaransa. Mfano Rwanda.
E. Baada ya China kupora tenda kwa Wamarekani ya
Mradi wa Gesi asilia Mtwara Juzi Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi kuzindua mradi mkubwa wa
Marekani ambapo ameridhia Bomba la Mafuta ghafi
kupitishwa tanzania kwa hesabu (Arithmetics) lengo
ni kumjibu China na kumpoteza East Africa.
RAI YANGU.
1. Ujio wa Bill Gate isiwe cheleko kwa Tanzania hasa Baada ya mgogoro kati ya Tanzania na Makampuni ya
madini ya USA "The Giants"
2. Bill Gate ni Taasisi sio "An individual" na kama
mlisikiliza maneno yake alisema "Taasisi ya Bill Gate
imetenga Tsh. 777 Billion"
3. Kwa wanaofuatilia siasa za Marekani Mtakumbuka mara baada ya Donald Trump kuapishwa Rais wa USA
kikao chake kikubwa cha kwanza alikaa na matajiri
wakubwa wa Marekani "The Bill Gates" tunadhani
walipe ana mkakati gani? Tunahitaji uangalifu.
4. Ni wakati wa Rais Magufuli kusikiliza ushauri wetu
wasomi na wataalamu kuliko kukanyaga moto wakati mwili una ganzi kutahamaki ganzi itakapoisha
tunaimba wimbo mmoja.
P
 
Bill and melinda foundation imeanza kutoa misaada siku nyingi..
anasaidia zaidi ya nchi 100

