City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 3,791
- 4,237
Sidhani kama watakuelewa mkuu.Mkuu nondo katika ujenzi wa nyumba za kawaida ni fito kwa lugha nyingine.
Kama fundi kanyoosha msingi na ukuta ukapanda bila kupinda, nondo 2 za mm12 zinatosha.