Naomba kujuzwa gharama ya hili jengo kwenye ramani

Jimmy31

Member
Jan 6, 2021
27
13
Jaman nimechora kitu apo lakini sa kijua cost yake n chenga me sio mtaalam sana wa hiv vitu naomba msaada jamn kw raman hii.

20210615_145634.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baraza itoe nje then jiko na dining room viingize ndaili ili seble ipate madirisha mawili vivyohivyo kwenye master either uamishe mlango au choo kiende opposite side ili master ipate madirisha mawili
Master ni ya kuhamisha tu hapo. Hata sebule pia kaibana madirisha
 
Naomba anaejua aniaptie ramani ya kigorofa kimoja nataka nije zangu kupumzika Afrika tena nishachoka huku, nina nyumba za chini tu ila kuna sehem nimepata inatoka nyumba tatu nataka kigorofa kimoja cha ukweli

Nicheki inbox kama uko serius nkupe kwa bei sawa na bure
 
Back
Top Bottom