Miezi ya hivi karibuni mkandarasi alikuwepo site akifanya marekebisho ya barabara Tarime Nyamwaga kiwango cha lami ,pia Kwa upande wa Tarime vijiji mkandarasi huyo alikuwa ameanza kupanua barabara na kulima kwa ajili ya lami
Kwa masikitiko makubwa mradi umeyeyuka na mkandarasi ameondoa mashine site
Waitara mbunge wa Tarime vijijini tena ni naibu waziri wa miundombinu yupo tu hakuna kinachoendelea .
Mjini Kembaki yupo hakuna kinachoendelea hakuna kinachoendelea, ukumbuke wabunge wote ni wa ccm na waziri yumo
Soko la zamani wakabomoa, kipindi cha Esther Matiko wakasema hawawezi kulijenga kwa sababu ni CHADEMA sasa hivi ni CCM hatuoni mchakato wowote,imekuwa maegesho ya magari
Wananchi wa Tarime tunataka kujua mradi wa barabara Tarime mjini Nyamwaga mpaka Serengeti nini kimetokea umeyeyuka na mkandarasi kuondoka?
Kwa masikitiko makubwa mradi umeyeyuka na mkandarasi ameondoa mashine site
Waitara mbunge wa Tarime vijijini tena ni naibu waziri wa miundombinu yupo tu hakuna kinachoendelea .
Mjini Kembaki yupo hakuna kinachoendelea hakuna kinachoendelea, ukumbuke wabunge wote ni wa ccm na waziri yumo
Soko la zamani wakabomoa, kipindi cha Esther Matiko wakasema hawawezi kulijenga kwa sababu ni CHADEMA sasa hivi ni CCM hatuoni mchakato wowote,imekuwa maegesho ya magari
Wananchi wa Tarime tunataka kujua mradi wa barabara Tarime mjini Nyamwaga mpaka Serengeti nini kimetokea umeyeyuka na mkandarasi kuondoka?