Mantombazane
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 572
- 356
Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ukiendelea kwa kasi,ambapo mpaka sasa uwanja huo umekamilika kwa asilimia 63.Kwa mujibu wa Meneja wa Tanroads Mkoa wa Geita.
Mhandisi Haruna Senkuku alimweleza Mkuu wa Mkoa Geita kuwa uwanja huo una Run way ya Kilometa 3 ambapo hadi kukamilika mradi huo utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 39.
Mhandisi Haruna Senkuku alimweleza Mkuu wa Mkoa Geita kuwa uwanja huo una Run way ya Kilometa 3 ambapo hadi kukamilika mradi huo utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 39.