CCM wameongoza nchi kwa miaka 50 sasa na nchi inazidi kuwa masikini.Tulipata chance ya kuwaodoa hawa lakini tukawachagua tena!Chama chochote kikikaa zaidi ya miaka hata kumi na kuchaguliwa tena ofcourse lazima wajione invincible! CCM wanajua kuwa hata wakiboronga vipi(kuuza nchi,BOT kuwa personal bank)watanzania hawana ushujaa wa kuchagua chama kingine zaidi ya CCM.
Tujilaumu wenyewe, tumekosa ushujaa, sasa tunakula ujinga wetu!
Tujilaumu wenyewe, tumekosa ushujaa, sasa tunakula ujinga wetu!