Mchakachuliwaji
Member
- Nov 23, 2010
- 31
- 0
NIna hamu ya kujenga nyumba ya ghorofa. Nataka ghorofa moja tu na balcony ya juu.
Natamani nyumba kwa ground floor iwe yenye rooms mbili zote self contained, jiko, library, living room pamoja na bafu/toilet inayojitegemea na kwa ghorofa ya kwanza natamani iwe na rooms tatu za self contained. Juu nataka kuwe wazi kwa juu lakini kingo za ukuta mix na grils.
Sina ramani wala chochote ila nimeanza kufyatua tofali ya block na zimefikia 6000. Hela zipo za kuendelea kufyatua.
Ratio ya cement na mchanga ni mfuko mmoja makarai 30 na hii ni kutoka kwa wazoefu mitaani (hakuna ghorofa huko mitaani nilikopata hii ratio!). Cement ni kutoka Tanga.
Nimekadiria around 120,000 USD kama gharama yote na nitakamilisha mwaka huu ujao katikati. Hela sizipatia kwa mkupuo ndiyo maana nikaanzisha kufyatua kwanza ili baadaye nikipata nyingi nyingi ndiyo nianze bargaining (labda january katikati).
Kiwanja low density nimeshanunua.
Ombi:
1. Tafadhali watalaam nishaurini nisije nikawa nachemka hasa kwenye ratio ya machanga na cement. Bora kama nimechemka nibadilishe matumizi ya matofali yaliyopo ili nianze upya. Nimesema hivi kwani nimemsikia mtu anasema sema sana kuwa hiyo ratio ana mashaka nayo.
2. Je ni tofali ngapi, kwa makadirio, nahitaji kuwa nazo kuwa na hiyo 'DREAM HOUSE'
Natanguliza shukrani nyingi.
Natamani nyumba kwa ground floor iwe yenye rooms mbili zote self contained, jiko, library, living room pamoja na bafu/toilet inayojitegemea na kwa ghorofa ya kwanza natamani iwe na rooms tatu za self contained. Juu nataka kuwe wazi kwa juu lakini kingo za ukuta mix na grils.
Sina ramani wala chochote ila nimeanza kufyatua tofali ya block na zimefikia 6000. Hela zipo za kuendelea kufyatua.
Ratio ya cement na mchanga ni mfuko mmoja makarai 30 na hii ni kutoka kwa wazoefu mitaani (hakuna ghorofa huko mitaani nilikopata hii ratio!). Cement ni kutoka Tanga.
Nimekadiria around 120,000 USD kama gharama yote na nitakamilisha mwaka huu ujao katikati. Hela sizipatia kwa mkupuo ndiyo maana nikaanzisha kufyatua kwanza ili baadaye nikipata nyingi nyingi ndiyo nianze bargaining (labda january katikati).
Kiwanja low density nimeshanunua.
Ombi:
1. Tafadhali watalaam nishaurini nisije nikawa nachemka hasa kwenye ratio ya machanga na cement. Bora kama nimechemka nibadilishe matumizi ya matofali yaliyopo ili nianze upya. Nimesema hivi kwani nimemsikia mtu anasema sema sana kuwa hiyo ratio ana mashaka nayo.
2. Je ni tofali ngapi, kwa makadirio, nahitaji kuwa nazo kuwa na hiyo 'DREAM HOUSE'
Natanguliza shukrani nyingi.