House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,077
- 1,994
You'r on politcal view, am on academic view, you'r right..naona ni timu ya kusifuna kuabuduUnazunguka....
Unazunguka kwa FALSAFA nyingi.....
Hoja ni moja tu....
Does the government delivers?!!!
Does the government cater for social services?!!!
Hoja ya kuwepo mapambio ama kutokuwepo haisaidii WALAJI......
Serikali ya awamu ya 6 imepokea TRILIONI 1.3 kutoka IMF kujenga vyuo 72 vya VETA na mengineyo.....
Tunasubiri UTASHI WA SERIKALI kuzitumia hizo fedha kulikokusudiwa......
Na Kama kuusifu utashi mzuri wa serikali kunakuudhi...Sawa....IT'S YOU mkuu .....
#SiempreSSH