The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,320
Ujerumani imesema inaionya Marekani iache kuwapangia nishati ya kutumia kwani kila nchi ina uhuru wa kuamua itumie nishati gani.
Ujerumani inashirikiana na Urusi kujenga bomba la gesi, Nord 2 kutoka Urusi hadi Ujerumani lakini Marekani ametishia kuliwekea vikwazo hilo bomba lisikamilie au likose vifaa ama fedha ili lisikamilike.
Ujerumani inategemea gesi nyingi na ya bei nafuu kutoka Urusi ila Marekani anatishia kukwamisha huo mradi kwa kuuwekea vikwazo vya kifedha na kiutaalamu ili ufe. Ujerumani anasema Marekani akifanya hivyo ni kuwapangia ama kutaka kuwapangia nishati gani watumie.
Germany warns US against imposing sanctions on Nord Stream 2, says no country has right to ‘dictate’ its energy policy
Ujerumani inashirikiana na Urusi kujenga bomba la gesi, Nord 2 kutoka Urusi hadi Ujerumani lakini Marekani ametishia kuliwekea vikwazo hilo bomba lisikamilie au likose vifaa ama fedha ili lisikamilike.
Ujerumani inategemea gesi nyingi na ya bei nafuu kutoka Urusi ila Marekani anatishia kukwamisha huo mradi kwa kuuwekea vikwazo vya kifedha na kiutaalamu ili ufe. Ujerumani anasema Marekani akifanya hivyo ni kuwapangia ama kutaka kuwapangia nishati gani watumie.
Germany warns US against imposing sanctions on Nord Stream 2, says no country has right to ‘dictate’ its energy policy