Ujenzi wa madarasa kupitia wakandarasi unasuasua

Molembe

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
9,821
11,527
Maeneo ambayo ujenzi wa madarasa unafanywa na wakandarasi miradi hii inasuasua sana, sehemu nyingi mpaka sasa wanachimba misingi wakati wale waliotumia force accounts miradi ikiwa ipo kwenye hatua nzuri. Nimeongea na mtu kule Tarime ambapo walipewa wakandarasi maeneo mengi yapo kwenye msingi huku huku tarehe ya mwisho ya kukabidhi majengo hayo ikiwa tarehe 15/12.

Lakini serikali inapaswa kuwa makini na hawa wakandarasi wanaojenga madarasa haya, kwenye force account vifaa vinanunuliwa na kamati ya shule ikishirikiana na watu wa halmashauri na vifaa hivyo kabla ya kuanza kazi hukaguliwa, vifaa vinanunuliwa kwa makadirio ya Mkandarasi na ofisi ya manunuzi hivyo local fundi anakuwa uhuru wa kutumia materials kama ilivyoelekezwa kwenye BOQ tofauti na hawa wakandarasi ambao watajenga haya madarasa chini ya kiwango na kubania materials.

Tutegemee baada ya miaka 3~5 madarasa yaliyojengwa na wakandarasi kugeuka magofu na kuacha kutumika, maana wale wanataka faida na sio ubora.
 
Kwa akili ndogo kama za huyu mleta mada hii Nchi itaendelea kuwa ngumu sana kwa private sector!

Inawezekana mleta mada akawa mmoja wa watumishi wa umma wanaokula 10% zao kutokana na manunuzi holela ya vifaa kupitia force account!

Hivyo pona yao kwa muda huu ni kuwachafua wakandarasi (contractors) ili waonekane hawafai !!

Wafanyabiashara wengi ni watu wenye maarifa, kupitia force account zenu mtakula kwa muda lakini baadaye mtarudi kwenye maarifa yenu ya kawaida tu!
 
Kwa akili ndogo kama za huyu mleta mada hii Nchi itaendelea kuwa ngumu sana kwa private sector!

Inawezekana mleta mada akawa mmoja wa watumishi wa umma wanaokula 10% zao kutokana na manunuzi holela ya vifaa kupitia force account!

Hivyo pona yao kwa muda huu ni kuwachafua wakandarasi (contractors) ili waonekane hawafai !!

Wafanyabiashara wengi ni watu wenye maarifa, kupitia force account zenu mtakula kwa muda lakini baadaye mtarudi kwenye maarifa yenu ya kawaida tu!
Sijawahi kula 10% lakini hao wakandarasi ndo hovyo kabisa bora hao force account huwezi kutegemea Mkandarasi ajenge kwa kiwango wakati anatafuta faida, miradi chini ya wakandarasi itakuwa ya hovyo kuliko force account.
Wakandarasi ni wapigaji tu.
 
Kwa akili ndogo kama za huyu mleta mada hii Nchi itaendelea kuwa ngumu sana kwa private sector!

Inawezekana mleta mada akawa mmoja wa watumishi wa umma wanaokula 10% zao kutokana na manunuzi holela ya vifaa kupitia force account!

Hivyo pona yao kwa muda huu ni kuwachafua wakandarasi (contractors) ili waonekane hawafai !!

Wafanyabiashara wengi ni watu wenye maarifa, kupitia force account zenu mtakula kwa muda lakini baadaye mtarudi kwenye maarifa yenu ya kawaida tu!
Bila force account serikali isingeweza kuhamia Dodoma wala kujenga zahanati kila mahali nchini.

Force account inasaidia sana kuharakisha kazi
 
Sijawahi kula 10% lakini hao wakandarasi ndo hovyo kabisa bora hao force account huwezi kutegemea Mkandarasi ajenge kwa kiwango wakati anatafuta faida, miradi chini ya wakandarasi itakuwa ya hovyo kuliko force account.
Wakandarasi ni wapigaji tu.
Ndo maana nasema upeo wako ni mdogo sana! Sijui kama unaweza kunielewa kwa maana kasi ya kuongezeka Watanzania wajinga ni kubwa mno!

"Force Account " ni ubunifu wa kijinga ambao unatokana na viongozi wetu ambao bado wana mzio ( hangover ) ya ujamaa!

Huwezi kujenga uchumi wa Taifa bila Serikali kufanya biashara na watu wake!

Mkandarasi (Contractor)anapofanya kazi ya mradi ni kwamba Serikali pia ni mbia wa mradi huo kwani mwisho wa siku Serikali itachukua 30% ( Corporate tax) ya mapato.

