kopites JF-Expert Member Jan 28, 2015 8,371 10,010 Jan 4, 2017 #41 Itakua ndio mbunge wa kwanza tz kufanikisha jambo kubwa kama hili. Watu wa Arusha wanamuelewa sana mbunge wao,ndio maana hawamuachi.
Itakua ndio mbunge wa kwanza tz kufanikisha jambo kubwa kama hili. Watu wa Arusha wanamuelewa sana mbunge wao,ndio maana hawamuachi.
Harrison Justine JF-Expert Member Jun 19, 2015 1,136 559 Jan 4, 2017 #43 Hapo utasikia Jamhuri wanakazia kutota dhamana. Ajabu ni kuwa kesi uchunguzi bado na pia dhamana hawataki kutoa
Hapo utasikia Jamhuri wanakazia kutota dhamana. Ajabu ni kuwa kesi uchunguzi bado na pia dhamana hawataki kutoa
kopites JF-Expert Member Jan 28, 2015 8,371 10,010 Jan 4, 2017 #46 McAndrew said: Pia ni vyema wa Pia ni vyema wafu wakapongezana maana hakuna pa kutokea wala kupumulia, Click to expand... Usiwe na wivu ndugu!..muombe mbunge wako nae awafanyie hivo,sio unakashifu maendeleo!...muache kudanganywa na pilau na kanga
McAndrew said: Pia ni vyema wa Pia ni vyema wafu wakapongezana maana hakuna pa kutokea wala kupumulia, Click to expand... Usiwe na wivu ndugu!..muombe mbunge wako nae awafanyie hivo,sio unakashifu maendeleo!...muache kudanganywa na pilau na kanga
kopites JF-Expert Member Jan 28, 2015 8,371 10,010 Jan 4, 2017 #47 Development is the movement from one stage to another higher stage!...