Hii barabara inapitia mitaa hii ambayo ina wakazi ambao nyumba za zimewekewa X na namba nyekundu. Ni Mwembeduga-Mwan'gombe- Mwakidila- Mwahako- Neema mpaka Pangani.
Sehemu nilizotaja watu wako wansubiria kwa hamu walipwe wapate ziada wajenge na kupata myaji. Lakini nijuavyo (I stand to be corrected) ukishawekewa alama nyekundu na namba nyekundu ni kuwa wewe ulivamia barabara hulipwi. Naomba kujua ukweli wa hili.
Kama ndivyo hakuna malipo, wawataarifu wananchi waanze kuzoea/ku absorb shock in peace meals maana ni kilio na kusaga meno
Sehemu nilizotaja watu wako wansubiria kwa hamu walipwe wapate ziada wajenge na kupata myaji. Lakini nijuavyo (I stand to be corrected) ukishawekewa alama nyekundu na namba nyekundu ni kuwa wewe ulivamia barabara hulipwi. Naomba kujua ukweli wa hili.
Kama ndivyo hakuna malipo, wawataarifu wananchi waanze kuzoea/ku absorb shock in peace meals maana ni kilio na kusaga meno