BillMelinda1.jpg

hapa ni 2003 mozambique
weka hoja zako vizuri
 
Hoja yako ni nzuri sana, ni vema kuchukua tahadhari mapema. Naiomba serikali ifikilie kiume sio kike. Siku zote mwanaume ukimpa msaada anaweza kuuukubali lakini kwa tahadhali sana lakini mwanamke ukimpa msaada huchekelea tu hata kama itamgharimu bikra yake ye poa tu(ashakum si matusi).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UJIO WA BILL GATE TANZANIA.
Nakumbuka Mwaka 2008 Rais wa Marekani GEORGE
BUSH alipotembelea Tanzania na kumwaga Pesa kiasi
cha Billion Tsh.700. Siku hiyo nilifuatilia mjadala mkali
TBC uliowahusisha Mtangazaji Tido Mhando, Prof.
Azaveli Rwaitama, Dr. Sengondo Mvungi na Prof. Mwesiga Balegu. Niliwasikiliza wasomi wachambuzi
vizuri hoja zao zilikuwa hivi;
1. Dr. Mvungi "As a nation We need to think Globally
but act Locally" "Ujio wa George Bush tusiuchekelee
kwakuwa wazungu huwa wanatega mitego ya miaka
50 hadi 100 mbele wakati sisi waafrika uwezo wetu wa kufikiri ni MACHWEO na MAWIO."
2. Tido Mhando. "Kwahiyo mnataka viongozi
wachukue hatua gani ili tusije tumbukia Shimoni?"
3. Prof. Mwesiga "Sera ya nje ya Marekani
wanasema,We neither have permanent friend nor
permanent enemy but permanent interest, tafsiri yake "Hatuna rafiki wakudumu wala adui wakudumu
bali Maslahi ya kudumu". Kwahiyo tuwe waangalifu
sana hii pesa ya Bush inawezekana ni chambo na sisi
ni samaki.
4. Prof. Rwaitama. "Ngoja niwaambie viongozi wetu
tena wanielewe wasipaniki kama kawaida yao. Mambo yaliyomleta George Bush sio kutuleta pesa bali
ni mambo manne makubwa"
i) Bush ni mwanahisa wa BARRICK GOLD MINE hivyo
amekuja kuangalia maendeleo ya migodi na
kutupumbaza ili watunyonye vizuri.
ii) Baada ya "September 11 terrorist incident in USA" Marekani alisambaza walaka Dunia nzima nchi zote
zitunge sheria ya ugaidi, Kenya ambao pia ni marafiki
wa Marekani waligoma na kusema wao wana
matatizo yao hilo ni la Marekani lakini Bunge la
Tanzania lilitunga sheria harakaharaka hivyo kitendo
hiki kiliwafurahisha Marekani kwahiyo ziara ya George Bush Tanzania ni kujenga urafiki wa muda na
sisi ili baadae wavunje rasmi urafiki na kenya na
kuhamisha Kambi yao ya kijeshi iliyopo Kenya "USA
MILITARY BASE" na kuiweka Tanzania.
iii) Baada ya China kupenyeza bidhaa zake nyingi kwa
nchi Masikini na Tajiri sasa USA inajaribu "ku- descourage" speed ya China kufanya biashara na nchi
hizi masikini ili awekeze viwanda vyake kwa nchi
kama Tanzania kumkabili mchina.
iv) Marekani wameshtuka kuona uchumi wa mataifa
makubwa ya Ulaya unaimarika kwa kufanya biashara
na yaliyokuwa makoloni yao"PROTECTORATES" sasa USA kwakuwa hakuwa na Makoloni "PROTECTORATES"
ziara ya George Bush ataelekea Rwanda ktk
kukamilisha mpango wa kuvuruga mahusiano kati ya
Ufaransa na yaliyokuwa Makoloni yake (Rwanda)
kwakuwa Ufaransa wamejisahau kusimamia
makoloni yake hivyo Kum Ufaransa ni kufungua milango mipya ya kibiashara.
MATUNDA YA ZIARA YA BUSH 2008.
A. Tanzania imetoa mji wa kigamboni kwaajili ya
ujenzi wa mji wa kisasa "USA INVESTMENT"
B. Kuanzishwa kwa Kiwanda cha Net/vyandarua
Arusha cha Wamarekani ambacho sasa kimedhibiti uingizaji wa vyandarua toka China.
C. Mpango wa Rais Kikwete kupitia mikataba ya
madini na kurekebisha baada ya kuunda kamati ya
ku-review mikataba iliyomhusisha Mbunge
Machachali wakati huo "Zitto Kabwe" ulikufa kifo cha
mende na kuruhusu upo Raji mkubwa wa rasilimali za nchi.
D. Ufaransa na Makoloni yake hawapatani tena tayari
makampuni ya Marekani yameweka kambi katika
"PROTECTORATES" za Ufaransa. Mfano Rwanda.
E. Baada ya China kupora tenda kwa Wamarekani ya
Mradi wa Gesi asilia Mtwara Juzi Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi kuzindua mradi mkubwa wa
Marekani ambapo ameridhia Bomba la Mafuta ghafi
kupitishwa tanzania kwa hesabu (Arithmetics) lengo
ni kumjibu China na kumpoteza East Africa.
RAI YANGU.
1. Ujio wa Bill Gate isiwe cheleko kwa Tanzania hasa Baada ya mgogoro kati ya Tanzania na Makampuni ya
madini ya USA "The Giants"
2. Bill Gate ni Taasisi sio "An individual" na kama
mlisikiliza maneno yake alisema "Taasisi ya Bill Gate
imetenga Tsh. 777 Billion"
3. Kwa wanaofuatilia siasa za Marekani Mtakumbuka mara baada ya Donald Trump kuapishwa Rais wa USA
kikao chake kikubwa cha kwanza alikaa na matajiri
wakubwa wa Marekani "The Bill Gates" tunadhani
walipe ana mkakati gani? Tunahitaji uangalifu.
4. Ni wakati wa Rais Magufuli kusikiliza ushauri wetu
wasomi na wataalamu kuliko kukanyaga moto wakati mwili una ganzi kutahamaki ganzi itakapoisha
tunaimba wimbo mmoja.
P
Michango ya wasomi wetu woote ni km watoto wa masikini wlaioaminishwa kwamba kila tajiri ni mwizi na mchawi. Mahusiano yao na matajiri siku zote huwa magumu.Ni jinsi tajiri anavyojitahidi kuwasogelea wao huanza pata hofu na kukimbia.Mwisho tajiri huhisi wamemwachia kila kitu. Yote waliyoongea wasomi ni hofu tupu,hakuna hata moja linaloweza tusiadia ogelea ktk hivyo vikwazo.
 
