Ujenzi wa Maabara kwa kuwaburuza wananchi, Kumeiumiza CCM

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,732
Nimehojiana na akina mama na baadhi ya wanaume katika maeneo ya Bukoba, Biharamulo na Muleba na wakasema kitendo cha kukimbizwa na mgambo kwa kuwalazimisha kulipa shilingi 6,000/= za ujenzi wa maabara wakati kuna watu walibeba fedha kwenye Lumbesa na nyingine zikachukuliwa na ndugu zao wenye asili ya huku kinawauma sana.

Ukiwauliza wamejuaje wanasema siku hizi kuna redio nyingi zinasikika hadi migombani kwa masafa ya FM. Wanasema ukichaji simu yako ya Tecno ukavaa shingoni unasikiliza magazeti..... mijadala na mambo yote hivyo wako informed. Kule Karagwe mjini ndo balaa CCM wanaitafuta mitaa kwa tochi.
 
Nimehojiana na akina mama na baadhi ya wanaume katika maeneo ya Bukoba, Biharamulo na Muleba na wakasema kitendo cha kukimbizwa na mgambo kwa kuwalazimisha kulipa shilingi 6,000/= za ujenzi wa maabara wakati kuna watu walibeba fedha kwenye Lumbesa na nyingine zikachukuliwa na ndugu zao wenye asili ya huku kinawauma sana.

Ukiwauliza wamejuaje wanasema siku hizi kuna redio nyingi zinasikika hadi migombani kwa masafa ya FM. Wanasema ukichaji simu yako ya Tecno ukavaa shingoni unasikiliza magazeti..... mijadala na mambo yote hivyo wako informed. Kule Karagwe mjini ndo balaa CCM wanaitafuta mitaa kwa tochi.

Ahaaaaaa Muleba Prof.In Good faith anaaga kweupee maana hana msaada wowote yule mama. Tulikuwa over ambitious kumbe hana lolote escrow mkubwa.
 
Karagwe na Kyerwa kumetokea mtindo wa kuiba kura na mapingamizi na kuwa kama desturi tafadhali msiruhusu huu ubakaji wa demokrasia. Naowaombeni msimame kidete kwenye hili. Niliskia mlifyeka migomba ya Maccm na kuchoma NYUMBA zao wanaolazimisha mapingamizi hii nzuri sana.Mbunge Blandes aliiba kura .Jiandae 2015.
 
JF kuna mambo....eti "Wezi wote wa EPA wakikamatwa kwa mpigo, nchi hii itayumba..-Mh. Pinda"

Huyu mkulu aliwahi kujisahau akasema haya maneno... Yana tafsiri kubwaaa!!!
 
JF kuna mambo....eti "Wezi wote wa EPA wakikamatwa kwa mpigo, nchi hii itayumba..-Mh. Pinda"

Huyu mkulu aliwahi kujisahau akasema haya maneno... Yana tafsiri kubwaaa!!!

Raisi aliwahi sema Iringa, wanaouza madawa ya kulevya ni watu wazito na wana nguvu kubwa..ni vigumu kupambana nao.

Tangu siku hyo, sina hamu na NCHI.

ASANTENI UKAWA.
 
Raisi aliwahi sema Iringa, wanaouza madawa ya kulevya ni watu wazito na wana nguvu kubwa..ni vigumu kupambana nao.

Tangu siku hyo, sina hamu na NCHI.

ASANTENI UKAWA.

Ahahahahaaaaaaaaaaa.................hiyo ndo Tanzania
 
Matokeo ya kata za kinondoni vipi washirika nijulisheni yakoje?ukawa kidedea au noma?

Anything that will have challenge in terms of action,I will do it.I am not restricting myself, but it has to do something with action.ccm oyeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom