Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,730
Huyu jamaa alikuwa mgumu balaa. Ukiskia stereo unavuta taswira ya Swahili, hainangwasu, nawadabisha n.k.
Kuingia WCB nafikiri kutamsukuma. Kama ni talent anayo promo kupitia WCB atazipata za kutosha. Tutegemee makubwa kutoka kwake. Hii ni track yake ya kwanza aliyofanya na mavoko baada ya kuingia kwa Chibu. Hongera.
Kuingia WCB nafikiri kutamsukuma. Kama ni talent anayo promo kupitia WCB atazipata za kutosha. Tutegemee makubwa kutoka kwake. Hii ni track yake ya kwanza aliyofanya na mavoko baada ya kuingia kwa Chibu. Hongera.