Mkandarasi(Contractor) anapofanya mradi anakopa bank , anakata bima na anaajiri watu ikiwemo vibarua wengi, hivyo anachagiza uchumi ( multiplier effect).

Kwa mkandarasi anapoendesha mradi si wake pekee yake kiuhalisia! Anaifanyia kazi Serikali, Bank, Bima n.k!

Sasa " wajinga" kama wewe mnapoona Mkandarasi ame- tender mradi kwa mfano kwa milioni 25 ,halafu force account mnaweza kutumia milioni 24 mnaona kuna unafuu, HAKUNA UNAFUU HAPO ni UJINGA NDIO UMETAMALAKI!

Sasa tuje kwenye ubora wa kazi ya Mkandarasi, Serikali imeajiri ma- Engineers na Quantity Surveyors (QS) ambao kazi yao ni kusanifu mradi na kuusimamia kwa mujibu Bill of Quantities (BOQ),sasa ikitokea Mkandarasi ( Contractor) hafanyi vizuri basi ni hao wataalamu wa Serikali ndio hawatimizi majukumu yao ( Usimamizi/Supervision ) vizuri!

Sasa leo kupitia hizi Force Account zenu, makampuni mengi ya ujenzi yamekufa, vijana waliosoma Civil Engineering hadi vyuo vikuu wako mitaani wana BET nyie mnajenga madarasa yenu kwa kutumia Local fundis!!
Contractors Registration Board (CRB) ilikuwa inakusanya bilioni ngapi kwa mwaka kama Annual fees kutoka kwa Wakandarasi ((Contractors), leo unajua CRB imefuta Makampuni mangapi ya Ujenzi?! CRB imepoteza kiasi gani kwa "Ujinga" wa Force Account?!!?
CRB nayo sasa ifutwe!

Taifa limekosa viongozi na watu wenye maarifa hili!
 
Ndo maana nasema upeo wako ni mdogo sana! Sijui kama unaweza kunielewa kwa maana kasi ya kuongezeka Watanzania wajinga ni kubwa mno!

"Force Account " ni ubunifu wa kijinga ambao unatokana na viongozi wetu ambao bado wana mzio ( hangover ) ya ujamaa!

Huwezi kujenga uchumi wa Taifa bila Serikali kufanya biashara na watu wake!

Mkandarasi (Contractor)anapofanya kazi ya mradi ni kwamba Serikali pia ni mbia wa mradi huo kwani mwisho wa siku Serikali itachukua 30% ( Corporate tax) ya mapato.

Mkandarasi(Contractor) anapofanya mradi anakopa bank , anakata bima na anaajiri watu ikiwemo vibarua wengi, hivyo anachagiza uchumi ( multiplier effect).

Kwa mkandarasi anapoendesha mradi si wake pekee yake kiuhalisia! Anaifanyia kazi Serikali, Bank, Bima n.k!

Sasa " wajinga" kama wewe mnapoona Mkandarasi ame- tender mradi kwa mfano kwa milioni 25 ,halafu force account mnaweza kutumia milioni 24 mnaona kuna unafuu, HAKUNA UNAFUU HAPO ni UJINGA NDIO UMETAMALAKI!

Sasa tuje kwenye ubora wa kazi ya Mkandarasi, Serikali imeajiri ma- Engineers na Quantity Surveyors (QS) ambao kazi yao ni kusanifu mradi na kuusimamia kwa mujibu Bill of Quantities (BOQ),sasa ikitokea Mkandarasi ( Contractor) hafanyi vizuri basi ni hao wataalamu wa Serikali ndio hawatimizi majukumu yao ( Usimamizi/Supervision ) vizuri!

Sasa leo kupitia hizi Force Account zenu, makampuni mengi ya ujenzi yamekufa, vijana waliosoma Civil Engineering hadi vyuo vikuu wako mitaani wana BET nyie mnajenga madarasa yenu kwa kutumia Local fundis!!
Contractors Registration Board (CRB) ilikuwa inakusanya bilioni ngapi kwa mwaka kama Annual fees kutoka kwa Wakandarasi ((Contractors), leo unajua CRB imefuta Makampuni mangapi ya Ujenzi?! CRB imepoteza kiasi gani kwa "Ujinga" wa Force Account?!!?
CRB nayo sasa ifutwe!

Taifa limekosa viongozi na watu wenye maarifa hili!
Well said!! Wachache watakuelewa
 
Ndo maana nasema upeo wako ni mdogo sana! Sijui kama unaweza kunielewa kwa maana kasi ya kuongezeka Watanzania wajinga ni kubwa mno!

"Force Account " ni ubunifu wa kijinga ambao unatokana na viongozi wetu ambao bado wana mzio ( hangover ) ya ujamaa!

Huwezi kujenga uchumi wa Taifa bila Serikali kufanya biashara na watu wake!

Mkandarasi (Contractor)anapofanya kazi ya mradi ni kwamba Serikali pia ni mbia wa mradi huo kwani mwisho wa siku Serikali itachukua 30% ( Corporate tax) ya mapato.

Mkandarasi(Contractor) anapofanya mradi anakopa bank , anakata bima na anaajiri watu ikiwemo vibarua wengi, hivyo anachagiza uchumi ( multiplier effect).

Kwa mkandarasi anapoendesha mradi si wake pekee yake kiuhalisia! Anaifanyia kazi Serikali, Bank, Bima n.k!

Sasa " wajinga" kama wewe mnapoona Mkandarasi ame- tender mradi kwa mfano kwa milioni 25 ,halafu force account mnaweza kutumia milioni 24 mnaona kuna unafuu, HAKUNA UNAFUU HAPO ni UJINGA NDIO UMETAMALAKI!

Sasa tuje kwenye ubora wa kazi ya Mkandarasi, Serikali imeajiri ma- Engineers na Quantity Surveyors (QS) ambao kazi yao ni kusanifu mradi na kuusimamia kwa mujibu Bill of Quantities (BOQ),sasa ikitokea Mkandarasi ( Contractor) hafanyi vizuri basi ni hao wataalamu wa Serikali ndio hawatimizi majukumu yao ( Usimamizi/Supervision ) vizuri!

Sasa leo kupitia hizi Force Account zenu, makampuni mengi ya ujenzi yamekufa, vijana waliosoma Civil Engineering hadi vyuo vikuu wako mitaani wana BET nyie mnajenga madarasa yenu kwa kutumia Local fundis!!
Contractors Registration Board (CRB) ilikuwa inakusanya bilioni ngapi kwa mwaka kama Annual fees kutoka kwa Wakandarasi ((Contractors), leo unajua CRB imefuta Makampuni mangapi ya Ujenzi?! CRB imepoteza kiasi gani kwa "Ujinga" wa Force Account?!!?
CRB nayo sasa ifutwe!

Taifa limekosa viongozi na watu wenye maarifa hili!
Wewe sio mjinga ila ni mpumbavu kabisa, hivi unafikiri kwenye force account kodi hailipwi, vifaa vyote vya ujenzi vinanunuliwa kwa wazabuni na kodi inalipwa, local fundi analipwa na wasaidizi wanalipwa, msijione nyie ni special sana.
 
Local minds with their local fundis at their local projects !

Wewe sio mjinga ila ni mpumbavu kabisa, hivi unafikiri kwenye force account kodi hailipwi, vifaa vyote vya ujenzi vinanunuliwa kwa wazabuni na kodi inalipwa, local fundi analipwa na wasaidizi wanalipwa, msijione nyie ni special sana.
Kodi unayolipa kwa kununua bidhaa ni indirect taxes ambazo hazina leverage kama direct taxes! Ndio maana nasema kasi ya wajinga kuongezeka ni kubwa mno hapa Nchi ndio maana vitu vya kijinga vina washabiki wengi sana!
Katika wajinga wengi mwerevu akiwa mmoja basi huyo mwelevu ndo huonekana mpumbavu!
 
Wewe sio mjinga ila ni mpumbavu kabisa, hivi unafikiri kwenye force account kodi hailipwi, vifaa vyote vya ujenzi vinanunuliwa kwa wazabuni na kodi inalipwa, local fundi analipwa na wasaidizi wanalipwa, msijione nyie ni special sana.
Mshenzi Sana wewe.
 
Wewe ndiyo local ,sisi watanzania tunataka kuona kazi na si blabla zenu.

Hela ya serikali si ya kufurahisha makandarasi wasiotimiza wajibu wao.
Kweli kabisa, kwenye force account jamii ilikuwa inanufaika na pesa inaonekana imefanya, lakini sasa hivi ananufaika Mkandarasi tu, na kazi inakuwa chini ya kiwango.
 
Samahani sana kwa usumbufu, je huko marekani na mataifa ya ulaya na kote huko walikoendelea. Je miradi ya serikali wanafanya kwa force account au kwa contractor? Je kwanini wanafanya hivyo?



Naomba msaada.
 