UJIO WA BILL GATE TANZANIA.
Nakumbuka Mwaka 2008 Rais wa Marekani GEORGE
BUSH alipotembelea Tanzania na kumwaga Pesa kiasi
cha Billion Tsh.700. Siku hiyo nilifuatilia mjadala mkali
TBC uliowahusisha Mtangazaji Tido Mhando, Prof.
Azaveli Rwaitama, Dr. Sengondo Mvungi na Prof. Mwesiga Balegu. Niliwasikiliza wasomi wachambuzi
vizuri hoja zao zilikuwa hivi;
1. Dr. Mvungi "As a nation We need to think Globally
but act Locally" "Ujio wa George Bush tusiuchekelee
kwakuwa wazungu huwa wanatega mitego ya miaka
50 hadi 100 mbele wakati sisi waafrika uwezo wetu wa kufikiri ni MACHWEO na MAWIO."
2. Tido Mhando. "Kwahiyo mnataka viongozi
wachukue hatua gani ili tusije tumbukia Shimoni?"
3. Prof. Mwesiga "Sera ya nje ya Marekani
wanasema,We neither have permanent friend nor
permanent enemy but permanent interest, tafsiri yake "Hatuna rafiki wakudumu wala adui wakudumu
bali Maslahi ya kudumu". Kwahiyo tuwe waangalifu
sana hii pesa ya Bush inawezekana ni chambo na sisi
ni samaki.
4. Prof. Rwaitama. "Ngoja niwaambie viongozi wetu
tena wanielewe wasipaniki kama kawaida yao. Mambo yaliyomleta George Bush sio kutuleta pesa bali
ni mambo manne makubwa"
i) Bush ni mwanahisa wa BARRICK GOLD MINE hivyo
amekuja kuangalia maendeleo ya migodi na
kutupumbaza ili watunyonye vizuri.
ii) Baada ya "September 11 terrorist incident in USA" Marekani alisambaza walaka Dunia nzima nchi zote
zitunge sheria ya ugaidi, Kenya ambao pia ni marafiki
wa Marekani waligoma na kusema wao wana
matatizo yao hilo ni la Marekani lakini Bunge la
Tanzania lilitunga sheria harakaharaka hivyo kitendo
hiki kiliwafurahisha Marekani kwahiyo ziara ya George Bush Tanzania ni kujenga urafiki wa muda na
sisi ili baadae wavunje rasmi urafiki na kenya na
kuhamisha Kambi yao ya kijeshi iliyopo Kenya "USA
MILITARY BASE" na kuiweka Tanzania.
iii) Baada ya China kupenyeza bidhaa zake nyingi kwa
nchi Masikini na Tajiri sasa USA inajaribu "ku- descourage" speed ya China kufanya biashara na nchi
hizi masikini ili awekeze viwanda vyake kwa nchi
kama Tanzania kumkabili mchina.
iv) Marekani wameshtuka kuona uchumi wa mataifa
makubwa ya Ulaya unaimarika kwa kufanya biashara
na yaliyokuwa makoloni yao"PROTECTORATES" sasa USA kwakuwa hakuwa na Makoloni "PROTECTORATES"
ziara ya George Bush ataelekea Rwanda ktk
kukamilisha mpango wa kuvuruga mahusiano kati ya
Ufaransa na yaliyokuwa Makoloni yake (Rwanda)
kwakuwa Ufaransa wamejisahau kusimamia
makoloni yake hivyo Kum Ufaransa ni kufungua milango mipya ya kibiashara.
MATUNDA YA ZIARA YA BUSH 2008.
A. Tanzania imetoa mji wa kigamboni kwaajili ya
ujenzi wa mji wa kisasa "USA INVESTMENT"
B. Kuanzishwa kwa Kiwanda cha Net/vyandarua
Arusha cha Wamarekani ambacho sasa kimedhibiti uingizaji wa vyandarua toka China.
C. Mpango wa Rais Kikwete kupitia mikataba ya
madini na kurekebisha baada ya kuunda kamati ya
ku-review mikataba iliyomhusisha Mbunge
Machachali wakati huo "Zitto Kabwe" ulikufa kifo cha
mende na kuruhusu upo Raji mkubwa wa rasilimali za nchi.
D. Ufaransa na Makoloni yake hawapatani tena tayari
makampuni ya Marekani yameweka kambi katika
"PROTECTORATES" za Ufaransa. Mfano Rwanda.
E. Baada ya China kupora tenda kwa Wamarekani ya
Mradi wa Gesi asilia Mtwara Juzi Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi kuzindua mradi mkubwa wa
Marekani ambapo ameridhia Bomba la Mafuta ghafi
kupitishwa tanzania kwa hesabu (Arithmetics) lengo
ni kumjibu China na kumpoteza East Africa.
RAI YANGU.
1. Ujio wa Bill Gate isiwe cheleko kwa Tanzania hasa Baada ya mgogoro kati ya Tanzania na Makampuni ya
madini ya USA "The Giants"
2. Bill Gate ni Taasisi sio "An individual" na kama
mlisikiliza maneno yake alisema "Taasisi ya Bill Gate
imetenga Tsh. 777 Billion"
3. Kwa wanaofuatilia siasa za Marekani Mtakumbuka mara baada ya Donald Trump kuapishwa Rais wa USA
kikao chake kikubwa cha kwanza alikaa na matajiri
wakubwa wa Marekani "The Bill Gates" tunadhani
walipe ana mkakati gani? Tunahitaji uangalifu.
4. Ni wakati wa Rais Magufuli kusikiliza ushauri wetu
wasomi na wataalamu kuliko kukanyaga moto wakati mwili una ganzi kutahamaki ganzi itakapoisha
tunaimba wimbo mmoja.
P
Humu kuna ukweli sana japo mi nilidhani kwa kuwa huyu Jamaa products zake ndo zinazofanya mapinduzi ya ki maendeleo nikajua labda kanusa soko Zuri kwa uchumi unaoinukia

