Maja .ni mtu anaejielewa sana hawezi fanya upuuzi...ukiona kafanya kitu huyo mzee ujue ni sahihiMuda si mrefu tutarajie kusikia mkoa mpya wa Ruagwa
Watasikika mara ngapi kwenye michezo? Ndanda inatokea wapi kwani?Tunampongeza kwa kweli,angalau kusini sasa nako watasikika kwenye tasnia ya michezo kulisahaulika sana,big up PM...