Ujenzi wa nyumba: Budget ya milioni 25

Inaweza ikatosha au isitoshe, tafuta fundi akupe makadirio yake kwanza, ikiwa fundi ni mtu wako wa karibu itakuwa poa zaidi bei itapoa, ukiwa na muda uwepo site, material jitahidi kununua kwa jumla au lah km una idea ya ufundi usipattane na fundi boma zima, waje mafumdi wajenge uwalipe kwa tofali.

Kuna kibanda cha vyumba vi4, kimoja master na ukumbi wake, choo cha public, sebule, jiko, stoo na dinning, nimetumia kama milioni 20 hv bado finishing kidoogo hapo nishaipaua, madirisha, chini niliweka zzege, plasta, mabomba ya umeme tayari gypsum board.

Kilichonisaidia mimi ni kujuana na watu, kasoro boma tu ndio nilikubaliana na fundi akataka 1.8 huyu ni fundi wa huko huko ninakojengea(nimejenga kijijini, hivyo kuweka ukaribu na watu nikaona si vema kuchukua mafundi mbali, huyu aliwahi nitengenezea kisima) alipomaliza boma, kupaua akaleta michongo ya tamaa akataka milioni 2, nikapiiga chini, kuna shemeji yangu ni mtaalam wa kupaua nikamfata nikampa mikabala, akaniambiia ninunue vifaa vyoote aje apige kazi siku 2 tu nimuandalie laki 6, wiring nikamchek broo wangu mmoja akaniambia ninunue vifaa vyote aje apige kazi kwa siku mbili yeye hakutaka tsh 10 zaidi nikawapoza vibarua tu.
Plasta, zege la chini, shimo la choo na kukiset choo cha public, na gypsum nikampata mwanangu akanifanyia kazi kwa bei chee tu.
Madirisha nikanunua vifaa kuna kijana tunafanya nae mazoezi ya mpira sehemu akaja kunifanyia home, kila dirisha nilimpa elfu 15 kama sijakosea.

Hapo unaweza kupata picha kamili.
Hongera mkuu, pia umenipa fundisho pia..

●Vitu kwa jumla
●Mafundi wenye ukaribu na mimi kama wapo..
 
Tafuta ramani kwanza ni vigumu kujua garama halisi ya nyumba Kama huna ramani. Tafuta ramani mm Ntakupigia gharama zote msingi hadi finishing kuanzia material hadi labour charge ukimtafuta fundi kabla hamjakubaliana unajua range ya bei kutokana na makadirio
 
kwamaelezo yako tuseme unataka kujenga nyumba ya upana WA mita 11*10 ambayo ni square meter 110 makadirio mpaka finishing kila kitu unaingia ndani itakuwa mil 31.9
Note: inaweza kushuka kidogo au kupanda kulingana na kubadilika kwa bei ya material na sijajua ukubwa na aina ya nymba unayohitaji hata kama materials zizidi vipi unafaa uwe na badget angalau mil 35 for any inconvenience
 
kwamaelezo yako tuseme unataka kujenga nyumba ya upana WA mita 11*10 ambayo ni square meter 110 makadirio mpaka finishing kila kitu unaingia ndani itakuwa mil 31.9
Note: inaweza kushuka kidogo au kupanda kulingana na kubadilika kwa bei ya material na sijajua ukubwa na aina ya nymba unayohitaji hata kama materials zizidi vipi unafaa uwe na badget angalau mil 35 for any inconvenience
Kudos Frank.
 
kwamaelezo yako tuseme unataka kujenga nyumba ya upana WA mita 11*10 ambayo ni square meter 110 makadirio mpaka finishing kila kitu unaingia ndani itakuwa mil 31.9
Note: inaweza kushuka kidogo au kupanda kulingana na kubadilika kwa bei ya material na sijajua ukubwa na aina ya nymba unayohitaji hata kama materials zizidi vipi unafaa uwe na badget angalau mil 35 for any inconvenience
@Frank mtanganyika chukulia mfano kama hiyo..alafu ukubwa wa 12 x 10.. niambie gharama mkuu
eb007b371d48faa4f20d15eb5ada82e5.jpg

Evelyn Salt
Frank mtanganyika
 
@Frank mtanganyika chukulia mfano kama hiyo..alafu ukubwa wa 12 x 10.. niambie gharama mkuuView attachment 1938371
Evelyn Salt
Frank mtanganyika
@Frank mtanganyika chukulia mfano kama hiyo..alafu ukubwa wa 12 x 10.. niambie gharama mkuuView attachment 1938371
Evelyn Salt
Frank mtanganyika
Hiyo ni bajeti ya mil 34.8 inahitajika mpaka finishing hiyo ni estimate ya chini kabisa sema unatakiwa uwe na angalau mil 3 ya kuongezea hapokwahio range ya 34.8 mpaka 37mil
@Frank mtanganyika chukulia mfano kama hiyo..alafu ukubwa wa 12 x 10.. niambie gharama mkuuView attachment 1938371
Evelyn Salt
Frank mtanganyika
Kwa ramani hii ya Square meter 120 makadirio ya chini kabisa mpk materials ni mil 34.5 na ya juu kabisa mil 37 hii ni sehemu yoyote tanzania iwe ukerewe au dar garama zitatafautiana kidogo lkn range ya bei ndo hizo
Note: gharama zinahusisha sana muonekano wa nyumba na ukubwa wa nyumba yako
 
I
Hello quick thinkers na valuators wa JF, nina budget ya Tsh 25 millions. Kiwanja kipo tayari na eneo la ujenzi ni mkoa wa Mara.

