Mkuwainnocent
Member
- Oct 4, 2018
- 7
- 2
Kuna project ya ujenzi wa kituo cha watoto yatima pamoja na shule itakayochukua watoto wanaoishi mazingira magumu,project hiyo itafahamika kwa jina la "Nilee,Nikutunze project".
Ujenzi huu utawalenga baadhi ya watoto kutoka maeneo yote ya nchi Mara baada ya kukamilika.Lakini kwa kiasi kikubwa utategemea michango yetu kama jamii,maana nimehangaika kutafuta wafadhili bila mafanikio.
Vilevile nimefikilia kumuomba Mh.Paul makonda kuwa msimamizi mkuu wa hii project.
Ninahitaji mchango wenu wa mawazo namna gani naweza kufanikisha hili.
Ujenzi huu utawalenga baadhi ya watoto kutoka maeneo yote ya nchi Mara baada ya kukamilika.Lakini kwa kiasi kikubwa utategemea michango yetu kama jamii,maana nimehangaika kutafuta wafadhili bila mafanikio.
Vilevile nimefikilia kumuomba Mh.Paul makonda kuwa msimamizi mkuu wa hii project.
Ninahitaji mchango wenu wa mawazo namna gani naweza kufanikisha hili.