Ujenzi wa barabara mbona umeanza kusuasua?

LUS0MYA

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
862
1,097
Katika ilani ya CCM na ahadi katika uchaguzi uliopita suala la barabara lilikuwa agenda kubwa hasa barabara za kuunganisha mikoa ya pembezoni kama Katavi na Kigoma.

Na pia barabara za vijijini.

Ahadi kubwa ilikuwa ni ujenzi wa barabara kuboresha mitaa ya jiji la Dar es Salaam ambao ulifanikiwa sana manispaa za Kinondoni, Temeke na Ilala na sasa tulihaidiwa manispaa za ubungo na Kigamboni.

Kwa sasa hakuna dalili ya utekekezaji wa ahadi hizi. Je, tuhesabu mipango imekufa au tunasubiri embe chini ya mnazi?
 
Subiri miradi mbalimbali ya UVIKO iishe tutarudi kwenye ilani. Tuna miaka 3 ya kutekeleza ilani
 
Ndo nitolee hiyoo,sa hivi sera zetu hazieleweki tumebaki kuiridhisha Dunia tu
 
Unaropoka au uko serious? Unasua Dua wapi? Hiki hapa ni nini? 👇

Screenshot_20211123-112027.png


Screenshot_20211119-101540.png


Screenshot_20211104-201540.png


Screenshot_20211102-204412.png


Screenshot_20211121-132004.png
 
Katika ilani ya CCM na ahadi katika uchaguzi uliopita suala la barabara lilikuwa agenda kubwa hasa barabara za kuunganisha mikoa ya pembezoni kama Katavi na Kigoma.

Na pia barabara za vijijini.

Ahadi kubwa ilikuwa ni ujenzi wa barabara kuboresha mitaa ya jiji la Dar es Salaam ambao ulifanikiwa sana manispaa za Kinondoni, Temeke na Ilala na sasa tulihaidiwa manispaa za ubungo na Kigamboni.

Kwa sasa hakuna dalili ya utekekezaji wa ahadi hizi. Je, tuhesabu mipango imekufa au tunasubiri embe chini ya mnazi?
Tatizo ni mvua na Korona kama unavyoshuhudia nchi na dunia nzima hata hivyo mama Samia yuko imara na atatoa pesa za ujenzi.
 
Back
Top Bottom