Uzi huu umenifikirisha sana hasa nikiona bwana Yule anavyojigaragaza kwenye matope na wanetu akishushia makinikia ya ubwabwa wa kwa mgosi ananifanya nijiulize hivi hawa wanetu ndo Leo wamepemdeza tofauti na wanahabari wao wa kimagaribi wanavyowachora wakijilamba na matone ya maji Kama ya majosho ya ngombe

Ila bwana huyu mi ni Kama namuaminia hapendi shobo Kama ukimsikia moja ya senates Ni kuwa ameamua kuleta mwenyewe na msimamo wake wa kutokuwa kiguu na njia aka vasco da gama kunawapa kiwewe hawa wazee wa makinikia na nadhani tutaona mengi ambao mola atatujalia kuendelea kunusa hii oxijeni ya mola I siyo na tozo za bwana mpango
 
Elezea ni nini waliwafanyia wakulima wa kihindi hivi juzi kati hadi wahindi wakajinyonga.

Na sisi tumezipokea hizo hizo pesa za kilimo zilizoua wahindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
elezea vizuri zipi na kwa nini ziue au weka link tuelewe.
ninachofahamu ni utamaduni wa matajiri wanaojielewa duniani kusaidia watu wasiojiweza.
hata hizo pesa zinazotolewa sio zote ni zake kuna wengine kama wakina buffet nao pia huchangia .
 
Hapo kuhusu kuweka Military Base hapa Tanzania ni kweli, walikuwa wakihitaji sana hilo wakajiweka karibu na Tz kwa kila namna. Wamekuja marais, amealikwa sana US na kupewa heshima mbalimbali pamoja na majjkwaa ya kimataifa. JK alikuwa akiwachekea kana kwamba analekea na litafanikiwa mwisho wa siku bila bila.
 
