Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,627
Ndugu acha uongo, kanisa katoliki ndilo dhehebu pekee linalohubiri upendo kama ulitoka baada ya kutongoza wanakwaya nenda tu. Mtu mbaya anayefumbia macho uovu kea sababu anatoka upande wetu ni huyu anayejiita MAPENGOMimi nimeishi kanisani (katoliki)kwa miaka isiyopungua 15 nikatoka kwa hiari yangu # kifupi msiwategemee viongozi wa kidini kuwateteeni kwani ndani ya kanisa katoliki wanaamimi sana katika mateso,kanisa katoliki linahubiri mateso ya Kristo ,hivyo tunapompata kiongozi wa nchi kama Jiwe akiwatesa wananchi katika maeneo mbalimbali basi hii ni habari njema kwa kanisa katoliki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app