Mkandarasi hayuko site amechimba sehemu za kuweka culverts bila kukamilisha huku akiacha njia mbadala zisizo na kiwango zinazopelekea uharibifu wa vyombo vya moto na foleni zisizo za lazima. Na ikumbukwe vuli na haiko mbali itakapoanza wananchi watapata tabu sana. TARURA Amkeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app