Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,702
Picha inajieleza vema kabisa
Ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Kinondoni umeshika kasi sana na upo mbioni kukamilika.
Matumizi sahihi ya rasilimali zetu huleta matokea chanya.
Hongera Rais Dkt John Magufuli kwa kutimiza ahadi.
Ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Kinondoni umeshika kasi sana na upo mbioni kukamilika.
Matumizi sahihi ya rasilimali zetu huleta matokea chanya.
Hongera Rais Dkt John Magufuli kwa kutimiza ahadi.