UJIO WA BILL GATE TANZANIA.
Nakumbuka Mwaka 2008 Rais wa Marekani GEORGE
BUSH alipotembelea Tanzania na kumwaga Pesa kiasi
cha Billion Tsh.700. Siku hiyo nilifuatilia mjadala mkali
TBC uliowahusisha Mtangazaji Tido Mhando, Prof.
Azaveli Rwaitama, Dr. Sengondo Mvungi na Prof. Mwesiga Balegu. Niliwasikiliza wasomi wachambuzi
vizuri hoja zao zilikuwa hivi;
1. Dr. Mvungi "As a nation We need to think Globally
but act Locally" "Ujio wa George Bush tusiuchekelee
kwakuwa wazungu huwa wanatega mitego ya miaka
50 hadi 100 mbele wakati sisi waafrika uwezo wetu wa kufikiri ni MACHWEO na MAWIO."
2. Tido Mhando. "Kwahiyo mnataka viongozi
wachukue hatua gani ili tusije tumbukia Shimoni?"
3. Prof. Mwesiga "Sera ya nje ya Marekani
wanasema,We neither have permanent friend nor
permanent enemy but permanent interest, tafsiri yake "Hatuna rafiki wakudumu wala adui wakudumu
bali Maslahi ya kudumu". Kwahiyo tuwe waangalifu
sana hii pesa ya Bush inawezekana ni chambo na sisi
ni samaki.
4. Prof. Rwaitama. "Ngoja niwaambie viongozi wetu
tena wanielewe wasipaniki kama kawaida yao. Mambo yaliyomleta George Bush sio kutuleta pesa bali
ni mambo manne makubwa"
i) Bush ni mwanahisa wa BARRICK GOLD MINE hivyo
amekuja kuangalia maendeleo ya migodi na
kutupumbaza ili watunyonye vizuri.
ii) Baada ya "September 11 terrorist incident in USA" Marekani alisambaza walaka Dunia nzima nchi zote
zitunge sheria ya ugaidi, Kenya ambao pia ni marafiki
wa Marekani waligoma na kusema wao wana
matatizo yao hilo ni la Marekani lakini Bunge la
Tanzania lilitunga sheria harakaharaka hivyo kitendo
hiki kiliwafurahisha Marekani kwahiyo ziara ya George Bush Tanzania ni kujenga urafiki wa muda na
sisi ili baadae wavunje rasmi urafiki na kenya na
kuhamisha Kambi yao ya kijeshi iliyopo Kenya "USA
MILITARY BASE" na kuiweka Tanzania.
iii) Baada ya China kupenyeza bidhaa zake nyingi kwa
nchi Masikini na Tajiri sasa USA inajaribu "ku- descourage" speed ya China kufanya biashara na nchi
hizi masikini ili awekeze viwanda vyake kwa nchi
kama Tanzania kumkabili mchina.
iv) Marekani wameshtuka kuona uchumi wa mataifa
makubwa ya Ulaya unaimarika kwa kufanya biashara
na yaliyokuwa makoloni yao"PROTECTORATES" sasa USA kwakuwa hakuwa na Makoloni "PROTECTORATES"
ziara ya George Bush ataelekea Rwanda ktk
kukamilisha mpango wa kuvuruga mahusiano kati ya
Ufaransa na yaliyokuwa Makoloni yake (Rwanda)
kwakuwa Ufaransa wamejisahau kusimamia
makoloni yake hivyo Kum Ufaransa ni kufungua milango mipya ya kibiashara.
MATUNDA YA ZIARA YA BUSH 2008.
A. Tanzania imetoa mji wa kigamboni kwaajili ya
ujenzi wa mji wa kisasa "USA INVESTMENT"
B. Kuanzishwa kwa Kiwanda cha Net/vyandarua
Arusha cha Wamarekani ambacho sasa kimedhibiti uingizaji wa vyandarua toka China.
C. Mpango wa Rais Kikwete kupitia mikataba ya
madini na kurekebisha baada ya kuunda kamati ya
ku-review mikataba iliyomhusisha Mbunge
Machachali wakati huo "Zitto Kabwe" ulikufa kifo cha
mende na kuruhusu upo Raji mkubwa wa rasilimali za nchi.
D. Ufaransa na Makoloni yake hawapatani tena tayari
makampuni ya Marekani yameweka kambi katika
"PROTECTORATES" za Ufaransa. Mfano Rwanda.
E. Baada ya China kupora tenda kwa Wamarekani ya
Mradi wa Gesi asilia Mtwara Juzi Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi kuzindua mradi mkubwa wa
Marekani ambapo ameridhia Bomba la Mafuta ghafi
kupitishwa tanzania kwa hesabu (Arithmetics) lengo
ni kumjibu China na kumpoteza East Africa.
RAI YANGU.
1. Ujio wa Bill Gate isiwe cheleko kwa Tanzania hasa Baada ya mgogoro kati ya Tanzania na Makampuni ya
madini ya USA "The Giants"
2. Bill Gate ni Taasisi sio "An individual" na kama
mlisikiliza maneno yake alisema "Taasisi ya Bill Gate
imetenga Tsh. 777 Billion"
3. Kwa wanaofuatilia siasa za Marekani Mtakumbuka mara baada ya Donald Trump kuapishwa Rais wa USA
kikao chake kikubwa cha kwanza alikaa na matajiri
wakubwa wa Marekani "The Bill Gates" tunadhani
walipe ana mkakati gani? Tunahitaji uangalifu.
4. Ni wakati wa Rais Magufuli kusikiliza ushauri wetu
wasomi na wataalamu kuliko kukanyaga moto wakati mwili una ganzi kutahamaki ganzi itakapoisha
tunaimba wimbo mmoja.
P
Wewe ni msomi au mtaalamu wa nini?Maanake wabongo tunapenda sana kujiita wasomi sijui wabobezi huku ikiwa ni utaplo mtupu.
 
