Nimuulize nani wakati nimeandika mimi... Mkiamka na stress msiingie JF, wengine wote waelewe pekeyako ushindwe... Tatizo litakuwa la nani hapamara sio ujenzi ni upanuzi, mara sio njia 8, mara muonekano hautakuwa kwenye hiyo raamani!!!!!!!!!
Nimeshindwa kabisaa kumwelewa huyu mtoa mada, bora ungeuliza ufahamishwe kuliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Watz dah, JPM alilijua mapema watz hawatawaliki bora kuwapeleka hivyohivyo, kila kitu kulalamika na kujifanya wanajua, MTU amesomea uvuvi anajifanya anajua zaidi ya engineers, hesabu hazidanganyi hazina uchawi wa utabiri kwamba huko mbeleni nisije hukumiwa ni upuuzi tu, je umeona design ya hiyo barabara? Je umeona Mpango kazi wa hiyo barabara? Au umeamka na tress zako utuletee na sisi?
Kwenye Ujenzi njoo na data kwamba umeona design ambayo inaonyesha hicho unachokisema ni kweli, uje utwambie nimeona Mpango kazi wa hiyo barabara ambao umeona si Ujenzi wa barabara Mpya ni upanuzi. Lakini pia utwambie uzoefu wako kwenye kazi za Ujenzi wa barabara ulikuwa inashauri nini au umeona wapi wamekosea.
Mfugale haina uhalisia na picha ya design yake hata kwa 25%Sipingani nawe kwenye hili... Hii ni picha kama zile tukizooneshwa kwenye flyover za Tazara na Ubungo... Je baada ya ujenzi picha itafanana na uhalisia?
Jr
Manufacturing date ni mwaka 1970 hata hili hulijui?
Jr
View attachment 995896
Angalia huu mchoro huu hapa then niambie Mshana Jr uo ung'ao hapo unaweza kuupata pale utakapojenga hiyo nyumba? angalia Koka ilivyotoka then panda zako alafu uone itatokaje...
Hapana.. Times nakubaliana kuwa hili ni almost na uhalisiaView attachment 995894
Mshana Jr Huu Kinacho kuchanganya uone ni tofauti kilichopo ni huu mng'ao wa rangi au?
Kwanini unajadili mng'ao? Unadhani picha ya rangi inaweza kufanana na kitu halisi? Tunapojadili utofauti sio kwa muktadha huo ndugu yanguView attachment 995896
Angalia huu mchoro huu hapa then niambie Mshana Jr uo ung'ao hapo unaweza kuupata pale utakapojenga hiyo nyumba? angalia Koka ilivyotoka then panda zako alafu uone itatokaje...
majibu haya yatakuumbuaAchana na huyo jamaa unapoteza muda.
Anaita hilo daraja,hajui hata flyover kishwahili ni daraja,halafu ni mbishi balaa.
Hapana.. Times nakubaliana kuwa hili ni almost na uhalisia
Jr
Kwanini unajadili mng'ao? Unadhani picha ya rangi inaweza kufanana na kitu halisi? Tunapojadili utofauti sio kwa muktadha huo ndugu yangu
Jr
Chamsingi foleni ya pale tazara imepungua kwa 90%Sas a ujenzi wa bongo ni wa hovyo sasa pale mfugale walijenga nin si wangeacha kuna flyover ya vile jmn..!!?
Haiondoi ukweli kuwa wewe ni mjuaji wa kila mada na jambo humu jamvini...which is a positive complementWewe sikujui... Sorry neno kujua si sahihi sana! Wewe sikufahamu
Jr
Hii nimeipenda maana watu kazi yao polojo na kuonyesha kila jambo baya na halifai sijui kwa faida ya nani.asnt kwa kuiweka barabara nzima Hapo maana tumeanza porojo za kijingaMshana Jr wanaposema njia nane maana yake ni hii;
Wanaongeza njia tatu kila upande. Yaani kulia na kushoto kwa barabara iliyopo sasa, barabara ya hivi sasa itaendelea kubaki na itatymika kwa ajili ya mabasi ya mwendo kasi. Hivyo basi, ukichukua hizo tatu za kushoto na tatu za kulia unapata sita, ukiongeza na mbili za meendokasi zinakuwa nane.
kama utajumuisha service road zile za vumbi maana yake zitakua barabara kumi.
Nimeambatanisha ramani kwa uelewa zaidi.
View attachment 994274
Kabisa...he's everywhere like air
Mshana ni ubiquitous?
Kama si kwa kejeli nasema asante lakini bado siwezi kuwa mjuzi wa vyote sometimes ni kuchokoza mada kwa ajili ya kuelimishanaHaiondoi ukweli kuwa wewe ni mjuaji wa kila mada na jambo humu jamvini...which is a positive complement