Ndiyo mana kuna consultants kwenye projects...serikali inao wataalamu kutoka katika halmashauri zote ambao kazi zao ni kukagua kazi kabla ya certificates za malipo hazijaandaliwa kuwalipa...kama ushakuwa kwenye hili game utanielewa otherwise mleta mada umepaniki bure
 
Ndiyo mana kuna consultants kwenye projects...serikali inao wataalamu kutoka katika halmashauri zote ambao kazi zao ni kukagua kazi kabla ya certificates za malipo hazijaandaliwa kuwalipa...kama ushakuwa kwenye hili game utanielewa otherwise mleta mada umepaniki bure
Hao watalaamu toka halmashauri ni rushwa tu, wanalipiwa na kupewa chochote na hao wakandarasi.
 
Maeneo ambayo ujenzi wa madarasa unafanywa na wakandarasi miradi hii inasuasua sana, sehemu nyingi mpaka sasa wanachimba misingi wakati wale waliotumia force accounts miradi ikiwa ipo kwenye hatua nzuri. Nimeongea na mtu kule Tarime ambapo walipewa wakandarasi maeneo mengi yapo kwenye msingi huku huku tarehe ya mwisho ya kukabidhi majengo hayo ikiwa tarehe 15/12.

Lakini serikali inapaswa kuwa makini na hawa wakandarasi wanaojenga madarasa haya, kwenye force account vifaa vinanunuliwa na kamati ya shule ikishirikiana na watu wa halmashauri na vifaa hivyo kabla ya kuanza kazi hukaguliwa, vifaa vinanunuliwa kwa makadirio ya Mkandarasi na ofisi ya manunuzi hivyo local fundi anakuwa uhuru wa kutumia materials kama ilivyoelekezwa kwenye BOQ tofauti na hawa wakandarasi ambao watajenga haya madarasa chini ya kiwango na kubania materials.

Tutegemee baada ya miaka 3~5 madarasa yaliyojengwa na wakandarasi kugeuka magofu na kuacha kutumika, maana wale wanataka faida na sio ubora.
Brother ni kweli unachosema mathalani katika maeneo yafuatayo.
1-serikali kukosa kodi.
2-kupungua kwa third beneficiaries kama bank,bima nk
3-kupungua kwa soko la ajira zilizokuwa zinatolewa na sekta binafsi.na mengine mengi.
Nataka nikushauri jambo dogo tu kama msomi katika maeneo yafuatayo.
1.kwa nini serikali iliamua kutumia contractors katika kutekeleza miradi yake.?
2.serikali iliona nini kwa contractors hadi ikaamua Kuja na force account.?
3.value of money kwenye miradi inayopewa pesa ipoje ikilinganishwa wakati wa contractors na kipindi hiki Cha force account?
4. Ni kweli contractors walikuwa wanatoa ajira kwa wasomi hao ulio wataja,na je ajira hizo zilikuwa sawa (mikataba)?
5.Je ni force account ndo imeua carrier ya contractors au ni Kuna sababu nyingine?
 
Hao watalaamu toka halmashauri ni rushwa tu, wanalipiwa na kupewa chochote na hao wakandarasi.
Kwa hiyo hao wanaonunua vifaa wanatoka mbinguni maana watu wa halmashauri ni wala rushwa?.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.
Kama huwezi kuwaza kuwa na biashara kubwa basi utabaki maskini muda wote wa maisha yako.
Mnawaza umaskini kila siku ila mnaongoza kulalamika.
 
Brother ni kweli unachosema mathalani katika maeneo yafuatayo.
1-serikali kukosa kodi.
2-kupungua kwa third beneficiaries kama bank,bima nk
3-kupungua kwa soko la ajira zilizokuwa zinatolewa na sekta binafsi.na mengine mengi.
Nataka nikushauri jambo dogo tu kama msomi katika maeneo yafuatayo.
1.kwa nini serikali iliamua kutumia contractors katika kutekeleza miradi yake.?
2.serikali iliona nini kwa contractors hadi ikaamua Kuja na force account.?
3.value of money kwenye miradi inayopewa pesa ipoje ikilinganishwa wakati wa contractors na kipindi hiki Cha force account?
4. Ni kweli contractors walikuwa wanatoa ajira kwa wasomi hao ulio wataja,na je ajira hizo zilikuwa sawa (mikataba)?
5.Je ni force account ndo imeua carrier ya contractors au ni Kuna sababu nyingine?
Nchi itaendelea bila wasomi?, Ni fundi gani ambaye hakufundishwa na Engineer katika ujenzi mkuu?.
Nchi hii itachukuwa muda mrefu kuendelea sana, leo hii mnafurahia hayo madarasa kujengwa kwa haraka ila baadaye mtaona matokeo yake maana vitu vyote vimejengwa site hivyo defects baadaye itakuwa kubwa sana kwenye kuta za madarasa. Maana curing haitafanyika vizuri hivyo baadaye ni majanga ya defects
 
Back
Top Bottom