Vision 2030
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 407
- 250
Habari Njema kwa watanzania wote wapenda maendeleo.
Zoezi la Reli la utandikaji wa reli ya Standard Gauge (SGR) Sasa imeingia rasmi jijini Dar es Salaam na kwa sasa zoezi hilo linafanyika eneo la Vingunguti jijini hapa.
Naibu Waziri wa fedha amelidhishwa na maendeleo ya mradi huo huku akisema mpaka sasa Serikali imeshatoa zaidi ya Trillion 2 kwenye mradi wa Reli ya SGR.
Kwa habari zaidi karibu katika youtube page ya TRC uone zaidi.
"Hongera sana Serikali"