Alokwambia Ni mara ya kwanza Bill kaja Tanzania ni nani? Bill and Melinda Gates foundation ipo nchini miaka na imeshasaidia watu wengi sana esp mkoa wa Morogoro
 
Michango ya wasomi wetu woote ni km watoto wa masikini wlaioaminishwa kwamba kila tajiri ni mwizi na mchawi. Mahusiano yao na matajiri siku zote huwa magumu.Ni jinsi tajiri anavyojitahidi kuwasogelea wao huanza pata hofu na kukimbia.Mwisho tajiri huhisi wamemwachia kila kitu. Yote waliyoongea wasomi ni hofu tupu,hakuna hata moja linaloweza tusiadia ogelea ktk hivyo vikwazo.

Umemaliza mkuu sina cha kuongeza
 
Nchi za Africa kama ni misaada tumepewa sana lakini viongozi wetu wameshindwa kabisa kutumia kwa sababu zilezile za kupewa misaada hiyo na ndiyo chanzo cha miradi mingi inayooanzishwa kutokamilika na hatimaye kufa kabisa.

Africa tuna poor financial and others resources management na imekuwa donda ndugu au Sugu.
 
Nakubaliana na hoja ila most ya viongozi wetu wa serikali hawana upeo wa kuona zaidi ya urefu wa pua zao

Nothing straight from crooked timber of humanity can be done
 
Mwanazuoni mmoja alisema " there is no free lunch" na Mimi naongezea "there is no free lunch under the sun" labda mbinguni. Kwa kifupi, Bill Gates amekuja kuwekeza zaidi na tusidhanie kuwa tunapewa msaada!
 
Nchi za Africa kama ni misaada tumepewa sana lakini viongozi wetu wameshindwa kabisa kutumia kwa sababu zilezile za kupewa misaada hiyo na ndiyo chanzo cha miradi mingi inayooanzishwa kutokamilika na hatimaye kufa kabisa.

Africa tuna poor financial and others resources management na imekuwa donda ndugu au Sugu.
Pia akili km za ccm kutumia rasilimali za nchi kuua fikra na mijadala. Kuua upinzani na vitu vingine vya kuongeza ushindani na bidii, nimsumu kubwa kuliko. Mwisho kujidanganya na kujikisha ujinga kwa kupika taarifa km za TBC na kuwa na rundo la akina lipumba na zitto. Wanatumia na huku wakiongeza mzigo kwa taiafa kwa kuongeza kazi za bure na uharibifu.
 
Back
Top Bottom