Je hiyo budget inaweza kufinance ujenzi wa awali, kupaua na finishing katika nyumba yenye sifa zifuatazo:

1: Ukubwa wa mita 12 × 13
2: Master room moja
3: Single rooms tatu
4: Public toilet ya ndani moja
5: Average sized sitting room
6: Small dining room
7: Kitchen ya ndani ndogo
8: Fence
9: Isiyo ndefu kwenda juu (Bati chache)
Inaweza, in fact ni nyingi sana hasa ukiamua kununua vifaa vya ujenzi wewe mwenyewe na kutoka labda Dar na pia ukasimamia hiyo kazi kwa karibu wewe mwenyewe, inatosha. Bye the way ni Mara wapi, kama ni Tarime, basi anagalia uwezekano wa kununua vifaa vingine vya ujenzi kutoka Kenya, inaweza kuwa cheap na kupunguza gharama za ujenzi.
 
Kingine uhitaji kuwa na hela zote kuhamia nyumba ya ndoto yako kwa kazi ninazo fanya na clients wangu huwa nawapigia gharama nzima ya nyumba nikitenga kila kipengele kwa kutofautisha materials na ufundi boss anaamua yeye kujikuna anapoweza

Kama huna hela zote kwa mkupuo jenga boma na kupaua weka grills na mlango wa mbele na mingine km unauwezo fanya finishing chumba chako na sebule alafu hamia kwingine utamalizia ukiwa ndani. Ukitaka umalize nyumba kila kitu uhamie utajikuta haumalizi kila siku wewe ni kujenga ila ukiwa ndani nyumba inaisha yenyew automatically kila siku unaamua kufanya stage moja. Moja moja nymb inaisha
I

Inaweza, in fact ni nyingi sana hasa ukiamua kununua vifaa vya ujenzi wewe mwenyewe na kutoka labda Dar na pia ukasimamia hiyo kazi kwa karibu wewe mwenyewe, inatosha. Bye the way ni Mara wapi, kama ni Tarime, basi anagalia uwezekano wa kununua vifaa vingine vya ujenzi kutoka Kenya, inaweza kuwa cheap na kupunguza gharama za ujenzi.
 
I

Inaweza, in fact ni nyingi sana hasa ukiamua kununua vifaa vya ujenzi wewe mwenyewe na kutoka labda Dar na pia ukasimamia hiyo kazi kwa karibu wewe mwenyewe, inatosha. Bye the way ni Mara wapi, kama ni Tarime, basi anagalia uwezekano wa kununua vifaa vingine vya ujenzi kutoka Kenya, inaweza kuwa cheap na kupunguza gharama za ujenzi.
Siku hizi..wamebana mpakani duh..mamwela kila kona
 
Kingine uhitaji kuwa na hela zote kuhamia nyumba ya ndoto yako kwa kazi ninazo fanya na clients wangu huwa nawapigia gharama nzima ya nyumba nikitenga kila kipengele kwa kutofautisha materials na ufundi boss anaamua yeye kujikuna anapoweza

Kama huna hela zote kwa mkupuo jenga boma na kupaua weka grills na mlango wa mbele na mingine km unauwezo fanya finishing chumba chako na sebule alafu hamia kwingine utamalizia ukiwa ndani. Ukitaka umalize nyumba kila kitu uhamie utajikuta haumalizi kila siku wewe ni kujenga ila ukiwa ndani nyumba inaisha yenyew automatically kila siku unaamua kufanya stage moja. Moja moja nymb inaisha
Boss kumbe ni proffesion yako.. itabid nikucheck..what else do you do boss?
 
I
e
Inaweza, in fact ni nyingi sana hasa ukiamua kununua vifaa vya ujenzi wewe mwenyewe na kutoka labda Dar na pia ukasimamia hiyo kazi kwa karibu wewe mwenyewe, inatosha. Bye the way ni Mara wapi, kama ni Tarime, basi anagalia uwezekano wa kununua vifaa vingine vya ujenzi kutoka Kenya, inaweza kuwa cheap na kupunguza gharama za ujenzi.
ni nyingi sana ikiwa mkononi iweke kwenye utendaji uone ilivyo ndogo hio hela haiwezi tosha kukamilisha ujenzi woote kwa nyumba hiyo anayoitaka awe nangurukuru, tarime au karagwe cha kinachoweza kufanyika ni ujenzi wa awamu tu. Maana hiyo hela itaishia kwny grills na fremu za milango nymb nzima sana Sana na plumbing na Umeme akibana sana bado plaster nje, ndani bado tiles bado kufitisha masink
 
I

Inaweza, in fact ni nyingi sana hasa ukiamua kununua vifaa vya ujenzi wewe mwenyewe na kutoka labda Dar na pia ukasimamia hiyo kazi kwa karibu wewe mwenyewe, inatosha. Bye the way ni Mara wapi, kama ni Tarime, basi anagalia uwezekano wa kununua vifaa vingine vya ujenzi kutoka Kenya, inaweza kuwa cheap na kupunguza gharama za ujenzi.
Hiyo nyumba inahitaji mfumo wa maji safi na maji taka built from ground. Sidhani kama anategemea mfumo wa manispaa/public.
Swali langu la kwanza (nataka niende taratibu, ili niweze kujifunza kitu) Unaweza kuniambia/kukadiria gharama ya mfumo wa maji safi na majitaka?

a. Septic tank na karo au at least karo peke yake.
b. Kisima (na pump yake).
c. Elevated tank (tank na tower)
d. Pipes zote kwa ujumla
e. Fittings za bafuni, chooni (vyoo viwili) na jikoni.
 
Boss kumbe ni proffesion yako.. itabid nikucheck..what else do you do boss?
ya ni professional yangu mkuu nimekuwa nikifanya na kampuni za wachina hapo dar but for now nipo arusha nafanya miradi ya serekali ya force account name ujenzi wa hospitali na shule na biashara za mazao hapa na pale
 
Back
Top Bottom